Kwa wanaume ambao mlikuwa na kazi lakini sasa hamna na wake zenu ndio wanaoendesha familia mliwezaje kutoboa?

Atakufa huyu na hata hao watoto hata waona wakikua. Hivi MNAJUA mwanamke akishafika hii step kinachofuata ni kuhakikisha unakufa mapema. Unataka kwenye msiba Wako waseme umekufa kishujaa kWa kukaa na kiumbe kama huyo. Huo ni Upuuzi.
Tatizo alipata Mke limbukeni wa Maisha, ndiyo wanavyokuwaga hivyo, mwisho wa siku nao wanaishia shimoni na hawezi kutoka bila msaada wako tena!!

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
Hapa nimejifunza kwamba shida sio hali ngumu ya kifedha uliyo nayo bali shida ni "wewe"
 
Jamaa anaongea Kama KE
 
Kama nilivyosema hatuna bek3 na yy anashinda job ana ni treat as if me ndio bek3 wake
Mimi sasa nakupa solution ya kudumu hakuna mtu mwingine atakusaidia msaada huu ninaokupa.

Naamini wewe ni mwislamu, sasa tafuta sheikh mwenye mke zaidi ya mmoja na hana kazi yoyote hapa mjini lakini wake zake wametulia tuli, wala hagongewi na wanaishi kwa amani.

Mueleze hii shida yako huyo ndio atakupa msaada wa kweli, atakupa siri kwa nini yeye hana kitu na ana mke zaidi ya mmoja na wote ni wazuri na hawamsumbui.

Hii dunia ione hivihivi watu wengi hawawezi kukwambia ukweli hii duniani wanafanyaje mpaka mambo yananyooka.

Fanya nilichokwambia utakuja kunishukuru in future days.
 
Nyumba tunayoishi ni ya kupanga nikimtimua msala utabaki kwangu kwakuwa yy ndiye anaye run show, kodi ya nyumba na mahitaji mengine yy ndio provider Mkuu, mm kipato changu ni kidogo sn , sku mojamoja nikibahatisha ndio nakuja na mahitaji kidogo japo sio toshelezi
 
Kwamba akamfunge mkewe kiakili au sio? 😂😂😂 mambo ya kipemba hayo dah!
 
Akiachana nae kwa sasa huku hana kazi maalum, huu utakuwa sio ushauri mzuri.

Avumilie tu huku anachacharika kutafuta kazi kwanza. Hizo zarau anazokutana nazo chanzo chake ni yeye kutokuwa na fedha.

Atafute kazi kwanza kisha akipata ndio akunjue makucha hasa kuonyesha uanaume wake. Mungu huwa hamtupi mtu anaepitia hali kama hii.

Kumbuka huyu jamaa kwa sasa ana matatizo mawili ya kisaikolojia ambayo yanamfanya aone Mtaani kuchungu na Nyumbani kuchungu (Kukosa kazi na Kero za mke) ambayo angekuwa na mke bora yote yangetatuka kirahisi.
 
Hahahahaha dah hapo pagumu ila mwambie we unang’oa so atafte beki tatu wa ku handle watoto.
Tena siku hio amuombe game tena amwambie kabisa ndio siku ya mwisho kumuomba gemu na baada ya hapo wasijuane zaidi ya kusalimiana tu., halafu awapigie simu wale rafiki zake kuwa jamaa kasepa ili wacheke na kufurahi vizuri.
 
Jamaa hana ujanja usimcheke! Yani huwa tunaita kuishiwa mbinu! Jamaa ameishiwa mbinu kwa hakika hajui hata akitoka aelekee wapi. Labda tungemshauri katika hayo mambo.
Mkuu mm niliamua kujiendeleza kielimu (self-sponsored) kwa ngazi ya Masters, Sasa nikayumba kiuchumi japo mke alikua na kazi. Nikaamua kufungua genge kisirisiri (maana mke wangu amejaa mdomo wa kubwabwaja&kukatisha tamaa). Nilipambana shule, kazi na Biashara mpaka Mei 2021 nikawa nimemaliza Masters huku mke hakui kilichoendelea.
**Kutafuta pesa hakuna aibu.
 
Yah sahizi solution sio kuvimba! Ni kupanga mkakati wa kuwa unaondokanaje na hali hio ya kunyanyasika na mwanamke na sote tunajua chanzo ni kile kile, mke kalipa kodi yeye na luku ananunua yeye na chakula mezani ananunua mwenyewe wakati mwanaume yupo nae ndani!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…