Kwa wanaume ambao mlikuwa na kazi lakini sasa hamna na wake zenu ndio wanaoendesha familia mliwezaje kutoboa?

Kwa wanaume ambao mlikuwa na kazi lakini sasa hamna na wake zenu ndio wanaoendesha familia mliwezaje kutoboa?

Hawa viumbe kuishi nao tabu sana,mnaolalamika kaeni mjue kwamba hawa hawakuumbwa waje kulisha watu nje ya damu zao hata nyie mnaokula good time siku inakuja ombeni Mungu aendelee kuwapa utulivu ktk utafutaji wenu....i mean,mf:akizaa mtoto atamuhudumia 100% uwezo akiwa nao,baba/mama yake (damu yake halisi) atawahudumia kwa 100% bila kulalamika ila kukutunza wewe uliyekaa naye akiwa goli kipa hata miaka kumi hujawahi kumfanyia vituko hawezi.

Omba Mungu akusimamie ktk utafutaji wako ufanikiwe huyo akiendelea kuleta dharau na majivuno fukuza uanze upya siyo dhambi.
Mwanamke awe na pesa au asiwe na pesa mradi akileta dharau na ukamkanya lakini hasikii wwe fukuza tafuta mwingine mwenye adabu zake hata Kama mna Watoto,jali heshima yako kwanza!!

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
Yaani watoto ndio wanaoniumiza kichwa, visa vyake nimeshavizoea

Sent from my HUAWEI LUA-U22 using JamiiForums mobile app
kuhusu watoto ni excuse unayoitumia kuficha weaknesses yako Kwake.
watoto ni kitu gani? assume umeua li-mtu then chukua nguo zako ondoka.
usisitize na uukumbushe moyo wako kuwa unamsala wa kuua mtu, utapata ujasili wa kuondoka bila kujali watoto.
 
Dar ndugu story yako ina cha kujifunza sana ukiwa na ajira tengeneza ajira ya pili Ili ya. Kwanza ulipotea uwe na ajira ya pili hakika kuna wanokukejeli lakini Ujumbe wako umetoa funzo kubwa kwa wengi nikiwemo mimi
Ushauri wangu
Usikate tamaa mke wako anakupenda sana hata kama ameonesha dalili hizo bado mpende mpe maneno ya matumaini ipo sku utatoboa kimaisha
Kaa chini na yeye mweleze malengo yako kwa kutumia kipato chake hata kama ni mkopo mchukue mfungue mradi wa pamoja ambao wewe utausimamia mfano nunua bajaji endesha utapata hela
Au sjui uko mkoa gani angalia fursa iliyopo utatoboa tu ndugu muombe mungu pia najua unapitia kipindi kigumu sana ila binafsi namuona mke wako ni jimbe / hazina kubwa kwako usimchukie mpe mawazo mtie moyo angekua hakupendi hapo nyumbani ingekua umeshaondoka
 
Pole mtoa mada.
Wengi walioachishwa kazi huwa wanapitia changamoto kama zako toka kwa wake zao.

Kwenye maelezo yako ya awali inaonyesha ulipoachishwa kazi mkeo alianza kwa kukusaidia - (Hapo alifanya vizuri na hicho ndio kilikuwa ni kipimo tosha kuwa umeoa mke au galasa - (Maisha ya Ndoa lazima yapitie vipindi vya Shida na Raha)

Kwa tabia anazokuonyesha sasa ni dhahiri alikuvumilia kwa lengo la kukuona unachacharika kutafuta kazi. Kitendo cha wewe kukosa kazi ndicho kilichomchosha. Kumbuka asili ya mwanamke wao wamezoea kupokea sio kutoa. Wanawake galasa ndio wapo hivyo hata kama kazi na kipato alichonacho kilitokana na mchango wako.

Suluhisho ni wewe kuvumilia hizo kero kwa muda na kupambana kutafuta shughuli ya kukuingizia kipato.

Sumu kubwa kwa mkeo ni pale atapofikia wakati wa kukuonyesha wazi kuwa anachepuka na mtu mwingine.

Wanaume wakipitia changamoto za hivi halafu wakija kupata kazi, Ndoa zao huwa zitakufa Maana kumbukumbu mbaya huwa hazitoki kichwani na kupelekea mahusiano yenu kufikia tamati.
Yaani we jamaa utafkiri uliingi kwenye ubongo wangu, kwa kweli hali nayopitia ni mungu tu anajua lkn sikati tamaa
 
Tuna watoto na ukisema nisepe watoto watateseka, kuna kipindi nilifikiria kusepa lkn lilipokuja suala la watoto ikabidi niwe mpole. Napitia kipindi kigumu sn

Sent from my HUAWEI LUA-U22 using JamiiForums mobile app
Kama anakuletea dharau na hataki kubadilika mtie adabu kidogo,mpee kichapo na fukuza yeye ndani ya Nyumba na hata akitaka kuondoka na Watoto,wwe mwache aende nao,alafu usimuoneshe sana mkeo kua unamapenzi sana na Watoto, maana kupitia Watoto ndiyo atapokua anakunyanyasia!!

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
Nilikuwa mtunza kumbukumbu, Masijala kwenye halmashauri moja hapa nchini tz, magu alipoingia mzigoni ndio kama mlivosikia kilichotokea kwa wafanyakazi wa Tz.

Sent from my HUAWEI LUA-U22 using JamiiForums mobile app
Nilikuwa mtunza kumbukumbu, Masijala kwenye halmashauri moja hapa nchini tz, magu alipoingia mzigoni ndio kama mlivosikia kilichotokea kwa wafanyakazi wa Tz.

Sent from my HUAWEI LUA-U22 using JamiiForums mobile app

Mkuu kuna uzembe umeufanya lazima ukubali. Tangu magu atumbue ni miaka 5 sasa imekuwaje umeshindwa kujifunza ujuzi wowote au gata biashara ? Mkeo amekuvumilua sna kusema ukweli.
Chukulia wewe kuna ndugu yako wa kiume kaja kukaa kwako miaka 5 hana ishu ya maana anayoifanya je ungemvumilia ?
 
Tena anaogopa wale aliokuwa anafnya nao kazi watamcheka utadhani wanamsaidia.
Ukishatumbuliwa wale staff sio ndugu zsko tena wala wasikuzoee kabisa anza maisha mspya hata kuwa kuli.
Anashindwa hata kuuza maji kibamba nk.
Me sieaonei haya my ex stuff mate, sema wengi ni masnich wkt tupo wote job tulikuwa karibu sn na kusaidiana kwa hali na mali lkn sasa hivi hata simu zangu hawapokei

Kuna mwingine mwezi uliopita baada ya mshahara kutoka nilimuomba aniazime elf30 nitamrudishia alinichijia baharini kwa kusema kwamba nitarejeshaje pesa yake wkt sina kazi

Yaani nyumbani moto na kwa wana pia moto, nakumbuka kipindi nipo job skuwa na noma kwenye kuwakopesha washikaj
 
Taifa lipi hilo ni utapeli tu! Yani mara mia mwanaume awe bread winner ataokoa mke na ukoo wake mzima ila mke hapana kwa kweli!

Wanawake wana kinai haraka sana kutoa misaada yani tena kwa mwanaume wake. Bora hata ndugu zake atalia lia ila anawapa msaada hata kwa hela zako mumewe ila mume ukifulia you are doomed!

Rafiki wa kweli wa mwanaume ni pesa tu. Hatakuacha hata dunia nzima ikikutenga
True, huu ni ukweli mchungu sana ila ni dawa. Hata hivyo wanawake tukumbuke tuna kaka zetu pia, unachomfanyia mtoto wa watu fikiria akifanyiwa hivyo wa kwenu, Labda kama haujali kuhusu wengine.

Mimi binafsi kaka yangu enzi za ujana alikataa kazi ya serikali akakimbilia NGO's. Kama ujuavyo kule mikataba mingi ni 3-5 years, ikiisha msoto wa kutafuta kazi uko pale pale kama hamjawin project nyingine, Kumekuwa na changamoto kwenye ndoa yao hasa jamaa anapokuwa hana kazi, na sio kwamba mke ana kazi, no hana ni mama wa nyumbani 24/7 na si mtu anayeweza kufanya kazi au biashara yoyote (sisi kama familia tulishajaribu kupush hili limeshindikana kabisa) as for me kuna kipindi i was willing hata kumpa mtaji, mama pia alikubali tuchange mtaji tumpe alitujibu anataka mtaji wa kufungua boutique!!!!! Yaani haujawahi miliki hata kiosk gafla unataka boutique! na pia hatuna mtaji wa kumpa kufungua boutique labda tungejipiga pia sana zingepatikana 4-5M aanze na biashara ya kawaida akakataa. (okay nisimuongelee sana maana sisi ni mawifi nisijeambiwa namchukia)

Back to their life, Hata mumewe akiwa na kazi maisha yao yote hawajawahi kusave hata 200k kwa mwezi sababu ya matumizi ya hovyo hovyo waliyonayo, yakiwakuta mzigo unarudi kwetu (mimi na mama) Hayo manyanyaso hadi marafiki wa bro wanampigia mama kumwambia kwanini umemuacha mtoto wako ananyanyaswa hivi na mkewe? Ohh huwa nafanya kila linalowezekana kwa uwezo wangu huyu kaka apate kazi au deals maana ndio namna pekee wanaweza kusurvive na angalau wakawa na amani. To my brother alioa slay queen form two failure anavuna alichopanda and he is too weak kumsimamia mkewe hana anachoweza kumwambia mkewe akasikilizwa.

Back to me, nimejifunza kuwa kama kweli unawapenda ndugu zako na kuwajali, ni habari mbaya sana kusikia wananyanyasika in the name of NDOA, bora mtu asiwe na ndoa kuliko kunyanyasika kwenye ndoa, Nimejipanga kuhakikisha nitamsaidia huyu "mtoto wa mtu" Kama yakimkuta (ambayo siyaombei), nitamsaidia tu kuongea na watu kumconnect kwa huyu na huyu, deal hili na lile, hata hivyo kujipanga mapema kusimamisha "chetu kikubwa" ukiachana na hivi vidogo vidogo vilivyopo.

I once saw my mama crying alivyoambiwa habari za mwanae, it was a bad feeling kwangu na inanitesa hadi leo hii. Mwenyezi Mungu awasimamie wanaume na awape mkate wao wa kila siku, tena hawa wanaume zetu wa kiafrica hawa, kipato kwao kimefanywa kama vazi, kama hawana wanaonwa uchi kabisa. Guys its sad.

Mleta mada pambana, ikishindikana akapambanie huko mbele ya safari, ukiondoka usipofanikiwa kurudi kwa habari ya watoto utakuja kuwaeleza na wataelewa hata wasiooelewa dhamira yako iko clean. Jitahidini kwa kadri muwezavyo kulinda afya ya akili zenu.
 
Tabu ipi wakati huna mchango?
Tafuta gheto wala usimuage kaa huko fanya mishe zako, kama atakuja kukutafuta nenda kamsalimie kisha rudi gheto kwako jitegemee, tafuta vyako, kula vyako, vaa vyako mbona unakuwa bwege!
Mwanamke hamjazaliwa tumbo moja mwache na mambo yake awe huru wewe katafute pesa kwa ajili ya watoto wako kwenda shule.
Nyie wanaume msoo na michepuko mnakuwaga mafala sana, mnapelekeshwa atakuletea bwana ndani ndio uisome namba.
Nikiwaza kipindi cha nyuma nilipokuwa naichakata mbususu halafu huwa ana squirt na Mimi huo ndio ugonjwa wangu mnaonipa ushauri wa kumuacha nawa zoom tu,

Kuacha kitu ulichokizoea sio jambo Dogo wajuba, though nashukuru kwa ushauri wenu
 
Kama kuna kitu cha thamani hapo nyumbani uza halafu pesa yote peleka sadaka kwenye kanisa la ufufuo na uzima kwa mzee wetu Gwajiboy halafu baada ya wiki uje hapa utoe ushuda jinsi ulivyofurumushwa home na my wife wako.
😀😀😀
 
Kichwa cha habari kinahusika, kama mnavyojua ktk maisha kuna kupanda na kushuka Leo unacho kesho huna ndio kanuni ya maisha ilivyo.

Suala la ajira limekuwa Changamoto sn kwa dunia ya leo kwa jinsia zote mbele yaani wake kwa waume lkn inakuwa maradufu kwa upande wa kiume kwakuwa utamaduni wetu hasa wa kiafrika imezoeleka kwamba wanaume ndio watafutaji na ndio watunza familia.

Back to the topics, kufuatia sera mbovu za uchumi za mwenda zake watu wengi nikiwemo mie turifurushwa makazini na kupelekea ajira kuwa changamoto sasa basi mke wng ndio alichukua jukumu la kuendesha familia ili siku zisonge.

Sio kwamba Mimi nilibaki tu hom kumsubili wife alete hapana nilikuwa naingia kitaa na mm Ku hustle ili nisikae kindezi na kuonekana mpenda kitonga, lkn kama mnavyojua kitaani sio kwa mchezomchezo kitaa kigumu kinyama,

Kila deal unalojaribu linabuma, ingia kwenye umachinga na kitambulisho changu cha elfu20 napo hamna kitu, basi maisha yakawa ni tyt ile mbaya japo mtoto wa kiume nikawa najipa moyo kwamba 1day nitatoboa tu na life litakuwa normal.

Sasa turudi kwa upande wa mke wng at first my wife wangu alikuwa ndio comfort wng akinipa moyo kwamba yupo pamoja nami na ataweza kuhandle changamoto ninazopitia, kiukweli na Mimi ni shahidi wife ali play part yake kwa kiwango fulani, maji nilikuwa nawekewa bafuni, boksa nanunuliwa, mbususu nilikuwa naichakata kila ninapohitaji, na vitu vingine vingi siwezi kuweka vyote hapa ambavyo mtoto wa kiume alistahili kupata kutoka kwa mwanamke.

Sasa wajuba naona mambo yamebadilika sio kama zamani my wife wangu ame change to the extent nahisi atakuwa amenichoka na kuniona takataka mbele ya jamii,

Kwanza ile heshima kama mume ndani ya nyumba siioni tena, maji sikumbuki Mara ya mwisho kuweka ilikuwa lini, akirudi kutoka kazini ananikuta nipo sebleni nimeshika remote, kwanza hanisalimii atapitiliza moja kwa moja chumbani akija sebleni anachukuwa remote na kuweka kipindi anachotaka yeye na anapiga bit ole wake mtu abadilishe.

Kipindi chenyewe haangalii anenda zake jikoni huko tena ataanza kufoka mbona glass haijaoshwa, kijiko kipo chini, dirisha hujafunga, chakula mbona kimebaki kidogo mtoto wa kike anafoka na uso umemvimba utasema nyoka aina ya koboko amemeza simbilisi.

Kwakuwa hatuna house girl kazi zote nafanya mie ikiwemo kufua nguo zake, hadi za ndani nafua mie, kuna wkt nikifua nakuta vitone kwenye chupi najiuliza nn hiki lkn napotezea tu yy ndio kashika mpini mm sina vyangu, mbususu sipewi na nikipewa kwa masharti mpaka yy siku hiyo ajiskie, asipo jiskia miezi inaweza kukatika na usipewe harafu nikitaka kuchepuka nashindwa sijui kaniroga huyu.

Kwa kweli mambo ni mengi na visa ni vingi ukurasa huu hauwezi kutosha kuelezea, vijembe vimekuwa ndio wimbo wa Taifa siku akiwa nyumbani ,akiwa jikoni huko mm nipo sebleni anaongea na mwenzie kwenye simu, ........ningekuwa na uwezo ningemuoa mimi, mara utaskia lipolipo tu kama ling'ombe bora ng'ombe unapata maziwa na nyama, hujakaa vizuri utaskia yaani we na mista wako couple yenu nimeikubali sn huku wakicheka kicheko chao cha umbea,

Swali kwa wanaume wenzangu je mlitumia njia gani kwanza kuwa handle wanawake wa aina hii na mliwezaje kuhandle situation hii na baadae kuja kutoboa na heshima ikarudi kama zamani, angalizo kumpenda bado nampenda kwani tuna watoto na sitaki familia yangu isambaratike,

Nakaribisha ushauri mzuri tu mbaya baki nao.
Ningekuwa wewe niliposikia tu kauli ya kwamba "natamani ningemuoa mimi" kwanza ningemshukuru Mungu kwa kunipa masikio,pili ningemshukuru Mungu kwa fursa ya kusikia na kuuona uhalisia wa huyo niliyekuwa najidanganya kwamba ni "Mke" tatu ningefanya uamuzi fulan very constructive. Ni jambo baya sana kwa mwanaume kujidegrade eti kisa kipato chako kimeshuka na bla bla nyingine zinazofanana na hizo.
 
Back
Top Bottom