Kwa wanaoamini hakuna Mungu, njooni hapa

Kwa wanaoamini hakuna Mungu, njooni hapa

Kitu kikiwa na jina ni ishara ya kwanza KIPO.Tena kama kina jina la tofauti kwa kila nchi, kila kabila na kila kitongoji
Hata Dragons 🐉 watemao moto midomoni mwao wana jina, ila kiuhalisia wao kama wao, Hawapo.

Sawa na huyo Mungu wenu, Hayupo katika uhalisia bali katika dhana za kufikirika tu.

Huyo Mungu mmemtunga vichwani mwenu tu, Na ndio maana hamuwezi kuthibitisha uwepo wake.
 
Kuna swali nilikuwa napenda sana kuuliza Atheist.Hivi kama ukifa it's okay tu historia yako ikasomwa watu wakakufukia na kila mtu akaishia zake kwake?
Ukishakufa umekufa, Hata mwili wako ukatupwa porini uliwe na fisi, Hautajua kwanza hauta kuwepo tena.
Na je watu wakaribu yako wanajua kuwa wewe ni atheist?I mean wazazi wako au ni huku tu jamii forum ukija unakuwa atheist?
Ni kwa waafrika tu, ndio mnaona mtu kuwa Atheist ni kitu cha ajabu.

Kwa nchi za ulaya na Amerika kuwa Atheist ni kawaida na watu wengi ni Atheists.
 
Nini kinakufanya huamini hayupo
Sitaki kuamini, nataka kujua.

Anayesema yupo ana wajibu wa kuthibitisha yupo.

Habari zote za kumuelezea Mungu, hususan mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote, zina contradiction, hazina logical consistency.

Moja ya contradiction hii ni The Problem of Evil.Contradictions hizo zinaonesha uongo, zinaonesha Mungu huyo hayupo, zinaonesha kuwa habari ya kusema yupo ni hadithi ya uongo ya kutungwa na watu tu.

Watu wengi ninaojadikiana nao hapa hawaelewi hata The Problem of Evil ni nini.

Mimi sitaki kuamini uongo, sitaki kuamini Mungu ambaye maelezo ya uwepo wake yana contradiction.

Nataka kujua ukweli usio na contradiction.
 
Kwa wanaoamini hakuna mungu, ukiwachunguza kwa makini hawa watu ndiyo ujifanya wao ni majiniazi, kumbe ni wapumbavu wa mwisho katika hii dunia, na hoja yao kubwa ni kwamba kila kitu ni nature hoja hii haina mashiko hata kidogo na ni hoja ya kipuuzi ambayo utolewa na watu ambao kwa kawaida wameshindwa kuamini katika imani zao kwa uthabiti maybe wamechunguza kuwa katika imani zao ambazo wamekuwa na kulelewa umo aziko sawa sawa na azijawapa majibu yakutosha kiasi cha wao kuamini

Kuna wengine majeuri tu na kwakweli katika hii dunia watu hao awawezi kukosekana wanajua na kuona lakini nyoyo zao zimekufa na wauwaji ni wenyewe na matendo yao.

Na rudi katika hii hoja ya kusema kila kitu kipo sababu ni nature, huyu huyu anaesema hivi anaamini kwamba simu anatengeneza mzungu internet mzungu,

ila jinsi mungu alivyoumba kila kitu kwa ustadi wa hali ya juu wanasema ni nature, ushuuzi!
Mungu Yupo, usidanganyike
 
Mungu yuko wapi? Anafanya nini sasa hivi? Yuko na kina nani? Makazi yake yako wapi? Anafanana na nini huyo Mungu? Umewahi kumuona mkaongea nae akamwambia yeye ndio Mungu alieumba kila kitu ama unategemea hadithi za sungura na fisi za kwenye biblia ama Quran?
 
Lok
Logical non sequitur.

Unaunganisha vitu viwili tofauti visivyo na uhusiano wowote ule kuunda hitimisho potofu.

Ulimwengu kuwepo sio uthibitisho wa uwepo wa Mungu.

Kwanza thibitisha uwepo wa huyo Mungu, Kabla ya kusema Mungu huyo ndio chanzo cha ulimwengu.

Huyo Mungu mmemtunga vichwani mwenu tu. Ndio maana hamuwezi kuthibitisha uwepo wake

Logical non sequitur.

Unaunganisha vitu viwili tofauti visivyo na uhusiano wowote ule kuunda hitimisho potofu.

Ulimwengu kuwepo sio uthibitisho wa uwepo wa Mungu.

Kwanza thibitisha uwepo wa huyo Mungu, Kabla ya kusema Mungu huyo ndio chanzo cha ulimwengu.

Huyo Mungu mmemtunga vichwani mwenu tu. Ndio maana hamuwezi kuthibitisha uwepo wake.
Look at yourself, two eyes, ears, and everything perfectly thought out , that means there's a designer( God). If it was nature you'd have been with one eye on the stomach, one ear à hand without 5 fingers but you were perfectly made because one (God) thought of you ( everything) before creating it. Believe or not that's the truth. Religion ( organized religion) might be misleading but there is God , and let's not confuse God with organized religion
 
Hamna mnachoweza kujadili, Zaidi ya imani zenu uchwara mlizo pumbazwa na kuaminishwa zisizo na uthibitisho wowote ule.
Shida m
Mungu yuko wapi? Anafanya nini sasa hivi? Yuko na kina nani? Makazi yake yako wapi? Anafanana na nini huyo Mungu? Umewahi kumuona mkaongea nae akamwambia yeye ndio Mungu alieumba kila kitu ama unategemea hadithi za sungura na fisi za kwenye biblia ama Quran?

Ulisha wahi kufa ukajua huyo Mungu yupo?

Au unatetea stori uchwara za kusimuliwa tu?
Mnaona kwamba nature yenu mlokuwa mna iyamini nimeipiga k o leo mnakimbilia tunataka kumuona kwa macho na mdomo aloo nina safari nzito nafurahi kwamba mnaelewa

maana kwenye iyo nature msiyo iyamini kuna nature kibao mnaziamini
 
Binafsi naamini Mungu yupo kwa sababu hizi
- Hakuna mwenye uwezo wa kutengeneza hii technology tunayoiona ni wizi wa maarifa. Ndo maana kitabu cha Enock hakiko hadharani, mle zipo hadi habari za Aliens.

- Utabiri wa vitabu vya dini. Hata kama bible ni kitabu cha hekaya lakini ni nani wangekaa na kutabiri haya tunayoyaona leo. Waliosoma Daniel (ndoto ya Nebkadineza) tunaelewana.

Mafanikio ya Watu waovu. Wazungu, wachina na Wajapan wana mafanikio makubwa na ni watu wachafu sana. Kama ulishaajiriwa na mchina utanielewa. Kama tunavyojua dunia ipo chini ya mwovu. Hapa hamna cha ubishi - kumtumikia shetani mali njenje. Sawa mtawatetea na kuwaita magineas lakini tazama maisha yao. Genius anawezaje kuwa shoga, kutengeneza mabom ya kuua watu na sio kusuruhisha? Genius huyohuyo anatengeneza magonjwa library, genius huyohuyo ni mbinafsi, hawezi share na wewe skills zozote. Na genius huyohuyo nia yake ni kukunyonya. Simanishi Afrika hatuna uovu.

Energy, kama Yesu au Mungu hayupo Kwanini ukitaja jina la Yesu watu wanaanguka mapepo. Hapa simanishi wachungaji wakubwa tu. Hata nyimbo za gospel ukizipiga mbele ya mtu mwenye mapepo utaona anachange mood. Hii nimeona kwa watu.

Anyway, naweza nisiwe sahihi lakini tukumbuke hatupaswi kuamini au kutokuamini kizembe. Mwisho kabisa, tusisahau Mungu hana muda wa kudhihirisha live kama tunavyotaka. Sababu sisi ni wenye dhambi mbele zake na sio wote na hao wachache wanaomtukuza anaweza kulizika nao. Kumbuka aliaza na mtu mmoja tu.
Asante
Vizuri, ni kweli mule kaelezea mengi sana ila kama unakiamini kitabu cha Henoko kwanini leo hii kinahesabika kama moja ya vitabu ambavyo havifai kwa mafundisho (Apocrypha book)?

Lakini vile vile ni wapi Yesu alianzisha dhehebu mbona kuna utitiri mkubwa sana wa madhehebu na lipi lina mafundisho sahihi?

Je unaamini sabato ni jumamosi hii ya kalenda ya Gregory?

Nimekuuliza hayo kwasababu nimeona kuna kitu naweza pata kwako.
 
Lok



Look at yourself, two eyes, ears, and everything perfectly thought out , that means there's a designer( God). If it was nature you'd have been with one eye on the stomach, one ear à hand without 5 fingers but you were perfectly made because one (God) thought of you ( everything) before creating it.
Aliye kwambia bila huyo "God" ningekuwa na jicho moja, sikio moja au mkono bila vidole vitano, ni nani?

Hakuna Mungu aliyeumba chochote kile.

Huyo Mungu mmemtunga vichwani mwenu tu Na wala huwezi kuthibitisha uwepo wake.

Unafosi fosi tu, Dunia iwe imeumbwa na huyo Mungu wako uchwara wa kufikirika.
Believe or not that's the truth.
There's no truth without evidence, facts and proofs.

Don't force your claims to be true while they are false.
Religion ( organized religion) might be misleading but there is God , and let's not confuse God with organized religion
God doesn't exist.
 
Shida m



Mnaona kwamba nature yenu mlokuwa mna iyamini nimeipiga k o leo mnakimbilia tunataka kumuona kwa macho na mdomo aloo nina safari nzito nafurahi kwamba mnaelewa
Gentleman, sisi hatuamini kwenye kuamini. Hatuna imani ya aina yeyote ile.

Una elewa hilo?
maana kwenye iyo nature msiyo iyamini kuna nature kibao mnaziamini
Hatuhitaji kuamini na hatuamini.

Tunajua na tunahitaji kujua kwa uthibitisho, ushahidi na uhakika.
 
Yupo wapi?

Huyo Mungu yupo kichwani kwako tu kwenye mawazo yako, ila kiuhalisia hayupo na hajawahi kuwepo.
Kuna kitu/uwezo unacho ndani yako ambao unakuwezesha kuwasiliana na your creator straight, moja kwa moja.

Think
 
Back
Top Bottom