Binafsi naamini Mungu yupo kwa sababu hizi
- Hakuna mwenye uwezo wa kutengeneza hii technology tunayoiona ni wizi wa maarifa. Ndo maana kitabu cha Enock hakiko hadharani, mle zipo hadi habari za Aliens.
- Utabiri wa vitabu vya dini. Hata kama bible ni kitabu cha hekaya lakini ni nani wangekaa na kutabiri haya tunayoyaona leo. Waliosoma Daniel (ndoto ya Nebkadineza) tunaelewana.
Mafanikio ya Watu waovu. Wazungu, wachina na Wajapan wana mafanikio makubwa na ni watu wachafu sana. Kama ulishaajiriwa na mchina utanielewa. Kama tunavyojua dunia ipo chini ya mwovu. Hapa hamna cha ubishi - kumtumikia shetani mali njenje. Sawa mtawatetea na kuwaita magineas lakini tazama maisha yao. Genius anawezaje kuwa shoga, kutengeneza mabom ya kuua watu na sio kusuruhisha? Genius huyohuyo anatengeneza magonjwa library, genius huyohuyo ni mbinafsi, hawezi share na wewe skills zozote. Na genius huyohuyo nia yake ni kukunyonya. Simanishi Afrika hatuna uovu.
Energy, kama Yesu au Mungu hayupo Kwanini ukitaja jina la Yesu watu wanaanguka mapepo. Hapa simanishi wachungaji wakubwa tu. Hata nyimbo za gospel ukizipiga mbele ya mtu mwenye mapepo utaona anachange mood. Hii nimeona kwa watu.
Anyway, naweza nisiwe sahihi lakini tukumbuke hatupaswi kuamini au kutokuamini kizembe. Mwisho kabisa, tusisahau Mungu hana muda wa kudhihirisha live kama tunavyotaka. Sababu sisi ni wenye dhambi mbele zake na sio wote na hao wachache wanaomtukuza anaweza kulizika nao. Kumbuka aliaza na mtu mmoja tu.
Asante