Usinene kwa hasira
JF-Expert Member
- Oct 17, 2020
- 391
- 435
Waliagizwa na MUNGU waue? Ss nafsi na mioyo yao inashuhudia hilo bila hatia!? Maana hata ccm wanaweza jibu tu ni maagizo ya MUNGU nchi isiangukie kwa watu wabaya.Waliagizwa na Mungu wafanye hivyo. ila swali ni kama wanaamini walishinda kihalali na mioyo yao inashuhudia bila hatia
Yule siyo mtu ni mnyama kabisaWana mtu anayetegemea kuongoza malaika wakati yeye ni mwanadamu
Mungu aliebariki Mbowe kuwa mwenyekiti wakudumu Chadema ndo huyo aliempa ushindi wa kishindo Magufuli.Mungu kweli???
Upumbavu wa Mungu ni zaidi ya hekima ya mwanadamu!
Magufuli hachaguliwa na Mungu wala wananchi wajamchagua !
Uchafuzi kwasababu nyie Chadema ndio mliouleta huo uchafu afu mkajikamata nyie wenyewe.Haukuwa uchaguzi bali uchafuzi!View attachment 1633083View attachment 1633087View attachment 1633088
Intelligencia ilikuwa wapi Hadi wajikamatishe wenyeweUchafuzi kwasababu nyie Chadema ndio mliouleta huo uchafu afu mkajikamata nyie wenyewe.
Ujinga ni kusema tuchape kazi wakati hata kibaruwa huna na unakaa kwa shemeji.Uchaguzi umeisha, CCM imeshinda kwa kishindo, Lissu karudi kwa mabwana zake, Mbowe, Sugu, Mdee, Zitto, Lema na wengine wengi watatafuta shughuli zingine za kufanya na sisi tuache malumbano yasiyonatija tuchape kazi.
Mkuu umemjibu vizuri sana wala asifikili wale waliouwawa hawakuwa uzao wa Adam tena kwa taarifa yake wengi wa mataifa yaliyouliwa walikuwa ni uzao wa Ibrahim na Luttu mpwa wake.Speaking of bible and judgement, taifa la MUNGU Israel iliua wangapi kuingia nchi ya ahadi?
Rashid Gwajima ndio aina ya maaskofu waliopo ccm, na masheikh wa aina ya Alhad Musa, hawa mungu wao ni Lucifer.Ndugu zangu kuna maisha baada ya maisha haya, na kila mmoja wetu atasimama mbele ya kiti cha hukumu cha Mungu. Asilimia kubwa ya Watanzania ni wacha Mungu, ndio maana naomba sana tujibu swali hili kutoka kwenye vina vya mioyo yetu.
CCM ina watu wanaomcha Mungu na wengine ni Maaskofu Wachungaji Mashehe na Mapadre. Je, ni kweli CCM ilishinda uchaguzi kwa halali? Je, uchaguzi ulikuwa huru na wa haki? Ni kweli wananchi waliichagua CCM maeneo yote nchini kwa kura nyingi hivyo? Je, vyombo vya dola havikuingilia uchaguzi na kubadilisha matokeo? Je, tume ya uchaguzi ilisimama katikati kama mwamuzi asiyependelea upande wowote?
Je, Mioyo yetu haina hatia kuhusu Uchaguzi huu?
Kumbuka kila mtu atasimama mbele za kiti cha hukumu cha Mungu.
Kuchapisha kura fake na kutamba nazo mitaani tena kwenye vituo vya kupigia kura tena kwenye siku ya kupiga kura ni very serious crime,ni kosa la jinai ambalo ni serious sana!Sasa kama ni chadema walichapisha kura fake kwa nini hawajakamatwa na polisi na kushtakiwa kwa kutenda kosa hilo ambalo ni very serious crime?Uchafuzi kwasababu nyie Chadema ndio mliouleta huo uchafu afu mkajikamata nyie wenyewe.
Hata kukua akiliwa na mwewe hua analaani hivyo hadi anaishaNdugu zangu kuna maisha baada ya maisha haya, na kila mmoja wetu atasimama mbele ya kiti cha hukumu cha Mungu. Asilimia kubwa ya Watanzania ni wacha Mungu, ndio maana naomba sana tujibu swali hili kutoka kwenye vina vya mioyo yetu.
CCM ina watu wanaomcha Mungu na wengine ni Maaskofu Wachungaji Mashehe na Mapadre. Je, ni kweli CCM ilishinda uchaguzi kwa halali? Je, uchaguzi ulikuwa huru na wa haki? Ni kweli wananchi waliichagua CCM maeneo yote nchini kwa kura nyingi hivyo? Je, vyombo vya dola havikuingilia uchaguzi na kubadilisha matokeo? Je, tume ya uchaguzi ilisimama katikati kama mwamuzi asiyependelea upande wowote?
Je, Mioyo yetu haina hatia kuhusu Uchaguzi huu?
Kumbuka kila mtu atasimama mbele za kiti cha hukumu cha Mungu.
Kwa akili yako ikiwa timamu kabisa pasipo matumizi ya kilevi kama pombe au bangi ulikuwa unaamini kabisa kwamba Lissu anaweza kumshinda Magufuli?.Ndugu zangu kuna maisha baada ya maisha haya, na kila mmoja wetu atasimama mbele ya kiti cha hukumu cha Mungu. Asilimia kubwa ya Watanzania ni wacha Mungu, ndio maana naomba sana tujibu swali hili kutoka kwenye vina vya mioyo yetu.
CCM ina watu wanaomcha Mungu na wengine ni Maaskofu Wachungaji Mashehe na Mapadre. Je, ni kweli CCM ilishinda uchaguzi kwa halali? Je, uchaguzi ulikuwa huru na wa haki? Ni kweli wananchi waliichagua CCM maeneo yote nchini kwa kura nyingi hivyo? Je, vyombo vya dola havikuingilia uchaguzi na kubadilisha matokeo? Je, tume ya uchaguzi ilisimama katikati kama mwamuzi asiyependelea upande wowote?
Je, Mioyo yetu haina hatia kuhusu Uchaguzi huu?
Kumbuka kila mtu atasimama mbele za kiti cha hukumu cha Mungu.
Kwahiyo hizi ndii sababu za kuwafanye muibe kura?Uchaguzi ulikuwa huru na haki.Tofauti na chaguzi zilizopita uchaguzi wa 2020,upinzani haukujiandaa.
Chadema hawakuwa wamoja.Kampeni ya urais aliachiwa mgombea pekee,wabunge Kila mmoja Alikuwa kivyake,hapakuwa na coordination Kati ya field officials na head office.
Kubwa na Kali Ni ujumbe uliokuwa unasemwa na mgombea urais kwenye kampeni,haukuwa ujumbe wa kutaka kushinda uchaguzi,Katibu Mkuu wa chama hakuwa mgombea wa Jimbo lo lote,katika Hali ya kawaida alitakiwa kuwa mshereheshaji mkuu wa mgombea,lakini Hilo alikuwepo.
Wahusika wote wamekimbilia nje ya nchi.Kuchapisha kura fake na kutamba nazo mitaani tena kwenye vituo vya kupigia kura tena kwenye siku ya kupiga kura ni very serious crime,ni kosa la jinai ambalo ni serious sana!Sasa kama ni chadema walichapisha kura fake kwa nini hawajakamatwa na polisi na kushtakiwa kwa kutenda kosa hilo ambalo ni very serious crime?
Hao watuhumiwa waliokimbia waliwahi kutajwa na kutafutwa na jeshi la Polisi kwa tuhuma za kuchapisha kura fake?Wahusika wote wamekimbilia nje ya nchi.