Infropreneur
JF-Expert Member
- Aug 15, 2022
- 9,830
- 20,686
Hata Dragons π watemao moto midomoni mwao wana jina, ila kiuhalisia wao kama wao, Hawapo.Kitu kikiwa na jina ni ishara ya kwanza KIPO.Tena kama kina jina la tofauti kwa kila nchi, kila kabila na kila kitongoji
Ukishakufa umekufa, Hata mwili wako ukatupwa porini uliwe na fisi, Hautajua kwanza hauta kuwepo tena.Kuna swali nilikuwa napenda sana kuuliza Atheist.Hivi kama ukifa it's okay tu historia yako ikasomwa watu wakakufukia na kila mtu akaishia zake kwake?
Ni kwa waafrika tu, ndio mnaona mtu kuwa Atheist ni kitu cha ajabu.Na je watu wakaribu yako wanajua kuwa wewe ni atheist?I mean wazazi wako au ni huku tu jamii forum ukija unakuwa atheist?
Sitaki kuamini, nataka kujua.Nini kinakufanya huamini hayupo
You are not mentally enough for arguments.Haifai hata kupoteza mda kujadiliana nao.
Hamna mnachoweza kujadili, Zaidi ya imani zenu uchwara mlizo pumbazwa na kuaminishwa zisizo na uthibitisho wowote ule.Mimi mwanzo nilikuwa nabishana nao, nikagundua ni ujinga kubishana wa wakufunzi wa kozi ya ujinga.
Ninyi waamini Mungu ndio Hamna akili.Sahihi mkuu, ni kupoteza muda tu maana hao jamaa hawapo sawa kiakili
Mungu Yupo, usidanganyikeKwa wanaoamini hakuna mungu, ukiwachunguza kwa makini hawa watu ndiyo ujifanya wao ni majiniazi, kumbe ni wapumbavu wa mwisho katika hii dunia, na hoja yao kubwa ni kwamba kila kitu ni nature hoja hii haina mashiko hata kidogo na ni hoja ya kipuuzi ambayo utolewa na watu ambao kwa kawaida wameshindwa kuamini katika imani zao kwa uthabiti maybe wamechunguza kuwa katika imani zao ambazo wamekuwa na kulelewa umo aziko sawa sawa na azijawapa majibu yakutosha kiasi cha wao kuamini
Kuna wengine majeuri tu na kwakweli katika hii dunia watu hao awawezi kukosekana wanajua na kuona lakini nyoyo zao zimekufa na wauwaji ni wenyewe na matendo yao.
Na rudi katika hii hoja ya kusema kila kitu kipo sababu ni nature, huyu huyu anaesema hivi anaamini kwamba simu anatengeneza mzungu internet mzungu,
ila jinsi mungu alivyoumba kila kitu kwa ustadi wa hali ya juu wanasema ni nature, ushuuzi!
Huyo Mungu kama yupo, ajitokeze hadharani mwenyewe ajidhihirishe yupo kama ana huo uwezo.Acha mambo mengi we amini Mungu yupo ..
Ulisha wahi kufa ukajua huyo Mungu yupo?Wewe kufa afu utakuja kutuambia kama yupo au hayupo maana ata ueleweshwe hutaki kuelewa
Yupo wapi?Mungu Yupo, usidanganyike
Logical non sequitur.
Unaunganisha vitu viwili tofauti visivyo na uhusiano wowote ule kuunda hitimisho potofu.
Ulimwengu kuwepo sio uthibitisho wa uwepo wa Mungu.
Kwanza thibitisha uwepo wa huyo Mungu, Kabla ya kusema Mungu huyo ndio chanzo cha ulimwengu.
Huyo Mungu mmemtunga vichwani mwenu tu. Ndio maana hamuwezi kuthibitisha uwepo wake
Look at yourself, two eyes, ears, and everything perfectly thought out , that means there's a designer( God). If it was nature you'd have been with one eye on the stomach, one ear Γ hand without 5 fingers but you were perfectly made because one (God) thought of you ( everything) before creating it. Believe or not that's the truth. Religion ( organized religion) might be misleading but there is God , and let's not confuse God with organized religionLogical non sequitur.
Unaunganisha vitu viwili tofauti visivyo na uhusiano wowote ule kuunda hitimisho potofu.
Ulimwengu kuwepo sio uthibitisho wa uwepo wa Mungu.
Kwanza thibitisha uwepo wa huyo Mungu, Kabla ya kusema Mungu huyo ndio chanzo cha ulimwengu.
Huyo Mungu mmemtunga vichwani mwenu tu. Ndio maana hamuwezi kuthibitisha uwepo wake.
Shida mHamna mnachoweza kujadili, Zaidi ya imani zenu uchwara mlizo pumbazwa na kuaminishwa zisizo na uthibitisho wowote ule.
Mungu yuko wapi? Anafanya nini sasa hivi? Yuko na kina nani? Makazi yake yako wapi? Anafanana na nini huyo Mungu? Umewahi kumuona mkaongea nae akamwambia yeye ndio Mungu alieumba kila kitu ama unategemea hadithi za sungura na fisi za kwenye biblia ama Quran?
Mnaona kwamba nature yenu mlokuwa mna iyamini nimeipiga k o leo mnakimbilia tunataka kumuona kwa macho na mdomo aloo nina safari nzito nafurahi kwamba mnaelewaUlisha wahi kufa ukajua huyo Mungu yupo?
Au unatetea stori uchwara za kusimuliwa tu?
Vizuri, ni kweli mule kaelezea mengi sana ila kama unakiamini kitabu cha Henoko kwanini leo hii kinahesabika kama moja ya vitabu ambavyo havifai kwa mafundisho (Apocrypha book)?Binafsi naamini Mungu yupo kwa sababu hizi
- Hakuna mwenye uwezo wa kutengeneza hii technology tunayoiona ni wizi wa maarifa. Ndo maana kitabu cha Enock hakiko hadharani, mle zipo hadi habari za Aliens.
- Utabiri wa vitabu vya dini. Hata kama bible ni kitabu cha hekaya lakini ni nani wangekaa na kutabiri haya tunayoyaona leo. Waliosoma Daniel (ndoto ya Nebkadineza) tunaelewana.
Mafanikio ya Watu waovu. Wazungu, wachina na Wajapan wana mafanikio makubwa na ni watu wachafu sana. Kama ulishaajiriwa na mchina utanielewa. Kama tunavyojua dunia ipo chini ya mwovu. Hapa hamna cha ubishi - kumtumikia shetani mali njenje. Sawa mtawatetea na kuwaita magineas lakini tazama maisha yao. Genius anawezaje kuwa shoga, kutengeneza mabom ya kuua watu na sio kusuruhisha? Genius huyohuyo anatengeneza magonjwa library, genius huyohuyo ni mbinafsi, hawezi share na wewe skills zozote. Na genius huyohuyo nia yake ni kukunyonya. Simanishi Afrika hatuna uovu.
Energy, kama Yesu au Mungu hayupo Kwanini ukitaja jina la Yesu watu wanaanguka mapepo. Hapa simanishi wachungaji wakubwa tu. Hata nyimbo za gospel ukizipiga mbele ya mtu mwenye mapepo utaona anachange mood. Hii nimeona kwa watu.
Anyway, naweza nisiwe sahihi lakini tukumbuke hatupaswi kuamini au kutokuamini kizembe. Mwisho kabisa, tusisahau Mungu hana muda wa kudhihirisha live kama tunavyotaka. Sababu sisi ni wenye dhambi mbele zake na sio wote na hao wachache wanaomtukuza anaweza kulizika nao. Kumbuka aliaza na mtu mmoja tu.
Asante
Aliye kwambia bila huyo "God" ningekuwa na jicho moja, sikio moja au mkono bila vidole vitano, ni nani?Lok
Look at yourself, two eyes, ears, and everything perfectly thought out , that means there's a designer( God). If it was nature you'd have been with one eye on the stomach, one ear Γ hand without 5 fingers but you were perfectly made because one (God) thought of you ( everything) before creating it.
There's no truth without evidence, facts and proofs.Believe or not that's the truth.
God doesn't exist.Religion ( organized religion) might be misleading but there is God , and let's not confuse God with organized religion
Hata kichwani mwako yupo.Yupo wapi?
Huyo Mungu yupo kichwani kwako tu kwenye mawazo yako, ila kiuhalisia hayupo na hajawahi kuwepo.
Gentleman, sisi hatuamini kwenye kuamini. Hatuna imani ya aina yeyote ile.Shida m
Mnaona kwamba nature yenu mlokuwa mna iyamini nimeipiga k o leo mnakimbilia tunataka kumuona kwa macho na mdomo aloo nina safari nzito nafurahi kwamba mnaelewa
Hatuhitaji kuamini na hatuamini.maana kwenye iyo nature msiyo iyamini kuna nature kibao mnaziamini
Hayupo na hajawahi kuwepo.Hata kichwani mwako yupo.
Kuna kitu/uwezo unacho ndani yako ambao unakuwezesha kuwasiliana na your creator straight, moja kwa moja.Yupo wapi?
Huyo Mungu yupo kichwani kwako tu kwenye mawazo yako, ila kiuhalisia hayupo na hajawahi kuwepo.