Kwa wanaodhani Wana nguvu ya Hoja za kutomkubali Rais Samia, hakikisha unajua unachozungumza

Kwa wanaodhani Wana nguvu ya Hoja za kutomkubali Rais Samia, hakikisha unajua unachozungumza

Lilamba asali tu hili..!
Kuna wakati asali hugeuka shubiri hasa pale inapozidi ndani ya tumbo..
Wanatumia mgongo wa nchi maskini kujinufaisha wao binafsi; huku wananchi maskini wakilia ugumu wa maisha kutokana na miundombinu mibovu, ukosefu wa huduma bora za kijamii nk.
 
Una biti Sana kwenye Taifa la watu wasio serious! So far, ni kweli kuwa filamu ya Royal tour iliyoonyeshwa US ni tofauti na hii tuliyoonyeshwa Jana pale posts?
 
Naona hii thread uliyoanzisha inakuzidi upeo, hata hujui unaposimamia.

Tuanze na hilo jibu lako kwa mdau, nakunukuu; "Sijasema Rais Samia ni malaika" [ ukimaanisha Samia sio malaika, ni mwanadamu ana mapungufu yake].

Lakini mbele kidogo unajichanganya unaposema; "Vilevile sidhani hata kama tungempata huyo malaika tungemhitaji" sasa kwanini tusimhitaji malaika ili atuongoze kwa usahihi bila makosa ya kibinadamu?

Hizo nukuu zako mbili hapo juu zinaonesha vile jambo uliloamua kulitetea haliwezekani, Samia kama mwanadamu atapongezwa anapopatia, na kukosolewa atapokosea, lakini sio kumtetea kwa ujumla kama unavyotaka hapa, unlesa uwe tayari kutetea mpaka makosa, na hapo utageuka chawa.
Hoja yako iko wapi?

Unapenda sana kuandika lundo la maandishi yasiyo na mantiki yoyote.
 
Hivi tz kuna rais au kuna mama?
Ambaye hajui uchungu wa watz wa kawaida, anayelinganisha uchumi wa marekani na uchumi wa watz wanaokula ubuyu na asali. Taifa linapita kqenye wakati mgumu sana. Ukitaka kujua ukweli nenda (njoo) mahali wanapoishi wananchi wa kawaida ambao ndio hasa wanawakilisha kundi kubwa la watanzania wote.

Huwezi kwenda pamoja na waliokutangulia. Kuna wakati inabidi utembee pekeyako kwenye njia yako(walk on your own path)
Si kila aliye mbele yako anaelekea kule uendako.

Sherehe na hafla zisizo na tija kwa taifa.
Safari nyingi za nje ya nchi kwa viongozi mbalimbali. Huku wananchi wanakatwa tozo za miamala, wanahamasishwa kucheza michezo ya bahati nasibu huku wao wakitumia fedha hizo kwa maslahi yao. Wanannchi wanalia bidhaa bei ghali, gharama za maisha ziko juu.

Kuanzishwa kwa sensa ya makazi kwa lengo la kukusanya kodi ya ardhi na makazi toka kwa wananchi wa hali ya chini ambao hata kula kwao ni shida.
Narudia tena, UKITAKA KUSIKIA VILIO HIVI, NJOO WANAKOISHI WATANGANYIKA!
Una matatizo ya AKILI.

Tafuta mwanasaikolojia akusaidie.
 
Ifahamike kuwa Mimi Mkaruka Niko humu JF kwa muda mrefu sana.

Watanzania wa online na offline nawafahamu vizuri.

Binafsi sipendi kuona mtu akionewa Wala sipendi UFUASI KIPOFU ( Total submission to somebody's thoughts).

Karibu Kama kweli una hoja.
Hatuhangaiki na viongozi wa mpito leta hoja nyingine
 
Kwa nn anakuwa na kauli zakuwavunja moyo raia badala yakuwapa matumaini mf vitu vitapanda bei sana.
Kwa nn hapa Tanganyika vitu bei zipo juu tofauti na Zanzibar mf mafuta hapa yamepanda kule hayajapanda
Kauli za kutokuvunja moyo Ni kama zipi?
 
Wema kama upi ambao unataka watu wawe na shukrani nao?

Kuongezeka kwa TOZO kwenye miamala ya simu?

Kukatwa buku kila mwezi hata kama wewe ni mpangaji tu wa nyumba na si mmiliki?

Kusababisha vitu kupanda bei kwa kauli zake za kipuuzi ?

Kwenda kukaa USA kwa kwa karibu week mbili bila ishu yoyote ya msingi ili hali huku home maisha ya wengi yanazidi kuwa hovyo?

Kuweka watu INCOMPETENTS kwenye mashirika nyeti ya Taifa?

Yaani yapo mengi sana yanayofanya watu WASIMUELEWE huyo CHUI JIKE wa makaratasi

Nb : uongozi si suala la mtu kuwa MWEMA wala MBAYA,uongozi ni kutatua CHANGAMOTO za unaowaongoza ili waweze kufikia malengo waliyonayo na si vinginevyo
Tafuta nchi yoyote duniani ambako watu hawalipi Kodi na ushuru.

Na kwa jinsi unavyodhani kuna urahisi mkubwa sana, nakuhurumia huko nyuma.
 
Mkuu
Asante KWA uzi
Lini FDR atachukua uskani kutoka KWA mama Samia!!?kama uandishi wa miamba humu jf kama Tumia akili na wengineo!!!?
Kwanini Kuna watu mmeamua kabisa vichwa vyenu kufugia nywele pekee
 
Hatuhangaiki na viongozi wa mpito leta hoja nyingine
Haya aliyaongea Babu yako, wewe mjuu utayaongea na mjukuu wako atayaongea maana mmeamua kuwa ukoo wa kijinga mnaoishi kwa ramli na matarajio yasiyokuwepo.
 
Ifahamike kuwa Mimi Mkaruka Niko humu JF kwa muda mrefu sana.

Watanzania wa online na offline nawafahamu vizuri.

Binafsi sipendi kuona mtu akionewa Wala sipendi UFUASI KIPOFU ( Total submission to somebody's thoughts).

Karibu Kama kweli una hoja.
Sasa mbona utakuwa mkali sana
Mbona wengine tupo humu kitambo hatuna sababu ya kujivuna
Hebu tulia wee mjiunga 2013 Tulizana khe
Kwani unakimbiza mwenge humu
Twende polepole ahahahah
Usitufokee bana
 
Ifahamike kuwa Mimi Mkaruka Niko humu JF kwa muda mrefu sana.

Watanzania wa online na offline nawafahamu vizuri.

Binafsi sipendi kuona mtu akionewa Wala sipendi UFUASI KIPOFU ( Total submission to somebody's thoughts).

Karibu Kama kweli una hoja.
Kwani kuna sheria inayomlazimisha mtu kumpenda rais hasa ikizingatiwa ni rais aliyepatikana kwa uchaguzi haramu, wa kibabe na kihuni. Kama unamkubali wewe inakutosha ya wengine waachie wenyewe
 
Kwani kuna sheria inayomlazimisha mtu kumpenda rais hasa ikizingatiwa ni rais aliyepatikana kwa uchaguzi haramu, wa kibabe na kihuni. Kama unamkubali wewe inakutosha ya wengine waachie wenyewe
Hapa nazungumzia ukosoaji wa kihayawani. Sizungumzi kumpemda Rais.

Jifunze kusoma vizuri mada.
 
Sasa mbona utakuwa mkali sana
Mbona wengine tupo humu kitambo hatuna sababu ya kujivuna
Hebu tulia wee mjiunga 2013 Tulizana khe
Kwani unakimbiza mwenge humu
Twende polepole ahahahah
Usitufokee bana
Unatokea Dar au Arusha?
 
Hapa nazungumzia ukosoaji wa kihayawani. Sizungumzi kumpemda Rais.

Jifunze kusoma vizuri mada.
Wewe mwenyewe uandishi wako ni wa kihayawani, huenda unvuta bangi kabla ya kushiba
 
Mbona awaparui waliotafuna kodi zetu kupitia ufisadi, huoni kukaa kwake kimya ni kupromote upigaji.
 
Haya aliyaongea Babu yako, wewe mjuu utayaongea na mjukuu wako atayaongea maana mmeamua kuwa ukoo wa kijinga mnaoishi kwa ramli na matarajio yasiyokuwepo.
Ni rais wa mpito hata yeye anajua hilo
 
Back
Top Bottom