Kwa wapenzi wa Korean Dramas, hii ni thread yako!

Usitake kuwa Kama Khantwe .Tuuh
 
bab kuumbw kwangu ni glass mask au kikorea uri gam uni ni shida story Kali kinyaaaama
 
aigoooo mlevi wewe hunifai nilitegemea utanipa njia nyengine ya kuachana na ulevi huu.
au ndio mlevi hamkatazi mlevi mwenziwe kuacha pombe
Unakumbuka kuna Muda nilijitapa Nataka Acha Izi Mambo Lol!!!
Nimeacha Sasa Ndo Kwanza Nasubiri Nimalize Kitu Flani Ivi Then Nianze Izo Mambo Zile Zilizonipita Nijitahidi Kuziwatch Tena.
Hahahaha Sina Hakika Kiukweli Lol!!

Kwaiyo Ushauri Wangu Ni Usiache Labda Upunguze Kama Utaweza!!!
 
yule mwanamama aliyeimba wimbo wa mazoea yana tabu hakukosea, kupunguza naweza kwa sababu naweza kukaa siku tatu bila ya kuangalia hata episode moja lakini kuacha kabisa ndio siwezi.
kwa mfano nikitembelea youtube hata kama nitafute history zote lakini home itabaki vile vile na masuala ya korean entertainment, matokeo yake naanza tena kuangalia show na nyimbo za kikorea.
nadhani google washanibandika muhuri ya kwamba ni mwanachama wa kudumu wa korean entertainment.
 
Napendaga drama za kibabe
The vegeance
Into the badlands
Ni mkono.mwanzo mwisho
ungelitembelea thread ya wapenzi wa series ingependeza zaidi na inapatikana kwenye jukwaa hili la entertainment, naamini utajifunza na kupata taarifa mbalimbali kuhusiana na sanaa ya uigizaji kwa nchi za magharibi
nakuomba radhi kama nitakuwa nimekukwaza kutokana na maandishi yangu
 
ni kweli dini haina mahala maalumu pa kuitangaza hii ni kwa sababu mwanadamu hawezi kuishi bila ya dini ila itapendeza zaidi kama utatembelea jukwaa la dini.
nakuomba radhi kama itakuwa maandishi yangu yamekukera
Hahahahahhaha! Sorry Kwani Iyo ni dini Maana ata Sijaifungua.
 
Uko Mwanachama Na Utabaki kuwa Mwanachama..kuacha Si Rahisi Ndugu

Nina Miaka Sijajua Exactly Mingapi Tangu Nianze Kufutaria Korea Entertainment Lakini Sifikiria kuacha Coz Navitu Bado Nahitaji Kujua,Kujifunza Na Nakupata Buradani Pia.
 
Uko Mwanachama Na Utabaki kuwa Mwanachama..kuacha Si Rahisi Ndugu

Nina Miaka Sijajua Exactly Mingapi Tangu Nianze Kufutaria Korea Entertainment Lakini Sifikiria kuacha Coz Navitu Bado Nahitaji Kujua,Kujifunza Na Nakupata Buradani Pia.
hahahahaaaaaa noona unanichukulia poa?
ili niache kuangalia korean drama pia itanibidi nisisikilize wala kufuatilia korean ost na suala hili nalo gumu sana ila ngoja nijaribu.
ila korean drama ni za kipekee.
 
hahahahaaaaaa noona unanichukulia poa?
ili niache kuangalia korean drama pia itanibidi nisisikilize wala kufuatilia korean ost na suala hili nalo gumu sana ila ngoja nijaribu.
ila korean drama ni za kipekee.
Mola Akuatangulie Uweze Acha Na Kusahau Kabisaaa InshaAllah.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…