Aya nitakuja kuonasio kweli nakupa mfano hai naenda kuripa chaji za bandari labda ni laki 9 bank yao iko ndani bandarini unataka ni bebeje?kwenye bag,nchi yetu bado aiko kwenye mfumo mzuri wa malipo kwa njia za kisasa watu bado wanatembea mpaka na m5 njoo kwenye kazi zetu uone
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Kuanzia sasa naacha kuweka machungwa mifukoni.
Pamoja sana mkuuNimekupata
I got it
me nimekuelewa
Cash ukiwa uchi [emoji52] [emoji52] [emoji144] [emoji144]
Hahaha weee[emoji23]unamatatizo
Nilijua ungeniambia kuwa utarudi baadae.hahahahHahaha weee
[emoji144] [emoji144] [emoji144] [emoji144] [emoji144] [emoji144] [emoji144]Nilijua ungeniambia kuwa utarudi baadae.hahahah
Kuna wakaka ukimkaribisha ndani, mlangoni akiona ishara ya kuvua viatu anapanick.
sio mpango Dada, mbona Mpya zipoKuvaa nguo iliyochakaa
Ahsante mkuu kwa dondoo(1)Kuvaa shirt nyeusi lakini mgongoni inaonekana KIJIVU kwa kupauka(2)..kuvaa VIATU vilivyopinda kwenye soli (3)kuvaa ..kiatu mbele kumetoboka.(4)..kuvaa kiatu ukitembea kwenye soli kunaingiza michanga ndani ya kiatu..kwa kutoboka...(5)kuvaa MKANDA ukafunga na PIN..(6)NGUO kunukia DAWA YA MENDE badala ya PERFUME..(7)KUVAA nguo MOJA week bila kubadilisha HADI ZINAFANANA NA WEWE...(8)KUVAA SURUALI KIFUANI....kama LOKASA YA MBONGO...AU SHIMITA...(9)kuvaa TAI NDEFU HADI MAGOTINI.(10)..kuvaa nguo bila mpangilio..TAI NJANO..MKANDA BLUE..KIATU CHEKUNDU...SURUALI KIJANI.... Yote hayo pia uliyasahau mkuu