Jagood
JF-Expert Member
- Aug 15, 2016
- 2,141
- 2,388
#10 sidhani kama ni makusudi5,8,10 wanaboa zaidi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
#10 sidhani kama ni makusudi5,8,10 wanaboa zaidi
upo sahihi ila haina umuhim cna wenzetu huo ulimbukeni hawana.mtu huna hela unakazana kuvaa vzr ni upuuzi.kuna viatu haviitaji soksi asee km zile simple toms
upo sahihi ila haina umuhim cna wenzetu huo ulimbukeni hawana.mtu huna hela unakazana kuvaa vzr ni upuuzi.kuna viatu haviitaji soksi asee km zile simple toms
hizo simpo unavaaje na soksi
Tuko nyuma kulinganisha na nani? Tunashindana kwani? Nani kaweka vigezo?! "personality is personal" huwezi kuwaridhisha wote.Ni watu wachache wanaoelewa maana ya "personality". Africa bado tuko nyuma sana.
Inatakiwa nini kiwe mkononi apo?Safiii
CV za wapi mkuu.
Maana wengine tunavaa kanzu na migololi ya kimasai
upo sahihi ila haina umuhim cna wenzetu huo ulimbukeni hawana.mtu huna hela unakazana kuvaa vzr ni upuuzi.kuna viatu haviitaji soksi asee km zile simple toms
Hata zote kama utaweza manNitaizingatia namba 4 7&8
Wewe utajua mwenyewe bwana, kama mada haijakugusa kaa pembeni.. Jiheshimu mkuu..Heshima kitu cha bureMkuu utakua umewekewa mkia mbele kimakosa ulitakiwa kitobo, maana dalili zote za kike unazo
DUH.. KIINGEREZA HICHOSmartness pays