Nimeona komenti yako mtaa wa pili ila nikijaribu kulog in inagoma. Ina muonekano huu ndio yenyewe? Natakiwa nifungue akaunti?Halotel ukidownload MyHalotel app play store unapata GB 1 au 2 bure.
App yenyewe hiyo ukiidownload unaweka namba yako kisha wanatuma verification code ukiweka zinaingia ,ukiuliza salio watakuambia Mb za promoshemi umepewa ngapi.Nimeona komenti yako mtaa wa pili ila nikijaribu kulog in inagoma. Ina muonekano huu ndio yenyewe? Natakiwa nifungue akaunti?
View attachment 2716121
🤣🤣 Hiyo Innocent Defendant tayari nishauona, iko vizuri ni moja ya Legal drama bora. Nakupa assignment kaitafute The DEVIL JUDGE utaipenda mno ni legal drama pia, kacheza huyo huyo wa Innocent Defendant.Icheki Innocent defendant kwanza hiyo Ndio kubwa kuliko Gwanggaeto the Great
Bishoo wa Soul huonekani kabisa, au mie ndie niliyepotea?Lady Gil Chae
View attachment 2716299
Mzigo wa moto huu upo kwenye top 10 yangu ya all time k drama series🔥🔥🔥Ila jamani Mr sun shine ni 🔥🔥🔥
Top 3 ya drama ninazozikubali:
1. Empress Ki, hii ni moja kati ya drama niliyoangalia mwanzo hadi mwisho bila kupepesa macho sababu ya kuwa na mpangalio mzuri wa matukio. Pia characters wamevaa uhusika vizuri sana kiufupi wamezitendea haki nafasi walizocheza wakiongozwa na bi dada Ha ji won pamoja na mtaalamu Ji Chang Wook bila kumsahau mtaalam Wang Yu. Hii hata niirudie mara 100 siwezi ichoka.
2. The land of the wind/ The Kingdom of the wind. Hii ilikua all time favourite drama yangu kabla ya kuangalia Empress Ki. Pia hii ni drama yangu ya pili kuitazama ya kwanza ni Jumong na ndio iliyopelekea mimi kuwa mlevi wa hii burudani adhimu ya wakorea. Kwenye hii drama nimependa jinsi walivyoonesha maisha ya mwanzoni kabisa ya nguli Daemusin Muhyul wa Goguryeo pamoja na mtoto wake Yuri. Hii naikubali zaidi hata ya Jumong yaani kwenye hii drama Song il guk alitisha.
3. Hotel Del luna. Hii nimeimaliza wiki moja iliyopita. Binafsi mimi ni mpenzi wa movies, series na drama za adventure, fantasy au thriller pia napenda drama zenye story yenye kuumiza kichwa kama Kill me heal me na King Eternal Monarch.
Kwenye hii drama kilichonivutia zaidi ni story yake inayomuelezea bi dada Manweol mmiliki wa guest house of the moon na tragedy iliotokea hapo zamani kati yake na Chung Myung iliyopelekea yeye kuwa tied down kwenye Guest house of the moon kwa takribami miaka 1000. Ndani ya hii drama utamuona mtaalam Ku Chan Song pamoja na wa wafanyakazi wengine wa Guest house of the moon. Pia plot twist kati ya Chung Myung na Manweol ilinivutia zaidi pia ilinisikitisha but all in all nilipenda jinsi ilivoisha japo hawakumtendea haki Chung Myung ila ilikua na happy ending.
Kingine OST zake murua kama "Can you see my heart" ya Heinze pamoja na "Done for me" ya Punch...hizi ziliinogesha zaidi hii drama...Hawa wakorea wanajua sana kwenye uandishi wa hizi drama zao sijui lini wabongo tutafikia level hizi.
Honourable mentions: Hapa zinaingia Jumong, Kill me heal me, Queen Seondeok,Iris I,Arthdal Chronicles, Iljmae na Goblin.
Pia honourable mention iende kwa Mr Sunshine...katika drama zote nilizowahi angalia zenye sad ending hii ni ya pili ya kwanza ni Empress Ki. Hizi drama mbili zilijua kunisikitisha aisee.
Hio ndio list ya drama za kikorea nilizoangalia mpaka sasa na nikazikubali zaidi.
Dah Wana jua Sana, gu dong Mae, eugine, na so heung🤒Mzigo wa moto huu upo kwenye top 10 yangu ya all time k drama series🔥🔥🔥
Gu dongmae, Go Aesin, Eugene Choi/ Choi Yu-jin. Huyu Gu dongmae ana balaa🔥😀Dah Wana jua Sana, gu dong Mae, eugine, na so heung🤒
Walimuua kijingaGu dongmae, Go Aesin, Eugene Choi/ Choi Yu-jin. Huyu Gu dongmae ana balaa🔥😀
View attachment 2716435
Nime ishia kapigwa risasi sokoniWalimuua kijinga
Dah hatari Sana, alafu ana mahesabu makubwaa Sana.View attachment 2716408
Huyu mwanamke ni kichwa kweli kweli, yaani ni mtu ambaye anaweza kukuangamiza bila kuamini. Kuligana na biography yake nilimtazama kwa mara ya kwanza kwenye drama ya Man 2 Man( 2017) although drama yenyewe nishaisahau hivyo hata uhusika wa dada huyu siukumbuki, Ila Namkumbuka vyema kwenye Mr. SUN SHINE alikuwa very ambitious woman, na alifanya vizuri mno. Ila kwenye THE DEVIL JUDGE alinikosha zaidi sababu alikuwa anaangamiza watu ambao ni tishio zaidi kirahisi mno kwa kutumia akili tu. Hii ilifanya niitafute GAEKJU/ THE MERCHANT hahaha toka huko alikuwa ni msumbufu sana. Nasema huyu mdada ni jangili hata kuliko yule Mishil wa Great Queen Seon Deok.
Anaitwa Kim min Jung mwanamama gaidi. Itafute DEVIL JUDGE utamfurahia japo anakera. Akili nyingi.
Director alizingua aliwaua main cast wote dahWalimuua kijinga
Dah Kuna sehemu walienda bar, Wana Pigana biti tu🤣😂🤣Gu dongmae, Go Aesin, Eugene Choi/ Choi Yu-jin. Huyu Gu dongmae ana balaa🔥😀
View attachment 2716435
Oops spoiler alert❗❗❗❗❗❗ sorry mkuuNime ishia kapigwa risasi sokoni
Usiwaze, sema ana series zingine??Oops spoiler alert❗❗❗❗❗❗ sorry mkuu
Huo urembo wake ni moja ya silaha yake, kwenye Devil Judge aliwaua majangili wenze kirahisi. Sema akaingia kwenye anga za Ji Sung ambaye alikuwa na mbichwa mbovu kama wake, Jamaa aliwalipua mahakaniDah hatari Sana, alafu ana mahesabu makubwaa Sana.
👉 Beauty with brain🤒, nili kapenda bure🤣🤔
Alizingua sanaDirector alizingua aliwaua main cast wote dah
Wanafunzi wapo na gurudumu, wazee vijana tulee wajukuu.Bishoo wa Soul huonekani kabisa, au mie ndie niliyepotea?