Kwa wanaume mnaotafuta wanawake humu

Kwa wanaume mnaotafuta wanawake humu

Kwa wanaume mnaotafuta wanawake humu,naomba kujua mnakabiliana na changamoto gani huko nje hadi mje kutafta mabinti humu?

Maana sielewi inakuaje hadi unakosa mwanamke huko unakoishi hadi unakuja kulia humu kwamba upweke unataka kukuua.

Mbona mabinti ni wengi sana na wanapatikana kwa urahisi au mimi tu ndio naona hivyo? Tatizo ni nini?

je;
1. Mmekosa sifa za mabinti mnaoishi/kusoma /kufanya nao kazi?
2. Mko bize sana na kazi/shule hadi mnakosa muda wa kusocialize na watu[wanawake] hadi kuwapata?
3. Mabinti hawapatikani huko mnakoishi[wachache na wameshachukuliwa na wengine]?
4. Hao mnaoishi,soma au kufanya nao kazi hawana vigezo vyenu?
5. Udomo zege?[kama ndio hivyo hizi mitandao zisingekuepo mngefanyaje?mngebaka?

Kwa kweli sielewi hasa mwanaume unakosaje binti huko hadi uje kulia upweke hapa. Kumbuka: simaanishi kwamba wa humu hawafai au hawatakiwi,ndio hao hao tunaoishi nao.



Wow! Mtoto mzuri ukihisi wewe umepata bwana huko nje usilazimishe na wengine wafanye kama ulivyofanya wewe!

Alafu sjui kwa nini waschana mnapenda sana umbea umbea na kuhitaji kujua mambo ambayo hayawahusu! Badilika bhana.

Sometimes muwe munaulizia facts na sio siri za watu binafsi kwa nini wamekosa ke huko nje. Na kama utafikiria kwa undani utagundua huku ndio sehemu sahihi na rahisi ya kupata ke wasomi na wenye kujua kuchanganua mambo ukiache wale ke vilaza ambao ni wachache humu ukiwemo na wewe!

Kama vipi wambie mashoga zako wasijiunge huku.
 
It is always interesting to meet some one new you never met before! Inachosha sanaa kutoka na watu unaowajua sababu unawajua tayari si loloye si chochote hawana jipya!

The devil you know is.....
 
wengi wao wanakuwa wanaugwadu wa muda so kutoa papuchi ni rahisi sana.
 
It is always interesting to meet some one new you never met before! Inachosha sanaa kutoka na watu unaowajua sababu unawajua tayari si loloye si chochote hawana jipya!

yani hapa dada lara kamalizaa...mtu unae mjua utasikia mara katembea na huyu,mara kapigwa mtungo,mara anangoma...ila hambae humjui kabisa habari zake huna na akuna anae mjua.so unacheck akiwa anavigezo unaweka kambi...kama just night stend poa..na kama hujarizika hata kumuona ndo hapo hapo unampotezea so haina kujuana tamuuu
 
Online relationships hazina tofauti na hizo relationships mnazoanzisha huko mitaani...
..Naumbuka first time kukutana na mtu online, nilijiambia well, let me see kama naweza kuwa rafiki tu..with time sikuweza kupitisha masaa mawili bila kupata mail/ujumbe wake, i'd feel miserable..lakini ulikuwa urafiki na tulikuwa bado kuonana...
..Baadae akawa sehemu ya maisha yangu na hatukuwa tunaongea mapenzi, it was total/pure friendship. Hata tulivyokutana mara ya kwanza it felt like she was part of me, tuliendeleza urafiki na baadae ndio nikagusia kuwa wapenzi..things worked out very well.

Tatizo kubwa naona watu wanachat leo, leo leo wanapanga kukutana..mwisho wake huwa si mzuri sana..
 
Online relationships hazina tofauti na hizo relationships mnazoanzisha huko mitaani...
..Naumbuka first time kukutana na mtu online, nilijiambia well, let me see kama naweza kuwa rafiki tu..with time sikuweza kupitisha masaa mawili bila kupata mail/ujumbe wake, i'd feel miserable..lakini ulikuwa urafiki na tulikuwa bado kuonana...
..Baadae akawa sehemu ya maisha yangu na hatukuwa tunaongea mapenzi, it was total/pure friendship. Hata tulivyokutana mara ya kwanza it felt like she was part of me, tuliendeleza urafiki na baadae ndio nikagusia kuwa wapenzi..things worked out very well.

Tatizo kubwa naona watu wanachat leo, leo leo wanapanga kukutana..mwisho wake huwa si mzuri sana..

Nadhani hata mtoa mada hazungumzii mahusiano yanayoanza hivi....anazungumzia wanaobandika matangazo
 
Nitakuja na link baadae..India moja ya tatu ya ndoa zimeanzia online...UK ni moja ya nne....na nusu ya relationship zinaanzia online
 
naomba nichangie mm nionavyo,ujue dunia ya sasa watu wana changamoto sana,wakuta mwingine ni hiv positive na tanzania bado sana kunyosheana vidole,mtaani akianza jieleza inakuwa ahida lkn kwa mtandao mtu ni rahisi kujieleza maana hutojua hata alipo,lkn kwa mtu mzima huyo mtihani labda anakuwa hajatulia
 
Bado naamini hakuna ubaya kutafuta mpenz kwenye mtandao.. dunia sikuiz ni kijiji,, u can do anything while seated, bank transaction, pay bills, even getting loved one. Muhimu ni kuwa muangalifu tu, kewnye msafara wa mamba kenge hakosekani
 
Nitakuja na link baadae..India moja ya tatu ya ndoa zimeanzia online...UK ni moja ya nne....na nusu ya relationship zinaanzia online

Intaneti imebadili kabisa maisha ya watu. Licha ya kuwa kiunganishi cha watu kukutana na kuanzisha mahusiano, mtu unaweza kufanya mambo yako mengi tu kupitia intaneti bila kwenda popote.

Mimi nina miaka sasa sijaengia ndani ya jengo lolote lile la benki yangu. Huwa namaliza shughuli zote kwenye mtandao, drive-up window, na drive-up ATM.

Nalipa cable bill online, phone bill online, utility bill online, airline booking online, gym membership online (I can freeze and unfreeze my account online), set up doctor visits online....

I do a whole hell of a lot online. The internet has drastically revolutionized life.
 
  • Thanks
Reactions: kui
wanaume wengine wanaotafuta wanawake mitandaoni ni waongo, na ukimkuta alie mkweli basi ujue ana tabia fulani ambazo huko mitaani hawezi kupata mwanamke

Mh.. mi siamin theory ya chagua kilichopo, naamin theory ya tafuta unachotaka
 
Swali la kitoto hili....online attraction is very unique...ina involve zaidi personality na brain...mtu anakuvutia kwa anayoyaongea akiwa very free since yuko anonymous....hujui huyo mtu ni professa au ni Secretary ..mtaani utam judge mtu na kabila lake au kazi yake..Attraction is not a choice

mkuu umepiga penyewe,yaani hapo umemaliza mwenye masikio na asikie:embarrassed:
 
Nadhani hata mtoa mada hazungumzii mahusiano yanayoanza hivi....anazungumzia wanaobandika matangazo
It's all the same, hata nikibandika tangazo haimaanishi tutaanza kukutana na kudinyana siku hiyo hiyo..
 
Back
Top Bottom