Kwa wapenzi wa Korean Dramas, hii ni thread yako!

Na dimpozi zake zina kila ishara ya mood aliyonayo muda husika[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Yani nkiri walivoitoa na rangi clear
Yani naona wazuri sana wote
Kuna mbaba katika wale wengi hadi alienda kudai sausage ya kwenye corndog alisema hao wote huwa wazuri eti ninyooshe shingo nisionekane mzee

Nlicheka
 
Kweli ina mapishi na comedy tamu sana
We mwanamke unapenda sana mapishi, ukaona comedy haitoshi lazima ukumbushie na mapishi sio?😂

Hapa Tz kungekuwa na restaurants za Kikorea tungekutuma uende utuonjee mapishi yao kisha utuletee mrejesho.

Me huwa navutiwa na zile snacks zao maarufu (jina limenitoka).
 
😂😂😂😂😂😂ipo huko dar tulielekezwa humu humu ndani ya uzi, ina mapishi yao yoote.sasa sie wa mikoani huku kufika dar mpaka tufiwe na watu wa dar wakifiwa wanatuambia wanakuja kuzika huku😂😂😂😂😂😂
 
Kuna mwingine alidhani ni familia yaan siblings wamefungua biashara ila boss akawaambia wao ni actors kule korea hivyo hawana undugu😂😂😂
Yani nkiri walivoitoa na rangi clear
Yani naona wazuri sana wote
Kuna mbaba katika wale wengi hadi alienda kudai sausage ya kwenye corndog alisema hao wote huwa wazuri eti ninyooshe shingo nisionekane mzee

Nlicheka
 
Jamani Kaka ake careen usimchokoze khantwe wetu ni mstaarabu. Anyway karibu kwa mkapa ushuhudie mpira wa wananchiiii 😂😂😂😂

Sitegemei kumuona Khantwe akikwazika kirahisi namna hiyo.

Kuhusu swala la kukaribia kwa mkapa, nadhani jukumu langu leo litakuwa ni kuwasagia kunguni tu😂😂.
 
Aah kumbe huwa unayatafuta mabango yake makusudi haya mwanakulitaka mwanakulipata

Tukishinda mtaumia sana nawahurumia😂😂😂😂
Sitegemei kumuona Khantwe akikwazika kirahisi namna hiyo.

Kuhusu swala la kukaribia kwa mkapa, nadhani jukumu langu leo litakuwa ni kuwasagia kunguni tu😂😂.
 

Kwakweli tunakosa vizinsingizio vya kwenda Dar, nimecheka sana😂😂
 
Baada ya Daemushin hatimaye nimepata Seoulmate mwingine anayefuatilia Wakorea na kuwaelewa kama kiganja cha mkono wake[emoji23]


Hii nayo ni addiction hata mimi huwa nafuatilia kisirisiri tangu nina miaka 16 enzi hizo 2013 sasa nikihisi Wabongo wengi hawana sana interest siku moja nikakutana na andiko la mwamba[emoji16]
 
Japan angeshinda vita ya pili dunia ingekua kakamavu sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…