Kwa wanandoa: nani ana jukumu la kufua nguo zenu za ndani?

Kwa wanandoa: nani ana jukumu la kufua nguo zenu za ndani?

Nimekutunuku medani kwa hii comment. Ndoa inatakiwa watu waishi free bila fomula, bila masharti na bila kuviziana. Ukishaona ndoa ambayo ina mambo kama kupekua simu ya mwenzako, masharti ya nani anahistahili kutandika kitanda na kufua nguo za mwenzake nk basi hiyo ndoa ina tatizo.
Sidhani kama kuna neno umekosea hata kidogo.Kuna viumbe wanadhani ndoa inafananishwa na mkoloni na mtawaliwa.Ni kosa kubwa.Kwanza ni kuishi kirafiki.Na siyo ubabe na undavaundava hadi kuogopwa kunaingilia mlango wa mbele wa familia na kuishi humo.
 
Kuoa au kuolewa ni zaidi ya kufanya harusi, shurti kwanza uwe umepevuka kiakili/maarifa na uwe na busara za kutosha.

Ukiwa na mihemko, hasira za mkizi na maamuzi yasiyo na kichwa wala miguu, umekwisha.....!!

Jiulize tuu, kutoa/kutolewa mahari ndo sababu ya kubadili mfumo wako wa maisha?

Kama wakati uko mseja ulikuwa unajimudu, kwanini baada ya kuoa/kuolewa uwe mlemavu mwenye viungo vyote? Hii ni hata kina dada, kama ulikuwa unajigharamia kwanini baada ya kuolewa ugharamikiwe...!!

Fanya huduma unayopewa na mwenza kama zawadi/nyongeza isipokuwepo isokuletee masononeko, maumivu au kuona hutendewi haki au kudhulumiwa.



NB: Dada wa kazi asifue
Hivi vipande ni zaidi ya dhahabu. Antie Kasie umetisha.
 
Ukienda kuoa Pwani vitu sijui kufua,kupiga,kazi zote za nyumbani wanajua ni wajibu wa nani hamna mashindano na wanajua kupika kweli kweli.

Ila kuna baadhi ya nyumba beki tatu haishii kwenye kufua tuu,bali hadi kumpangia nguo za kuvaa kwamba hii inaenda na hii, ile na hii mke hana time.
 
Nimekutunuku medani kwa hii comment. Ndoa inatakiwa watu waishi free bila fomula, bila masharti na bila kuviziana. Ukishaona ndoa ambayo ina mambo kama kupekua simu ya mwenzako, masharti ya nani anahistahili kutandika kitanda na kufua nguo za mwenzake nk basi hiyo ndoa ina tatizo.
💪🏿🙏🏿🙏🏿 wazungu walijifanya kutengeneza formula za mapenzi yakawashinda
 
Mama anamaliza kila kitu😄 ni mimi na kabati tu. Nishasahau hata habari za kufua.
Yani wewe una undugu na mume wangu, hafui hata iweje....wakati kabla ya kunioa alikuwa ananifulia vibikini anaanika kwenye kamba, afu nyumba ya kupanga hadi nilikuwa namkataza namwambia aache majirani wasije sema nimemroga🤣
Toka amenioa hagusi hata nguo zake, na mimi siwezi kumpa dada wa kazi nguo zake afue.....ndo nafua mwenyewe.
 
Vitu vingine ni kucheza na saikolojia ya mtu, mume mpe madikodiko mkeo ya kutosha kitandani, ukirudi kutoka kibaruani mletee kashata/chokoleti/pipi ya kijiti/vocha ya jero na here hereni au mkufu. Mpe tabasamu, busu na msikilize aliyoyahifadhi siku nzima.
Asubuhi yake ukiamka kama mkeo si mvivu na hana asili ya uvivu, atakufulia, atakuogesha na atakulisha bila kukalamika nimechoka kukufulia.

Sameway kwa wanawake wanaopenda kupewa hela na waume zao, beg them saikolojikali.

Akili mtu wangu 😉.

cc Azarel
Hujadanganya.....yani hapa nimepewa madiko last night, basi nimeamka energy ya kutosha, nimemfulia nguo zote.....lunch mempikia wali nazi nne🤣🤣🤣 najichekesha chekesha siku nzima kama mtu alomaliza marejesho ya OYA!
Visirani vingine ni genye tu🤣🤣🤣
 
Tafuteni hela mnunue hii kitu...
Acheni kuoa wakati unajijua masikini choka mbovu, utaishia kuleta masikini wengine duniani

1737289846126.png
 
Tema mate chini. Hata ufanye nini kamwe huwezi kuwatimizia watakayo hawa wapenzi wetu. Natoa mfano, humu JF kila wakati utasikia, mwanaume tafuta pesa. Je Kocha wa Manchester City si mke wake ambaye ameishi naye miaka 30 ametoa sababu ipi ya kudai talaka? Just imagine! Mwanamke kama ni mnoko ni mnoko tu, jinsi ya kuishi naye ni agreement ya division of labour na unahakikisha huo mkataba unadumu miaka yote, ukivunja kipengele kimoja basi wewe kwisha.
Kweli shez type kabisa yule mke eti anasema pep anawaza mpira tuu...wakati mpira huo ndio ulimfanya aishi vizuri apande private jets na kuenjoy life
 
Ofa ofa ofa!! Nafua chupi za mashangazi bure.
Ukileta ambayo ina masalia ya utelezi wako nitakulipa buku 5
 
Back
Top Bottom