Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbe mwenye kuchekesha ye'huwa hacheki, huishia tu kutabasamu?Nimetebasamuu halafu nikataka kucheka ila kicheko kikapotea....
Haya mambo banaa, na usishangae kuna walioachana kisa kufua nguo za ndani....
Mke anasema mimi sifui boksa zako unavaa wiki nzima unarudia...
Mume anakasirika kwanini hunijali na mimi nispoona boksa safi navaa ya jana...!!!🤔🤔🤔 (ana mkomoa nani...! Mbupuuu au mkee..!!?). Ukurutu unaanzia hapa..
Kuoa au kuolewa ni zaidi ya kufanya harusi, shurti kwanza uwe umepevuka kiakili/maarifa na uwe na busara za kutosha.
Ukiwa na mihemko, hasira za mkizi na maamuzi yasiyo na kichwa wala miguu, umekwisha.....!!
Jiulize tuu, kutoa/kutolewa mahari ndo sababu ya kubadili mfumo wako wa maisha?
Kama wakati uko mseja ulikuwa unajimudu, kwanini baada ya kuoa/kuolewa uwe mlemavu mwenye viungo vyote? Hii ni hata kina dada, kama ulikuwa unajigharamia kwanini baada ya kuolewa ugharamikiwe...!!
Fanya huduma unayopewa na mwenza kama zawadi/nyongeza isipokuwepo isokuletee masononeko, maumivu au kuona hutendewi haki au kudhulumiwa.
Sikuzote penda maisha ya kujitegemea na si kutegemea flani kwa namna yeyote ile. Atayekupenda kwa dhati atakufata hapo ulipo ukiwa unajimudu na yeye asikufanyie jambo ili umuelekee, afanye bila kutarajia malipo.
Suluhiso la kuondoa hiyo kero tajwa, wekeni bajeti ya luku ya kutosha kwa mwezi, bajeti ya bili ya maji, nunueni mashine ya kufulia, chupi/boksa za kuvaa mwezi mzima bila kurudia.
Siku ya kufua iwe mara moja au 2 kwa wiki mnatumbukiza visinda vyenu humo, vesti, soksi, hendikachifu, brazia, gagulo, skin tite kisha mnaanika kama hamna mashine ya dryer.
Mkishindwa hapo tembeeni wizout. Yaani wewe usivae boksa, nayeye asivae kufuli wala brazia, nawewe usivae vesti wala soksi kukwepa nani afue na pia mtapunguza gharama ya kuzinunua.
NB: Dada wa kazi asifue nguo yeyote ya ndani. Mpeni suruali mashati magauni sketi blauzi basi. Hata hendikachifu asifue.
HYGENE: Usirudie kuvaa nguo ya ndani, vaa nguo ya ndani.mara moja kisha ifue.
Mwenye sikio asikie.
Bibi Kasinde.
Yaani unahitaji upate utaratibu wa kila familia kwenye hilo jambo?Huko kwenu mnafanyaje? na kwanini?
(A) Kila mmoja anafua underwear yake
(B) Hakuna formula maalum
(C) Mume anafua ya kwake na ya mke
(D) Mke anafua ya kwake na ya mume
(E) Dada/kaka wa kazi
Siyo kupigishwa mswaki tu na 'kushikiliziwa' mi nataka.Kila mtu anafua zake.Tuache ulemavu wa kuigiza kwenye ndoa.Mtataka mpigishwe mswaki na kulishwa kama vichanga.
.......mimi nitakufulia hata kukufua na wewe......😘 Nimeipenda sana hii.Kwenye ukuaj wangu had Sasa hiyo ni kazi ya mke watu wasilete uzungu wa et kusaidiana ooh sijui 50/50 mim sitak hayo wewe nenda katafute mim na watoto tule mim nitakufulia hata kukufua na wewe nitafanya ivo
Hiyo boxer hainigharim chochote as long as nakula nashiba [emoji4]
Aise dunia ingekubali kuendewa chooni ingekuwa raha tupu.Siyo kupigishwa mswaki tu na kushikiliziwa mi nataka.
Ingewezeka hata kutafuniwa nitafuniwe na kumeza nimezewa, kazi yangu iwe ni kushiba tu.
Hata kuendewa haja niendewe, lakini dunia inagoma, eti lazima niende chooni mwenyewe na ku piz lazima nihusike moja kwa moja bila kusaidiwa na mtu!
Mna-go kichele tu au mnavaa magwanda mkuu?Wengine hatuvai boxer
Kabisaaa, hata mke awe mtu wa ofisini , akirudi lazima afanye majukum yake ikiwemo na usafi wa wote wawili na watoto, mimi nawasha tv kabisa na kina junior tunanza kuangalia katuni zetu mama anafua boksa huko uani.Kwenye ukuaj wangu had Sasa hiyo ni kazi ya mke watu wasilete uzungu wa et kusaidiana ooh sijui 50/50 mim sitak hayo wewe nenda katafute mim na watoto tule mim nitakufulia hata kukufua na wewe nitafanya ivo
Hiyo boxer hainigharim chochote as long as nakula nashiba [emoji4]
Unaniita mwanandoa halafu unavaa chupi? Wanandoa hawavai chupiKwenye ndoa.. Hasa kwa wanaojua maana ya ndoa mambo mengi hayana formula.. Ama formula Ku u ni upendo
Kassie kasema 'unavaa wizout'🤣🤣🤣.Wengine hatuvai boxer
DHuko kwenu mnafanyaje? na kwanini?
(A) Kila mmoja anafua underwear yake
(B) Hakuna formula maalum
(C) Mume anafua ya kwake na ya mke
(D) Mke anafua ya kwake na ya mume
(E) Dada/kaka wa kazi
Hata mim ningekuhoji au Kuna jambo limetendeka lakukufanya wewe ufue hiyo nguo? Maana sio kazi yako kufuaWema Wangu uliniponza, nikasema KAMWE sitaingilia majukumu ya MTU, niliingia kuoga, nikajisahau kuvua boxer, basi baadae ya kuoga nikaamua niifue kabisa nikaiweka toilet. Duh hio kesi yake, imekuaje leo, kuna nini, blablablaaa. Nikajisemea eeghh Kumbe.....
😄😄😄😄😄😄 Kama mzee wako alikuwa anajifulia mwenyewe pole sana na wewe endelea kujifulia!Kila mtu anafua zake.Tuache ulemavu wa kuigiza kwenye ndoa.Mtataka mpigishwe mswaki na kulishwa kama vichanga.