Kwa wanaume tu! Makosa haya 10 ya uvaaji yatakushushia "CV" yako, Yaepuke!

Kwa wanaume tu! Makosa haya 10 ya uvaaji yatakushushia "CV" yako, Yaepuke!

Kuna vijiuzi vinauzi humu japo kweli.. ila njaa niliyokuwa nayo nakosa hata mood ya kujikuta nimepangilia mavazi yangu lakini sura haina furaha kabisa full ma strees
 
1.Kuvaa mkanda uliochakaa licha ya kuvaa viatu vizuri, suruali na shati la kisasa kabisa!

2.Kuruka Ruksi wakati wa kuvaa mkanda. Daima hakikisha mkanda wako umepita kwenye ruksi husika kabla hujatoka nyumbani

3.Kuvaa Soksi tofauti/zilizochakaa au kutovaa kabisa Licha ya kuonekana nadhifu kwa nje

4.Kutokubeba kitambaa matokeo yake unapiga chafya na kujifutia mikono, kisha kwenye nguo!

5.Kujaza vitu mifukoni matokeo yake mifuko inatuna

6.Kuruka vifungo vya shati

7.Kuvaa nguo bila ya kunyoosha

8. Shati Kubwa-Suruali ya kubana mpaka inaacha “mali” yako yote nje, au Shati la kubana-Suruali kubwa!

9. Rangi ya t-shirt ya ndani kuwa na rangi ya tofauti kabisa na shati ya nje! Mbaya zaidi t-shirt inang’aa na shati linaangaza

10.Kuchomekea kwenye nguo ya ndani ukidhani umechomekea kwenye suruali!
Kubeba wallet iliyochakaa....
 
Sio mkuu. Hata kichaa anavaa nguo japo sio nadhifu. Kikubwa ni kutafuta pesa utanashaji utakuja wenyew
Mtoa mada ana mantiki.
Tumeona watu wengi wenye ukwasi lakini suala la kuvaa ni sifuri. Wengine hadi wanapekua! Sasa ukiuliza unaambiwa huyo kazipata mali kwa njia ya "ndagu" na hayo ndiyo masharti. Wengine wanalala sakafuni, kulala kwenye sponji mwiko, mali itakimbia! Unabaki unajiuliza kuwa ndiyo nini?
Kuwa na pesa ama kutafuta pesa hakuzuii personallity yako kuiweka "chicha", jipende upendeze na upendwe.
 
Hata kama uwe smart kiasi gani kama una miaka 25 alafu unakula kwa baba haisaidii
 
Hata kama uwe smart kiasi gani kama una miaka 25 alafu unakula kwa baba haisaidii
Usifanye majumuisho mkuu. Watu wako hadi miaka 30+ plus wanaishi kwa wazazi. Hii inatokana na familia kuwa na upendo kwa watoto na kuwafungulia au kusimamia miladi ya maendeleo kama maduka n.k. Hiyo ya kuondoka nyumbani quick as soon as you are matured ni familia kuwa na migogoro na maisha duni japo si zote
 
KWA kweli mimi huwa isvai nguo chafu lakini nimejikuta tu sina tabia ya kupangilia nguo....na ata nikienda kufanya manunuzi huwa sizingatii rangi wa uzuri wa nguo huwa nanunua tu kwa kuwa inanitosha...kuhusu hayo uliyo andika nashukuru umeniongezea kitu lakini sidhani kama yatanibadilisha.
umefunguka vizuuuri sana
 
Kuna fashion ya suruali njiwa na viatu bila soksi
 
Mtoa mada ana mantiki.
Tumeona watu wengi wenye ukwasi lakini suala la kuvaa ni sifuri. Wengine hadi wanapekua! Sasa ukiuliza unaambiwa huyo kazipata mali kwa njia ya "ndagu" na hayo ndiyo masharti. Wengine wanalala sakafuni, kulala kwenye sponji mwiko, mali itakimbia! Unabaki unajiuliza kuwa ndiyo nini?
Kuwa na pesa ama kutafuta pesa hakuzuii personallity yako kuiweka "chicha", jipende upendeze na upendwe.
Ushauri mzuri., ila unataka upendwe tena[emoji12] na nani na kwa lipi sijaelewa
 
When Mark Zuckerberg asked about his clothing style he replied..i don't have time to choose what to wear or to iron for the sake of people's tensions... I always wear what is on top first in the bag........Ni sawa na kunipangia nisimalize kuku Ukweni [emoji41][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41]
 
DUH.. KIINGEREZA HICHO
Hahhahahah 'umaridadi/utanashati unalipa' nimetafsiri neno kwa neno, si unajua kingereza chetu cha yes,no,of course,.... Mkuu embu weka hilo neno sawa labda nimekosea ....
 
Back
Top Bottom