Si unafanya kama kawaida tu ukisha link na Safaricom MPESA mambo yote unaweza... Kufund laini yako ya Safaricom utatumia Vodacom MPESA [emoji116]ukitaka kufund na kuwithdraw hiyo line yako unafanyaje kwahapa bongo?
ukitaka kufund na kuwithdraw hiyo line yako unafanyaje kwahapa bongo?Yani naitaji kuingiza pesa kwenye line yangu ya safaricom ili niweze kufanya manunuzi online kupitia paypal na nikitaka kutoa pesa kutoka paypal kupitia safaricom kwahapa bongo inakuaje naomba ufafanuzi kidogo.Inahusika sana na Online payment kulingana na za hapa nyumbani kukosa vigezo
Aha sawa nmekuelewa! Ukitaka kufund unaitumia pesa hiyo laini yako ya Safaricom kama kawaida, Utaitumia pesa kutoka MPESA yako ya Vodacom TZ kwenda MPESA Kenya, then una TopUp account yako ya PayPal na TopUp ni instant... Lakini kuwithdraw pesa kutoka PayPal to MPESA huwa ndani ya masaa mawili tu unapata pesa zako M-pesa ya Safaricom then unaituma kwenye Vodacom M-PESA ili utoe kama kawaida, na charges za kutoa Safaricom MPESA kuja Vodacom MPESA huwa ni around KES23/= tu, ni kama TZS700/= Kwa kila muamala, Haya ni maelekezo tu unaweza ona kama vile kuna mzunguko sana lakini ni kazi ya ndani ya Dk 1 tu ukishapata pesa zako M-pesa ya Safaricom! Nadhani umenielewa mkuu!ukitaka kufund na kuwithdraw hiyo line yako unafanyaje kwahapa bongo?Yani naitaji kuingiza pesa kwenye line yangu ya safaricom ili niweze kufanya manunuzi online kupitia paypal na nikitaka kutoa pesa kutoka paypal kupitia safaricom kwahapa bongo inakuaje naomba ufafanuzi kidogo.
😛😛😛😛 Hahaha nimekupata sasa maana pale mwanzo uliniacha njia panda Mkuu.Aha sawa nmekuelewa! Ukitaka kufund unaitumia pesa hiyo laini yako ya Safaricom kama kawaida, Utaitumia pesa kutoka MPESA yako ya Vodacom TZ kwenda MPESA Kenya, then una TopUp account yako ya PayPal na TopUp ni instant... Lakini kuwithdraw pesa kutoka PayPal to MPESA huwa ndani ya masaa mawili tu unapata pesa zako M-pesa ya Safaricom then unaituma kwenye Vodacom M-PESA ili utoe kama kawaida, na charges za kutoa Safaricom MPESA kuja Vodacom MPESA huwa ni around KES23/= tu, ni kama TZS700/= Kwa kila muamala, Haya ni maelekezo tu unaweza ona kama vile kuna mzunguko sana lakini ni kazi ya ndani ya Dk 1 tu ukishapata pesa zako M-pesa ya Safaricom! Nadhani umenielewa mkuu!
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaa! Aha poa poa...😛😛😛😛 Hahaha nimekupata sasa maana pale mwanzo uliniacha njia panda Mkuu.
asante Sana mkuu .... haya ndiyo mambo tunayohitajiSi unafanya kama kawaida tu ukisha link na Safaricom MPESA mambo yote unaweza... Kufund laini yako ya Safaricom utatumia Vodacom MPESA [emoji116]View attachment 979335View attachment 979336
Sent using Jamii Forums mobile app
Aiseee nilikuwa nafikiria kuanzisha uzi.... lakini mpaka hapa... tatizo langu litatatuliwa siyo muda... nahitaji hii laini mkuu... japo nipo mbali kdg... ila kama week mbele nitakuwa darHabari za humu?
Kwa wale wanaohitaji line za Safaricom zimefika na mpaka sasa zimebak 7 tu(wahi sasa)
Line 1 ni 10000 ikiwa na vocha ya Ksh 20.
Kama upo mkoa utatumiwa kwa gharama zako.
Kwa wale wanaohitaji tuchekiane 0625547181 au telegram @TomaaMireni.
Kama bado hujajua kazi yake kwa hapa Tanzania njoo telegram group smatskills
Kwa wale ambao tayari mnatumia karibuni kuelimisha wengine. Asanteni
hauna akili wwSerikali ingilieni Kati ufirauni huu Safaricom na Tanzania wapi na wapi?
Akili za kuvukia barabara.... kama huelewi ni bora ukae kimyaHii msg imekaa kama zile msg za kitapeli za"Mjukuu wangu baada ya kukutumia ile dawa na ukanunua mabasi mapya 10 umeshindwa kunitumia yule jogoo mweusi"?.
Umewahi pokea hela kwa mastercard au VISA??? Inachukua siku ngapi???KWANI NIKIWA NA MASTERCARD AU VISA SI NARAHISISHA TU?
Unairoam mkuu... wala haina shida hata kama upo songea au mtwaraSasa inasajiliwa kwa ID za Kenya na kupewa registration number pindi unapomalizia usajili kwahiyo jina linaandikwa la nani au mtu wa Kenya?, na wa kwa mikoa iliyo mbali na Kenya kama Mtwara, Iringa, Ruvuma wanatumia minara ipi?, maana kwa wa Arusha na Kilimanjaro ni rahis kushika ya Kenya
Bora umemuambia aiseeeeKwani hakuna wafanyabishara wanaoenda Kenya?? Kama ni wasap mpka leo hujui kutumia no ya US kujiunga??? Acha ushamba bhana,line hizi zina kaz na ni muhimu kwa kuwasiliana online business. Ww kama unashinda facebook kuchat ujinga huwez jua kaz zake. Pita hivi[emoji117]
Skrill inaleta hela Kenya... I think unaweza pia kuitumia kupokea hela from skrill... na hii ndo kazi ninayotaka kufanyiaNjia nyingine sidhani, Me natumia paypal pekee na VisaCard sometimes inapohitajika kuitumia...
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapo tumia visa au mastercard mkui... acha kufanya maisha kuwa magumuukitaka kufund na kuwithdraw hiyo line yako unafanyaje kwahapa bongo?Yani naitaji kuingiza pesa kwenye line yangu ya safaricom ili niweze kufanya manunuzi online kupitia paypal na nikitaka kutoa pesa kutoka paypal kupitia safaricom kwahapa bongo inakuaje naomba ufafanuzi kidogo.
We tuliza shanga hizo na akili zako za kutafuta wachumba jf.
Aha sawa nmekuelewa! Ukitaka kufund unaitumia pesa hiyo laini yako ya Safaricom kama kawaida, Utaitumia pesa kutoka MPESA yako ya Vodacom TZ kwenda MPESA Kenya, then una TopUp account yako ya PayPal na TopUp ni instant... Lakini kuwithdraw pesa kutoka PayPal to MPESA huwa ndani ya masaa mawili tu unapata pesa zako M-pesa ya Safaricom then unaituma kwenye Vodacom M-PESA ili utoe kama kawaida, na charges za kutoa Safaricom MPESA kuja Vodacom MPESA huwa ni around KES23/= tu, ni kama TZS700/= Kwa kila muamala, Haya ni maelekezo tu unaweza ona kama vile kuna mzunguko sana lakini ni kazi ya ndani ya Dk 1 tu ukishapata pesa zako M-pesa ya Safaricom! Nadhani umenielewa mkuu!
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu bado hizo line unazo nilikuwa nahitaji kama zipo tuwasiliane nikutumie pesa
na mimi nahitaji niitumie kwenye 1xbet vip mkuu una uelewa wowote kuhusiana na hili mkuu tushare nasi kdogo?Associate with PayPal,1xbet etc