Kwa Wanawake na Wanaume ambao hawajawahi kuolewa wala kuoa

Umeolewa?

Sent from my TECNO RC6 using JamiiForums mobile app
 
Dah! ko dada maria kama mmewahi fanya kabla ya ndoa inamaana hiyo ndoa haitakiwi sasa muachane au? Ebu endelea kujazia jazia
 
Nipo bega na wewe kuhakikisha huu Uzi unafika mbali na kuzidi hata ule wa rikiboy wa KULA TUNDA KINASIARA . Hizi ndio hoja za kuleta humu jf kwa ajili ya maendeleo ya vijana wa kesho
Huu hauwezi kuupita wa rikiboy....hilo nina uhakika.
 
Haya mambo kwa upande wangu naona ni mipango ya mungu kwa sana kwa dunia ya sasa wtu walio loyal sana na humble hawana mda na ndoa na hawapati wenza kwa kujishtukia kuchitiwa hata wanaume baadhi kuhudumia wanawake unaona jau usijekuwa unajaza mafuta kweny usafiri wa umma kila mtu anapanda

Dunia imeisha sana wadada wanazaa kama bata tena hao wasomi ila ndoa zipo nadra sana naona vijana ninao wafahamu kati ya ndoa tisa ni mbili wanawake wameolewa ila vijana 8 wameoa tena kutoka vijijini sio watu tulikutana nao chuo na wasichana 10 kati nilimaliza nao wawili wameolewa na kuzaa na 8 wamezalia home kupenda pesa

kingine mapenzi ni hisia na zinapotea kwa sasa haswa za ndoa coz mambo ya faragha yamekuwa cheap mno maadili hamna

ushauri haswa wanawake wapo kweny hatari ya kuingia sehemu isiyo salama kwa hofu ya umri na kuchelewa kuzaa juu hayo yote kuzaa sijui ndoa ni mipango ya mungu unaweza kufa ukiwa unajifungua miezi miwili tumezika rafiki yetu amekufa alipokuwa anajifungua yeye na mwanae wote .

wanawake msikubali kufanywa magharasa aki ya mungu ukizaa nje labda jamaa akuoe ila unajipunguzia credits za kuolewa na mtu mwingine
 
Ni kweli kabisa tunatumiana tuu kama vifaa vya ngono.
 
Dah! ko dada maria kama mmewahi fanya kabla ya ndoa inamaana hiyo ndoa haitakiwi sasa muachane au? Ebu endelea kujazia jazia
Huu uzi mahususi kwa ambao bado... kama tayari tutubie maisha yaendelee....
 
Mimi ni mfano halisi nilifanya mapenz kabla ya ndoa nikapewa mimba nikaachwa lakini siwez mshauri MTU afunge ndoa kabla hajajua yaliyomo yamo .....kuna rafiki yangu anaishi ndoa ya mateso saivi kisa mpaka ndoa.Ana watoto wawili na wote kazaa na rafiki wa mume ambaye aliruhusiwa na mume wake mwenyewe
 
Hawatakagi hata kuwagusa...eti dhambi subiri tufunge ndoa
Lakini jamani sii ata mkikumbatiana lazima mgegedo udinde kidogo hivyo usipopata mpapaso wa mgegedo wakati wa kumbato tayari uunajua huyu hamna kitu
 
Eeh kwa hiyo jamaa alakibali kabisa mke wake atombweee na rafiki yake😲😲😲😲😲
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…