jkipaji
JF-Expert Member
- Sep 22, 2019
- 6,963
- 9,401
Tatizo alipata Mke limbukeni wa Maisha, ndiyo wanavyokuwaga hivyo, mwisho wa siku nao wanaishia shimoni na hawezi kutoka bila msaada wako tena!!Atakufa huyu na hata hao watoto hata waona wakikua. Hivi MNAJUA mwanamke akishafika hii step kinachofuata ni kuhakikisha unakufa mapema. Unataka kwenye msiba Wako waseme umekufa kishujaa kWa kukaa na kiumbe kama huyo. Huo ni Upuuzi.
Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app