[emoji1787][emoji1787][emoji1787] eti cha umbea lol. Nkiri warudi tu jamani nimechoka kupakua mb 165 wakati mwanyewe nilikuwa nimezoea mb 95, 100, 115 zikizidi sana 120.
Woong mwehu tu mimi wala simpendi [emoji1787][emoji1787][emoji1787] Alifikiri Yumi atakaa anamsubiria...Babi bonge la mwanaume sijui unapata wapi nguvu za kumuacha mwanaume kama Babi jamani
Yu babi naye kumbe kashaliwa kichwa na yumiJina tamu kwa kiswahili si ni cha umbea ama?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mie nasubiria nkiri ije nilikua navuta kila inayotokea pale juu hasa nikiwa sina cha kudownload
Bora Babi alichangamkapo kuliko wungi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]alipotoswa kwa mara nyingine nilifurahi
Yu babi naye kumbe kashaliwa kichwa na yumi
[emoji1787][emoji1787] spoilers...wenzio hawajaangalia badoYu babi naye kumbe kashaliwa kichwa na yumi
Watu wengi bado hawajamove on kutoka kwa Woong.... What's so great about him[emoji57][emoji57][emoji57] This is Babi's error [emoji3577][emoji3577][emoji3577] Na mimi ndio president wa Babi's club[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hii mi ndio nimeanza episode 1.Bloody Heart,,,,,,,
[emoji1787][emoji1787] spoilers...wenzio hawajaangalia bado
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] eti cha umbea lol. Nkiri warudi tu jamani nimechoka kupakua mb 165 wakati mwanyewe nilikuwa nimezoea mb 95, 100, 115 zikizidi sana 120.
Woong mwehu tu mimi wala simpendi [emoji1787][emoji1787][emoji1787] Alifikiri Yumi atakaa anamsubiria...Babi bonge la mwanaume sijui unapata wapi nguvu za kumuacha mwanaume kama Babi jamani
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Woong ni handsome kuliko Babi?? Unaongea kitu gani wewe, Unategemea nini kwa mtu ambaye prime cell yake ni pride cell? Kuwa swayed kitu gani bwana, hayo ni mambo ya kawaida kwenye long distance relationship [emoji16][emoji16][emoji16][emoji1787][emoji1787] vile woong ni handsome kuliko Babi alafu very humble basi tu kukosa hela akakosa kujiamini
Yani we Prezidaa ndo unanikata maini na hako katoto kanachokua swayed na vitoto vyenzie
Tizama sex scene za woong na Babi hata lust cell alikua analiamsha kila muda[emoji2957][emoji16]
Halafu unaweza kuamini aliyeingiza sauti ya lust ni mdada eti [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] vile woong ni handsome kuliko Babi alafu very humble basi tu kukosa hela akakosa kujiamini
Yani we Prezidaa ndo unanikata maini na hako katoto kanachokua swayed na vitoto vyenzie
Tizama sex scene za woong na Babi hata lust cell alikua analiamsha kila muda[emoji2957][emoji16]
Editor in chief [emoji1787][emoji1787][emoji1787] ila nilikuwa nampenda love cell wakeAsante wacha nimalizie
Ila yule manager sijui crush wa yumi wa chuo alikua ananichekesha jamani
Kuna watu wanatupenda alafu waoga kama vile hahaaha
Halafu unaweza kuamini aliyeingiza sauti ya lust ni mdada eti [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Editor in chief [emoji1787][emoji1787][emoji1787] ila nilikuwa nampenda love cell wake
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Woong ni handsome kuliko Babi?? Unaongea kitu gani wewe, Unategemea nini kwa mtu ambaye prime cell yake ni pride cell? Kuwa swayed kitu gani bwana, hayo ni mambo ya kawaida kwenye long distance relationship [emoji16][emoji16][emoji16]
Ila kweli lust kwa Babi alipooza sana aisee sikutegemea nilikuwa nategemea kuona vijimambo vyake.
Yaani mimi wakitaka niwasamehe mume wa Yumi wamlete well known actor sio wamuokote nani kutoka sitimbi huko[emoji16][emoji16]Woong for life[emoji1787]
Sasa eti wanamleta park bo gum kuwa soonrook(mume wa yumi) hapo nitakua swayed kwakweli
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] halafu babi hawakutuonyesha lust cell wake maa na wa Woong tulimuona, akipandisha mashetani vumbi linatimka, hakukaliki. Ndio niliona tofauti ya mwanamke na mwanaume linapokuja hilo suala....Muhuni yuleee anaweza had kuamsha yangu hahahahah akianza vile viuno hahah
Yaani mimi wakitaka niwasamehe mume wa Yumi wamlete well known actor sio wamuokote nani kutoka sitimbi huko[emoji16][emoji16]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] halafu babi hawakutuonyesha lust cell wake maa na wa Woong tulimuona, akipandisha mashetani vumbi linatimka, hakukaliki. Ndio niliona tofauti ya mwanamke na mwanaume linapokuja hilo suala....
Ha!ha! Mpaka anxious cell anajifichaMuhuni yuleee anaweza had kuamsha yangu hahahahah akianza vile viuno hahah
Ha!ha! Mpaka anxious cell anajificha