Kwa wanaume tu! Makosa haya 10 ya uvaaji yatakushushia "CV" yako, Yaepuke!

Kwa wanaume tu! Makosa haya 10 ya uvaaji yatakushushia "CV" yako, Yaepuke!

Mkuu utakua umewekewa mkia mbele kimakosa ulitakiwa kitobo, maana dalili zote za kike unazo
 
upo sahihi ila haina umuhim cna wenzetu huo ulimbukeni hawana.mtu huna hela unakazana kuvaa vzr ni upuuzi.kuna viatu haviitaji soksi asee km zile simple toms
 
8e14906f4929b3a89231c7880822982c.jpg
upo sahihi ila haina umuhim cna wenzetu huo ulimbukeni hawana.mtu huna hela unakazana kuvaa vzr ni upuuzi.kuna viatu haviitaji soksi asee km zile simple toms

upo sahihi ila haina umuhim cna wenzetu huo ulimbukeni hawana.mtu huna hela unakazana kuvaa vzr ni upuuzi.kuna viatu haviitaji soksi asee km zile simple toms
 
CV za wapi mkuu.

Maana wengine tunavaa kanzu na migololi ya kimasai
 
Ni watu wachache wanaoelewa maana ya "personality". Africa bado tuko nyuma sana.
Tuko nyuma kulinganisha na nani? Tunashindana kwani? Nani kaweka vigezo?! "personality is personal" huwezi kuwaridhisha wote.
 
Kuna zile soksi ndogo kwa ajili ya viatu kama hivyo...nadhani unazijua ee
upo sahihi ila haina umuhim cna wenzetu huo ulimbukeni hawana.mtu huna hela unakazana kuvaa vzr ni upuuzi.kuna viatu haviitaji soksi asee km zile simple toms
 
Tafuta hela acha kuchunguza wanaume wamevaa nini!Mimi sijawahi kuona mtu ameruka loops na sioni tofauti kati ya mkanda wa ngozi uliochakaa na mpya!Ni dalili za maisha ya vijiweni kuchunguza watu wamevaaje!Acheni hizo!
 
Back
Top Bottom