Kwa wapenzi wa Korean Dramas, hii ni thread yako!

Kwa wapenzi wa Korean Dramas, hii ni thread yako!

Nimeona komenti yako mtaa wa pili ila nikijaribu kulog in inagoma. Ina muonekano huu ndio yenyewe? Natakiwa nifungue akaunti?
View attachment 2716121
App yenyewe hiyo ukiidownload unaweka namba yako kisha wanatuma verification code ukiweka zinaingia ,ukiuliza salio watakuambia Mb za promoshemi umepewa ngapi.
IMG-20230812-WA0072.jpg
IMG-20230812-WA0072.jpg
IMG-20230812-WA0072.jpg
IMG-20230812-WA0072.jpg
IMG-20230812-WA0072.jpg
 
Ila jamani Mr sun shine ni 🔥🔥🔥
Mzigo wa moto huu upo kwenye top 10 yangu ya all time k drama series🔥🔥🔥
Top 3 ya drama ninazozikubali:
1. Empress Ki, hii ni moja kati ya drama niliyoangalia mwanzo hadi mwisho bila kupepesa macho sababu ya kuwa na mpangalio mzuri wa matukio. Pia characters wamevaa uhusika vizuri sana kiufupi wamezitendea haki nafasi walizocheza wakiongozwa na bi dada Ha ji won pamoja na mtaalamu Ji Chang Wook bila kumsahau mtaalam Wang Yu. Hii hata niirudie mara 100 siwezi ichoka.

2. The land of the wind/ The Kingdom of the wind. Hii ilikua all time favourite drama yangu kabla ya kuangalia Empress Ki. Pia hii ni drama yangu ya pili kuitazama ya kwanza ni Jumong na ndio iliyopelekea mimi kuwa mlevi wa hii burudani adhimu ya wakorea. Kwenye hii drama nimependa jinsi walivyoonesha maisha ya mwanzoni kabisa ya nguli Daemusin Muhyul wa Goguryeo pamoja na mtoto wake Yuri. Hii naikubali zaidi hata ya Jumong yaani kwenye hii drama Song il guk alitisha.

3. Hotel Del luna. Hii nimeimaliza wiki moja iliyopita. Binafsi mimi ni mpenzi wa movies, series na drama za adventure, fantasy au thriller pia napenda drama zenye story yenye kuumiza kichwa kama Kill me heal me na King Eternal Monarch.

Kwenye hii drama kilichonivutia zaidi ni story yake inayomuelezea bi dada Manweol mmiliki wa guest house of the moon na tragedy iliotokea hapo zamani kati yake na Chung Myung iliyopelekea yeye kuwa tied down kwenye Guest house of the moon kwa takribami miaka 1000. Ndani ya hii drama utamuona mtaalam Ku Chan Song pamoja na wa wafanyakazi wengine wa Guest house of the moon. Pia plot twist kati ya Chung Myung na Manweol ilinivutia zaidi pia ilinisikitisha but all in all nilipenda jinsi ilivoisha japo hawakumtendea haki Chung Myung ila ilikua na happy ending.

Kingine OST zake murua kama "Can you see my heart" ya Heinze pamoja na "Done for me" ya Punch...hizi ziliinogesha zaidi hii drama...Hawa wakorea wanajua sana kwenye uandishi wa hizi drama zao sijui lini wabongo tutafikia level hizi.

Honourable mentions: Hapa zinaingia Jumong, Kill me heal me, Queen Seondeok,Iris I,Arthdal Chronicles, Iljmae na Goblin.

Pia honourable mention iende kwa Mr Sunshine...katika drama zote nilizowahi angalia zenye sad ending hii ni ya pili ya kwanza ni Empress Ki. Hizi drama mbili zilijua kunisikitisha aisee.

Hio ndio list ya drama za kikorea nilizoangalia mpaka sasa na nikazikubali zaidi.
 
Kim_Min-Jung-1982-p1.jpg

Huyu mwanamke ni kichwa kweli kweli, yaani ni mtu ambaye anaweza kukuangamiza bila kuamini. Kuligana na biography yake nilimtazama kwa mara ya kwanza kwenye drama ya Man 2 Man( 2017) although drama yenyewe nishaisahau hivyo hata uhusika wa dada huyu siukumbuki, Ila Namkumbuka vyema kwenye Mr. SUN SHINE alikuwa very ambitious woman, na alifanya vizuri mno. Ila kwenye THE DEVIL JUDGE alinikosha zaidi sababu alikuwa anaangamiza watu ambao ni tishio zaidi kirahisi mno kwa kutumia akili tu. Hii ilifanya niitafute GAEKJU/ THE MERCHANT hahaha toka huko alikuwa ni msumbufu sana. Nasema huyu mdada ni jangili hata kuliko yule Mishil wa Great Queen Seon Deok.

Anaitwa Kim min Jung mwanamama gaidi. Itafute DEVIL JUDGE utamfurahia japo anakera. Akili nyingi.
 
View attachment 2716408
Huyu mwanamke ni kichwa kweli kweli, yaani ni mtu ambaye anaweza kukuangamiza bila kuamini. Kuligana na biography yake nilimtazama kwa mara ya kwanza kwenye drama ya Man 2 Man( 2017) although drama yenyewe nishaisahau hivyo hata uhusika wa dada huyu siukumbuki, Ila Namkumbuka vyema kwenye Mr. SUN SHINE alikuwa very ambitious woman, na alifanya vizuri mno. Ila kwenye THE DEVIL JUDGE alinikosha zaidi sababu alikuwa anaangamiza watu ambao ni tishio zaidi kirahisi mno kwa kutumia akili tu. Hii ilifanya niitafute GAEKJU/ THE MERCHANT hahaha toka huko alikuwa ni msumbufu sana. Nasema huyu mdada ni jangili hata kuliko yule Mishil wa Great Queen Seon Deok.

Anaitwa Kim min Jung mwanamama gaidi. Itafute DEVIL JUDGE utamfurahia japo anakera. Akili nyingi.
Dah hatari Sana, alafu ana mahesabu makubwaa Sana.
👉 Beauty with brain🤒, nili kapenda bure🤣🤔
 
Bishoo wa Soul huonekani kabisa, au mie ndie niliyepotea?
Wanafunzi wapo na gurudumu, wazee vijana tulee wajukuu.

talnam amekuwa master.

Numbisa bado ana jinamizi la ban ila ujuzi upo, haulizi tena link za kupakua drama.

Khantwe bado hajiamini ila ni legendary shupavu na mwerevu, huyu nadhani harusi yake atafanyia shilla hotel.

adriz Bado yupo gizani, kwake yeye sanaa ni wavaa mapazia tu, ananikumbusha nyakati zile naaza kukolea kuangalia wakorea..nilikuwa nawapenda wavaa mapazia tu.

Al-Hadidy amekuja kuongeza kitu kikubwa sana, ameupeleka huu uzi mpaka kwenye level ya variety show.
Heshima kwake, halafu anashabikia manchester united.....
Sijui ni reincarnation yangu?
Ana maneno ya shombo kama mjinga yule wa unguja pindi anapokerwa.
Respect kwake, kuna mambo najifunza kutoka kwake.

Mvaa Kobazi naye yupo, muhenga mwenda pole.

Hziyech22 bado ndio yule yule.
 
Back
Top Bottom