Kwa wanaompenda Tundu Lissu Mwambieni aache kuishi kama Celebrity maadui zake Kisiasa bado wapo

Kwa wanaompenda Tundu Lissu Mwambieni aache kuishi kama Celebrity maadui zake Kisiasa bado wapo

Mwanasiasa yeyote duniani prominent ana maadui, wengine kwa muda wengine wa kudumu, na hii ni kutokana na aina ya siasa unazofanya

Siasa ni maisha ya watu, ni kupata na kukosa, siasa ni fedha na madaraka, Heshima na Urithi.

Sasa unapofanya harakati kuna utakaowaumiza kwenye kusema, kutoa kauli, Misimamo, au namna unavyoendesha siasa zako.

Ni tahadhari kwa wanaompenda Tundu Lissu.

Awe makini kwani maadui zake Kisiasa, kwani bado wapo, wengine hawana vyeo, na wengine anawatengeneza kwenye matumaini yake ya kisiasa.

Huwezi chukulia kila mtu ni rafiki yako hata ambao uliwahi waumiza hapo zamani kwenye maamuzi ya chama na nje ya Chama au hata kwenye nafasi mbali mbali za maamuzi.

Nimeshangaa jana katua Airport anahojiwa kama Celebrity na leo naona anapiga picha mtandaoni yupo na random people, huku maji huku Soda huku chakula, ni ngumu sana kuwa na usalama wa uhakika kwenye mazingira hayo.

Lakini kukaribisha watu tofauti tofauti nyumbani kwako bila mpangilio unaoeleweka kwamba wanakuja kukuunga mkono...


Ni hatari sana katika kipindi chote kwenye siasa hasa ukiwa mwanasiasa vocal and confrontational kama Tundu.

Jukumu la Usalama wake linaanza na yeye mwenyewe...

Kuna "kulogwa" , na kuchukuliwa "nyota", awe makini.

Picha zote: Hisani ya X
View attachment 3195274View attachment 3195275
huyu mropokaji amelewa sifa, kama vile mrema....ameshasahau kuwa waliompiga risasi bado sababu za kumpiga risasi ziko pale pale...it was because of his uropokaji!
 
Kwasasa muuaji wa Lissu ni mmoja tu naye ni mzee wa hai mtoa uhai
 
Mwanasiasa yeyote duniani prominent ana maadui, wengine kwa muda wengine wa kudumu, na hii ni kutokana na aina ya siasa unazofanya

Siasa ni maisha ya watu, ni kupata na kukosa, siasa ni fedha na madaraka, Heshima na Urithi.

Sasa unapofanya harakati kuna utakaowaumiza kwenye kusema, kutoa kauli, Misimamo, au namna unavyoendesha siasa zako.

Ni tahadhari kwa wanaompenda Tundu Lissu.

Awe makini kwani maadui zake Kisiasa, kwani bado wapo, wengine hawana vyeo, na wengine anawatengeneza kwenye matumaini yake ya kisiasa.

Huwezi chukulia kila mtu ni rafiki yako hata ambao uliwahi waumiza hapo zamani kwenye maamuzi ya chama na nje ya Chama au hata kwenye nafasi mbali mbali za maamuzi.

Nimeshangaa jana katua Airport anahojiwa kama Celebrity na leo naona anapiga picha mtandaoni yupo na random people, huku maji huku Soda huku chakula, ni ngumu sana kuwa na usalama wa uhakika kwenye mazingira hayo.

Lakini kukaribisha watu tofauti tofauti nyumbani kwako bila mpangilio unaoeleweka kwamba wanakuja kukuunga mkono...


Ni hatari sana katika kipindi chote kwenye siasa hasa ukiwa mwanasiasa vocal and confrontational kama Tundu.

Jukumu la Usalama wake linaanza na yeye mwenyewe...

Kuna "kulogwa" , na kuchukuliwa "nyota", awe makini.

Picha zote: Hisani ya X
View attachment 3195274View attachment 3195275
For once nakubalian na wewe, una hoja muhimu na kma wewe umeliandika hapa, basi huenda hilo limeshafanyika.
 
Wakiamua hana namna, mita za maji anawekewa na serikali, na maji hayo anayaoga kila siku, gari lake anaoshea carwash za mitaani, wakiamua kumchekecha wanamaliza.
 
Back
Top Bottom