Zainab Tamim
JF-Expert Member
- Jan 15, 2015
- 1,293
- 583
- Thread starter
-
- #61
Bi Zainab, Asalaam Aleykum.
Nimeenda kwa Saira jana nikakuta bidhaa hakuna ameishiwa, vipi mama mbona unatuangusha?
WS.
Samahani sana. Tumeshampelekea jana jioni, ni matatizo ya demand na supply naomba pitia sasa utakuwepo na tunafanya kila njia kutatua hili tatizo la kukosekana bidhaa yetu mteja anapofika kwa mawakala wetu.
Kwa usumbufu uliojitokeza tumemuagiza Bi Saira ukienda akupatie packet moja bila malipo, hiyo kukuomba msamaha, na pia unaweza mpigia akakuletea kama upo Kariakoo.
Asante sana
Jana kuna mteja wangu kanipigia simu na kunipa habari njema, anasema katika kuupaka huu udogo miguuni (ana sugu za miguu) ikatokea tu na kucha zake zikatapakaa udongo, licha ya kuonesha matokeo mazuri kwenye sugu zake za miguu. Akajikuta kuwa na kucha zake zimetakasika na kuonesha uhai mpya.
Anasema akaanza kuupaka kwenye kucha kwa makusudi kama anapaka hina, na matokeo anasema atakuja nijionee mwenyewe, kwa maneno yake "kucha zangu zimepata uhai mpya".
Nafikiri Huu udongo utatufaa Kweli sisi kina team misitu a.k.a natural. Nitakutafuta zay
C.c Khantwe, mahondaw, Mafikizolo em piteni na Huku Jamani
Ni hivi kuna udongo asili kwa ajili ya kulainisha, kulinda na kufanya ngozi yako iwe ya kuvutia zaidi bila ya kuleta Madhara yoyote kwenye ngozi yako. Udongo huo unaondoa vipele na rushes Mwilini na unafufua ngozi iliyokufa
Ok poa asante sana je kwa sisi wa mikoani tutapaje mpendwa?
Thanks for the offer, maana hata kulalamika nimeshindwa inanikumbusha mbali, sijaona hii Tanzania.
Ni hivi kuna udongo asili kwa ajili ya kulainisha, kulinda na kufanya ngozi yako iwe ya kuvutia zaidi bila ya kuleta Madhara yoyote kwenye ngozi yako. Udongo huo unaondoa vipele na rushes Mwilini na unafufua ngozi iliyokufa
jinsi ya kuutumia Ni unachukua udongo wako kiasi, unachanganya na Maji then unaweza kuutumia kwa kusafisha Uso, scrubbing, masking , sun protection etc.. Na pia recently wamegundua Kuwa unaweza ukautumia huo udongo kupigia mswaki fresh kabisa
emu get your quality udongo bana afu bei Ni sawa na bure Kabisa, na nimeona faiza anasema yeye huwa anaagiza huo udongo Canada, but sisi tunaupata hapa hapa. Ni Bahati iliyoje lol
Awwwww thanks dear. Ntaku-pm lolAsante sana tena sana. Unanidai pakti moja ya bure, sema wapi nikutumie.
Heaven Sent nakubali ni kweli wa peponi, maana alivyoelezeea hata mimi siwezi.
Nahitaji kumchukulia mke wangu pia nami kwa ajili ya vipele ndevu. Je huku Arusha nitawezaje kuipata?
Awwwww thanks dear. Ntaku-pm lol
Kaka, Arusha tunatuma kutumia mabasi ya Kilimanjaro, bei hiyo hiyo unalipia nauli ya mzigo tu. Bado hatujapata wakala, tupo njiani kupata wakala.
Huo udongo hapo Kariakoo mnaweza ku deliver nyumbani? Lumumba na Udoe? Kama ndiyo basi nimeku pm namba yangu.
Nataka kuujaribu, kuna udongo nnautumia sasa hivi unaitwa "montmorillonite" nnaununuwa Canada, ni hivyo hivyo unaukoroga na maji halafu unapaka kama liwa, if huo wako ni kama huo basi bi Zainab count me in.