Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Mkuu,mimi nafua boksa na soksi zangu mwenyewe. Hizo zingine namuachia zimuue.mkuu kufua nguo za ndani ni jukumu la mke Full stop muulize [@nakwede7] anaelewa
...
yaani kuja nimfulie mkewangu yaani dah! Sijui mpaka itokee nini yaani tena nikifua yaan dah
Usiniharibie siku.Jiheshimu.Si lazima tubadilishane komenti.Wewe ndio unafua nguo za mkeo, endelea mm sikakuzia , ume me uwe ke wewe endelea na utaratibu wako.
Wanaume wameshanielewa.
Sidhani kama kuna neno umekosea hata kidogo.Kuna viumbe wanadhani ndoa inafananishwa na mkoloni na mtawaliwa.Ni kosa kubwa.Kwanza ni kuishi kirafiki.Na siyo ubabe na undavaundava hadi kuogopwa kunaingilia mlango wa mbele wa familia na kuishi humo.Nimekutunuku medani kwa hii comment. Ndoa inatakiwa watu waishi free bila fomula, bila masharti na bila kuviziana. Ukishaona ndoa ambayo ina mambo kama kupekua simu ya mwenzako, masharti ya nani anahistahili kutandika kitanda na kufua nguo za mwenzake nk basi hiyo ndoa ina tatizo.
Hivi vipande ni zaidi ya dhahabu. Antie Kasie umetisha.Kuoa au kuolewa ni zaidi ya kufanya harusi, shurti kwanza uwe umepevuka kiakili/maarifa na uwe na busara za kutosha.
Ukiwa na mihemko, hasira za mkizi na maamuzi yasiyo na kichwa wala miguu, umekwisha.....!!
Jiulize tuu, kutoa/kutolewa mahari ndo sababu ya kubadili mfumo wako wa maisha?
Kama wakati uko mseja ulikuwa unajimudu, kwanini baada ya kuoa/kuolewa uwe mlemavu mwenye viungo vyote? Hii ni hata kina dada, kama ulikuwa unajigharamia kwanini baada ya kuolewa ugharamikiwe...!!
Fanya huduma unayopewa na mwenza kama zawadi/nyongeza isipokuwepo isokuletee masononeko, maumivu au kuona hutendewi haki au kudhulumiwa.
NB: Dada wa kazi asifue
Ule ulikuwa ukoloni.Ukifua mwenyewe unapata hata kujipimia muda wa kuvaa nguo hiyo kama ni siku moja au vipi.Miaka hiyo ilikuwa ni wajibu wa mke kufua nguo za ndani za mme.
Mungu akubariki mkuuKwenye ukuaj wangu had Sasa hiyo ni kazi ya mke watu wasilete uzungu wa et kusaidiana ooh sijui 50/50 mim sitak hayo wewe nenda katafute mim na watoto tule mim nitakufulia hata kukufua na wewe nitafanya ivo
Hiyo boxer hainigharim chochote as long as nakula nashiba [emoji4]
hakuna shida mke yote nitakufanyia kwa ajili ya tumbua.Atakayenioa anacho atafua boksa zake na michupi yangu 😹🤣🤣
Namwambia kabisa ukimaliza babe uje nikupoze na tumbua 🤭
Mxieeeeww 😼😹😹hakuna shida mke yote nitakufanyia kwa ajili ya tumbua.
💪🏿🙏🏿🙏🏿 wazungu walijifanya kutengeneza formula za mapenzi yakawashindaNimekutunuku medani kwa hii comment. Ndoa inatakiwa watu waishi free bila fomula, bila masharti na bila kuviziana. Ukishaona ndoa ambayo ina mambo kama kupekua simu ya mwenzako, masharti ya nani anahistahili kutandika kitanda na kufua nguo za mwenzake nk basi hiyo ndoa ina tatizo.
Yani wewe una undugu na mume wangu, hafui hata iweje....wakati kabla ya kunioa alikuwa ananifulia vibikini anaanika kwenye kamba, afu nyumba ya kupanga hadi nilikuwa namkataza namwambia aache majirani wasije sema nimemroga🤣Mama anamaliza kila kitu😄 ni mimi na kabati tu. Nishasahau hata habari za kufua.
Hujadanganya.....yani hapa nimepewa madiko last night, basi nimeamka energy ya kutosha, nimemfulia nguo zote.....lunch mempikia wali nazi nne🤣🤣🤣 najichekesha chekesha siku nzima kama mtu alomaliza marejesho ya OYA!Vitu vingine ni kucheza na saikolojia ya mtu, mume mpe madikodiko mkeo ya kutosha kitandani, ukirudi kutoka kibaruani mletee kashata/chokoleti/pipi ya kijiti/vocha ya jero na here hereni au mkufu. Mpe tabasamu, busu na msikilize aliyoyahifadhi siku nzima.
Asubuhi yake ukiamka kama mkeo si mvivu na hana asili ya uvivu, atakufulia, atakuogesha na atakulisha bila kukalamika nimechoka kukufulia.
Sameway kwa wanawake wanaopenda kupewa hela na waume zao, beg them saikolojikali.
Akili mtu wangu 😉.
cc Azarel
Unaijua nguvu ya tumbua?? Sema labda km wewe sio rijali sawa sikupingi..!!Kwa mario utafanikiwa ila kwa hustler sahau
Kweli shez type kabisa yule mke eti anasema pep anawaza mpira tuu...wakati mpira huo ndio ulimfanya aishi vizuri apande private jets na kuenjoy lifeTema mate chini. Hata ufanye nini kamwe huwezi kuwatimizia watakayo hawa wapenzi wetu. Natoa mfano, humu JF kila wakati utasikia, mwanaume tafuta pesa. Je Kocha wa Manchester City si mke wake ambaye ameishi naye miaka 30 ametoa sababu ipi ya kudai talaka? Just imagine! Mwanamke kama ni mnoko ni mnoko tu, jinsi ya kuishi naye ni agreement ya division of labour na unahakikisha huo mkataba unadumu miaka yote, ukivunja kipengele kimoja basi wewe kwisha.
Na ukitoka kwenye michepuko yako ukiamua kufua mwenyewe ujue lazima ujielezeKuna kusaidiana mtani
Mshangazi leta chupi zako nikufulieMxieeeeww 😼😹😹