Kwa wanaume mnaotafuta wanawake humu

Kwa wanaume mnaotafuta wanawake humu

Hahaha I'm still acting gently ujue.
Wanna do me a match making or?
Keep acting gently, your reward is forthcoming!!
..i'd really love to do a match making, but i still don't see the right man for you,
you are too good to enter into the lion's den...
 
Keep acting gently, your reward is forthcoming!!
..i'd really love to do a match making, but i still don't see the right man for you,
you are too good to enter into the lion's den...

Broc, God is the ultimate match maker eti, his choices are perfect. Kwa hiyo Kila kitu kipo under his control, si tuendelee tu na maisha
 
Kuna ndg. Yangu Blessings kapata mke humu humu na ana watoto wawili
 
Tunatfta suprise kwenye kona ya mapenz.



Likn pia wengi wanaotafta wanawake au wanaume hapa.huwa
Ni watu
*ambao hawako seriuos na mahusiano.
*wanastress/msongo wa mawazo baada ya kuachwa ghafla.
*ni watu wenye kasoro fulan hivi hasa kitabia,hivyo wanataka kuwa na watu wasiowahamu.
 
Swali la kitoto hili....online attraction is very unique...ina involve zaidi personality na brain...mtu anakuvutia kwa anayoyaongea akiwa very free since yuko anonymous....hujui huyo mtu ni professa au ni Secretary ..mtaani utam judge mtu na kabila lake au kazi yake..Attraction is not a choice
safi sana lunch ya leo bill kwangu nikumbushe mida
 
Haimaanishi kwamba wamekosa wapenzi huko mitaani bali wanatafuta kitu cha tofauti kidogo
 
binafsi sijawahi ku date mtu yeyote mtandaoni ila nimepata positive Experience mfano humu jf unaweza kujuana na mtu Mpaka usiamini macho yako
.
ni kweli kuna watoto wengi humu ila wachache niliobahatika kuwajuwa wako amazing staki kuwataja.

unakutana na mtu !(just a friend) muelewa, msomi ,anajiheshimu etc etc..yaan in short ni gentleman

note: mtu wa hivyo ni ngumu sana kukubari kuwajua in and out mpaka umjue inabidi uwe smart. ahaaaaaa hope utapita hapa.
 
Kwa wanaume mnaotafuta wanawake humu,naomba kujua mnakabiliana na changamoto gani huko nje hadi mje kutafta mabinti humu?

Maana sielewi inakuaje hadi unakosa mwanamke huko unakoishi hadi unakuja kulia humu kwamba upweke unataka kukuua.

Mbona mabinti ni wengi sana na wanapatikana kwa urahisi au mimi tu ndio naona hivyo? Tatizo ni nini?

je;
1. Mmekosa sifa za mabinti mnaoishi/kusoma /kufanya nao kazi?
2. Mko bize sana na kazi/shule hadi mnakosa muda wa kusocialize na watu[wanawake] hadi kuwapata?
3. Mabinti hawapatikani huko mnakoishi[wachache na wameshachukuliwa na wengine]?
4. Hao mnaoishi,soma au kufanya nao kazi hawana vigezo vyenu?
5. Udomo zege?[kama ndio hivyo hizi mitandao zisingekuepo mngefanyaje?mngebaka?

Kwa kweli sielewi hasa mwanaume unakosaje binti huko hadi uje kulia upweke hapa. Kumbuka: simaanishi kwamba wa humu hawafai au hawatakiwi,ndio hao hao tunaoishi nao.
Mwanamke/mwanaume anapatikana popote pale na haimanishi MTU kutafuta me/ke mtandaoni anakasoro au shida flani.

Maisha yanabadirika sana dunia ya Leo ya mzungu kila kitu kiko easy watu hawana muda WA kuanza kufutana kama kuku.na kukimbizana ovyoovyo tu .

Mapenz popote ili mradi muelewane tu katika makubaliano yenu tatizo wanawake/wanaume sasa wameshasahau majukumu yao ndio maana kila mtu anatafuta katika mitandao ili kama atapata angalau mwenye kujua kucare kidogo
 
Kwa wanaume mnaotafuta wanawake humu,naomba kujua mnakabiliana na changamoto gani huko nje hadi mje kutafta mabinti humu?

Maana sielewi inakuaje hadi unakosa mwanamke huko unakoishi hadi unakuja kulia humu kwamba upweke unataka kukuua.

Mbona mabinti ni wengi sana na wanapatikana kwa urahisi au mimi tu ndio naona hivyo? Tatizo ni nini?

je;
1. Mmekosa sifa za mabinti mnaoishi/kusoma /kufanya nao kazi?
2. Mko bize sana na kazi/shule hadi mnakosa muda wa kusocialize na watu[wanawake] hadi kuwapata?
3. Mabinti hawapatikani huko mnakoishi[wachache na wameshachukuliwa na wengine]?
4. Hao mnaoishi,soma au kufanya nao kazi hawana vigezo vyenu?
5. Udomo zege?[kama ndio hivyo hizi mitandao zisingekuepo mngefanyaje?mngebaka?

Kwa kweli sielewi hasa mwanaume unakosaje binti huko hadi uje kulia upweke hapa. Kumbuka: simaanishi kwamba wa humu hawafai au hawatakiwi,ndio hao hao tunaoishi nao.
Hahaha
 
Back
Top Bottom