Kwa wanaume. Hakikisha hukosi hivi nyumbani kwako

Dstv ni moja ya dish linasumbua sana, inapatikana kwa bei gani sahivi? Ulipata ile yenye screen au simple ile yenye vitaa tu?
 
Mnafurahisha sana, hebu naombeni kwa mfano ndani msumeno ni wa nini labda?

au sijaangalia vizuri huu uzi na wa mafundi tu na sio wanaume wote.
 
Kaka tunataka kukusaidia usiingie gharama na fedheha ndogo ndogo, kugonga msumali uliopitiliza kwenyw kiti chako hiyo iko ndani ya uwezo wako, je utatumia nn au jiwe?
Kuna mafundi pembeni nitaomba nyundo, enhe toroli na msumeno vya kazi gani kwa kijana tena kama wale wanaosajili laini mitaani?
 
Safi. Hiyo akili yako kama tumezaliwa pacha. Hivyo vyote ninavyo.
 
Hapa nyumbani kwa shangazi napoishi hua kazi zote za namna hizo hua nafanya mimi, wao wananishangaa nawezaje kufanya hizo kazi na mimi nawashangaa wanashindwaje kufanya hizo kazi ndogo ndogo.
 
Condom sio powertools mzee, hiyo ni sehemu ya medical supplies ndio maana sjaongelea hata Paracetamol, cotton wool au iodine tincture ambavyo pia ni muhimu kuwa navyo nyumbani
Kwa kifupi First Aid Kit
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…