Kwa wanaompenda Tundu Lissu Mwambieni aache kuishi kama Celebrity maadui zake Kisiasa bado wapo

Kwa wanaompenda Tundu Lissu Mwambieni aache kuishi kama Celebrity maadui zake Kisiasa bado wapo

Fortilo

JF-Expert Member
Joined
Apr 10, 2012
Posts
5,807
Reaction score
17,416
Mwanasiasa yeyote duniani prominent ana maadui, wengine kwa muda wengine wa kudumu, na hii ni kutokana na aina ya siasa unazofanya

Siasa ni maisha ya watu, ni kupata na kukosa, siasa ni fedha na madaraka, Heshima na Urithi.

Sasa unapofanya harakati kuna utakaowaumiza kwenye kusema, kutoa kauli, Misimamo, au namna unavyoendesha siasa zako.

Ni tahadhari kwa wanaompenda Tundu Lissu.

Awe makini kwani maadui zake Kisiasa, kwani bado wapo, wengine hawana vyeo, na wengine anawatengeneza kwenye matumaini yake ya kisiasa.

Huwezi chukulia kila mtu ni rafiki yako hata ambao uliwahi waumiza hapo zamani kwenye maamuzi ya chama na nje ya Chama au hata kwenye nafasi mbali mbali za maamuzi.

Nimeshangaa jana katua Airport anahojiwa kama Celebrity na leo naona anapiga picha mtandaoni yupo na random people, huku maji huku Soda huku chakula, ni ngumu sana kuwa na usalama wa uhakika kwenye mazingira hayo.

Lakini kukaribisha watu tofauti tofauti nyumbani kwako bila mpangilio unaoeleweka kwamba wanakuja kukuunga mkono...


Ni hatari sana katika kipindi chote kwenye siasa hasa ukiwa mwanasiasa vocal and confrontational kama Tundu.

Jukumu la Usalama wake linaanza na yeye mwenyewe...

Kuna "kulogwa" , na kuchukuliwa "nyota", awe makini.

Picha zote: Hisani ya X
Screenshot_20250107-212840.png
Screenshot_20250107-211952.png
 
Mwanasiasa yeyote duniani prominent ana maadui, wengine kwa muda wengine wa kudumu, na hii ni kutokana na aina ya siasa unazofanya

Siasa ni maisha ya watu, ni kupata na kukosa, siasa ni fedha na madaraka, Heshima na Urithi.

Sasa unapofanya harakati kuna utakaowaumiza kwenye kusema, kutoa kauli, Misimamo, au namna unavyoendesha siasa zako.

Ni tahadhari kwa wanaompenda Tundu Lissu.

Awe makini kwani maadui zake Kisiasa, kwani bado wapo, wengine hawana vyeo, na wengine anawatengeneza kwenye matumaini yake ya kisiasa.

Huwezi chukulia kila mtu ni rafiki yako hata ambao uliwahi waumiza hapo zamani kwenye maamuzi ya chama na nje ya Chama au hata kwenye nafasi mbali mbali za maamuzi.

Nimeshangaa jana katua Airport anahojiwa kama Celebrity na leo naona anapiga picha mtandaoni yupo na random people, huku maji huku Soda huku chakula, ni ngumu sana kuwa na usalama wa uhakika kwenye mazingira hayo.

Lakini kukaribisha watu tofauti tofauti nyumbani kwako bila mpangilio unaoeleweka kwamba wanakuja kukuunga mkono...


Ni hatari sana katika kipindi chote kwenye siasa hasa ukiwa mwanasiasa vocal and confrontational kama Tundu.

Jukumu la Usalama wake linaanza na yeye mwenyewe...

Kuna "kulogwa" , na kuchukuliwa "nyota", awe makini.

Picha zote: Hisani ya X
View attachment 3195274View attachment 3195275
Mnamuwinda sio..?

Hata hivyo, ushauri wako unachukuliwa kwa tahadhari kubwa kwa imani kuwa, Mungu anaweza kumtumia shetani ndani ya mtu ili kuleta wokovu wa mtu/watu...!
 
Mnamuwinda sio..?

Hata hivyo, ushauri wako unachukuliwa kwa tahadhari kubwa kwa imani kuwa, Mungu anaweza kumtumia shetani ndani ya mtu ili kuleta wokovu wa mtu/watu...!
Unageuza tena mkuu...

Wanasiasa kuwa makini ni wajibu
 
uko sahihi kabisa hizo maiki sio rafiki kabisa.

rejea siku za mwisho za maembe si ali hojiwa Sana.
Kilicho fata, Mara kifua, Mara kuhema
Na sasa ni kama wanamzidi nguvu, na bahati mbaya Mic zote anashika yeye, wengine wanamsokomezea mdomoni.

Ndio maana ni busara sana ajachuja watu wa kukutana nao...

Hashangai maadui wa CDM ghafla wamekuwa marafik zake....
 
Na akivaa bullet proof vest kuna watu wanakuja kuifungulia uzi humu ati ni ushamba daah.. aliyeliloga hili taifa labda kafa.
 
Back
Top Bottom