Kwa wanaohitaji Line za Safaricom zimefika Tanzania

Kwa wanaohitaji Line za Safaricom zimefika Tanzania

ukitaka kufund na kuwithdraw hiyo line yako unafanyaje kwahapa bongo?
Si unafanya kama kawaida tu ukisha link na Safaricom MPESA mambo yote unaweza... Kufund laini yako ya Safaricom utatumia Vodacom MPESA [emoji116]
Screenshot_20181228-100340.jpeg
Screenshot_2018-12-28-10-04-44.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Inahusika sana na Online payment kulingana na za hapa nyumbani kukosa vigezo
ukitaka kufund na kuwithdraw hiyo line yako unafanyaje kwahapa bongo?Yani naitaji kuingiza pesa kwenye line yangu ya safaricom ili niweze kufanya manunuzi online kupitia paypal na nikitaka kutoa pesa kutoka paypal kupitia safaricom kwahapa bongo inakuaje naomba ufafanuzi kidogo.
 
ukitaka kufund na kuwithdraw hiyo line yako unafanyaje kwahapa bongo?Yani naitaji kuingiza pesa kwenye line yangu ya safaricom ili niweze kufanya manunuzi online kupitia paypal na nikitaka kutoa pesa kutoka paypal kupitia safaricom kwahapa bongo inakuaje naomba ufafanuzi kidogo.
Aha sawa nmekuelewa! Ukitaka kufund unaitumia pesa hiyo laini yako ya Safaricom kama kawaida, Utaitumia pesa kutoka MPESA yako ya Vodacom TZ kwenda MPESA Kenya, then una TopUp account yako ya PayPal na TopUp ni instant... Lakini kuwithdraw pesa kutoka PayPal to MPESA huwa ndani ya masaa mawili tu unapata pesa zako M-pesa ya Safaricom then unaituma kwenye Vodacom M-PESA ili utoe kama kawaida, na charges za kutoa Safaricom MPESA kuja Vodacom MPESA huwa ni around KES23/= tu, ni kama TZS700/= Kwa kila muamala, Haya ni maelekezo tu unaweza ona kama vile kuna mzunguko sana lakini ni kazi ya ndani ya Dk 1 tu ukishapata pesa zako M-pesa ya Safaricom! Nadhani umenielewa mkuu!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aha sawa nmekuelewa! Ukitaka kufund unaitumia pesa hiyo laini yako ya Safaricom kama kawaida, Utaitumia pesa kutoka MPESA yako ya Vodacom TZ kwenda MPESA Kenya, then una TopUp account yako ya PayPal na TopUp ni instant... Lakini kuwithdraw pesa kutoka PayPal to MPESA huwa ndani ya masaa mawili tu unapata pesa zako M-pesa ya Safaricom then unaituma kwenye Vodacom M-PESA ili utoe kama kawaida, na charges za kutoa Safaricom MPESA kuja Vodacom MPESA huwa ni around KES23/= tu, ni kama TZS700/= Kwa kila muamala, Haya ni maelekezo tu unaweza ona kama vile kuna mzunguko sana lakini ni kazi ya ndani ya Dk 1 tu ukishapata pesa zako M-pesa ya Safaricom! Nadhani umenielewa mkuu!

Sent using Jamii Forums mobile app
😛😛😛😛 Hahaha nimekupata sasa maana pale mwanzo uliniacha njia panda Mkuu.
 
Habari za humu?
Kwa wale wanaohitaji line za Safaricom zimefika na mpaka sasa zimebak 7 tu(wahi sasa)
Line 1 ni 10000 ikiwa na vocha ya Ksh 20.
Kama upo mkoa utatumiwa kwa gharama zako.
Kwa wale wanaohitaji tuchekiane 0625547181 au telegram @TomaaMireni.
Kama bado hujajua kazi yake kwa hapa Tanzania njoo telegram group smatskills
Kwa wale ambao tayari mnatumia karibuni kuelimisha wengine. Asanteni
Aiseee nilikuwa nafikiria kuanzisha uzi.... lakini mpaka hapa... tatizo langu litatatuliwa siyo muda... nahitaji hii laini mkuu... japo nipo mbali kdg... ila kama week mbele nitakuwa dar

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa inasajiliwa kwa ID za Kenya na kupewa registration number pindi unapomalizia usajili kwahiyo jina linaandikwa la nani au mtu wa Kenya?, na wa kwa mikoa iliyo mbali na Kenya kama Mtwara, Iringa, Ruvuma wanatumia minara ipi?, maana kwa wa Arusha na Kilimanjaro ni rahis kushika ya Kenya
Unairoam mkuu... wala haina shida hata kama upo songea au mtwara

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwani hakuna wafanyabishara wanaoenda Kenya?? Kama ni wasap mpka leo hujui kutumia no ya US kujiunga??? Acha ushamba bhana,line hizi zina kaz na ni muhimu kwa kuwasiliana online business. Ww kama unashinda facebook kuchat ujinga huwez jua kaz zake. Pita hivi[emoji117]
Bora umemuambia aiseeee

Sent using Jamii Forums mobile app
 
ukitaka kufund na kuwithdraw hiyo line yako unafanyaje kwahapa bongo?Yani naitaji kuingiza pesa kwenye line yangu ya safaricom ili niweze kufanya manunuzi online kupitia paypal na nikitaka kutoa pesa kutoka paypal kupitia safaricom kwahapa bongo inakuaje naomba ufafanuzi kidogo.
Hapo tumia visa au mastercard mkui... acha kufanya maisha kuwa magumu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aha sawa nmekuelewa! Ukitaka kufund unaitumia pesa hiyo laini yako ya Safaricom kama kawaida, Utaitumia pesa kutoka MPESA yako ya Vodacom TZ kwenda MPESA Kenya, then una TopUp account yako ya PayPal na TopUp ni instant... Lakini kuwithdraw pesa kutoka PayPal to MPESA huwa ndani ya masaa mawili tu unapata pesa zako M-pesa ya Safaricom then unaituma kwenye Vodacom M-PESA ili utoe kama kawaida, na charges za kutoa Safaricom MPESA kuja Vodacom MPESA huwa ni around KES23/= tu, ni kama TZS700/= Kwa kila muamala, Haya ni maelekezo tu unaweza ona kama vile kuna mzunguko sana lakini ni kazi ya ndani ya Dk 1 tu ukishapata pesa zako M-pesa ya Safaricom! Nadhani umenielewa mkuu!

Sent using Jamii Forums mobile app
Bora umemuambia aiseeee

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu bado hizo line unazo nilikuwa nahitaji kama zipo tuwasiliane nikutumie pesa
 
Hata mimi ninahitaji.
Lakini nina swali kwanza.
Nataka niitumie hiyo line kuwithdraw na kudeposit kwenye a/c yangu ya 1xbet je itawezekana na mimi nimeisajili hiyo a/c kwa no ya bongo na kwenye country nimesect Tz.
Nikipata majibu ya uhakika nitachukua line
 
Back
Top Bottom