Uncle Elroy
JF-Expert Member
- May 22, 2016
- 1,177
- 1,090
No hiyo Baba yao hakuwa wa mgoduni nadhani anazungumzia Triangle ila sina uhakika ama East Of Eden View attachment 2580068
[emoji23][emoji23]vile ninavyolisubiria pambano la wazee wa taste siku za mbeleni
Hii inaweza kuwa kati ya hizi GIANT au EAST EDEN, jaribu kusoma synopsis ya hizi drama huenda ikawepo.Kuna series moja aliuliza mdau, nami natamani kuifahamu au kupata jina lake.
Inaanza kwa kuonesha jamaa mmoja anapitia changamoto kweny kulea wadogo zake baada ya baba (wazazi wake) kufia kweny Mines za makaa ya mawe.
Baadae alikuja kukua na kutafta namna ya kupata haki au fidia ya mzee wake. (NI DRAMA MOJA INA MAJONZI SANA) nakumbuka enzi hizo ililiza wengi.
Kama unaikumbuka naomba jina lake.
Sina hakika sana na mtiriko wa matukio nlioelezea hapo juu bt kama umeilewa msaada tafadhal.
Sent from my SM-A135F using JamiiForums mobile app
Asante sana Numbie, hii tayari nilishaiangalia na niliipenda.Mac Alpho jaribu the silent sea
Kila la kheri katika ndoa yao[emoji2956]View attachment 2579621
Kumbe ni yeye amebadilika kiasiJamani... umemsahau rafiki yako wa Vagabond?
Msaada jmn m nikidowload movies nkiri inaniletea cant open nifanyejee
Msaada jmn m nikidowload movies nkiri inaniletea cant open nifanyejee
Asantee sanaa mkuuu ina play saizTumia kimoitv au kissiassian.li. Nkiri kuna saa inagoma
Kwanza badilisha font, wengine macho yetu yamezowea maandishi madogo.Happy Easter. Karibuni ndugu zangu wakazi wa Seoul ya Bongo. Tujumuike kuufinya ubwabwa.
Pasaka ya mwaka huu tamu sana maana Dae mzenji atakosa sababu ya kuninyima mwaliko wa IDD
Kwanza badilisha font, wengine macho yetu yamezowea maandishi madogo.
Daemushin ameshakufa ndani ya JF.
Akushindae kwa tonge mshinde kwa kutowea, leo ni mwezi 18 ramadhan kama hujui, bila ya shaka wajua kifuatacho after ramadhan.
Usimcheke mamba kabla ya kuvuka mtoo.
Sikukuu yajaa!!!!
Nimeipenda hiyo sample ya kiatu, nitamnunulia mke wangu.Karibu ndo tunaivisha hivyo. Hivyo viatu hapo juu fanya kama hujaviona. Angalia jikoni tuππππ
Hii inaitwaje?Mdomo ni mlango wa majanga na ulimi ni kisu cha kujichinja mwenyewe, mwenye kuudhibiti mdomo wake na kuficha ulimi wake popote aendapo ataishi kwa amani.
View attachment 2582448
Bossam: steal the fateHii inaitwaje?
Yah nimeipata si ndio ile kuna jamaa anafanya kazi ya kuuza watumwa na kulipwa hela?Bossam: steal the fate