Kwa wapenzi wa Korean Dramas, hii ni thread yako!

Kwa wapenzi wa Korean Dramas, hii ni thread yako!

mimi nimeanza kuangalia temperature of love. ipo vizuri sana na nimevutiwa zaidi na muigizaji mkuu wa kike seo hyun jin yupo vizuri sana ukilinganisha na waigizaji wengine wa kike wa korea ambao wanapewa promo sana na vyombo vya habari.
pia nimevutiwa sana na kim jae wook hyungnim ambaye kwenye kingdom of the wind alicheza uhusika wa chubalso, natamani apewe nafasi ya muigizaji mkuu kwenye drama yoyote ile.temperature of love ipo vizuri sana na mara hii SBS tv drama awards ni balaa
Temperature-of-Love1.jpg
Natamani kuwajua wanaopewa promo na vyombo vya habari
 
hahahahaaa balaa na waafrika akili zetu zinapenda mambo mepesi tu (kwa sauti ya trump). gream reaper amejiingiza kwenye mwili wa detective Han moo gang
Yap amejiingiza kwenye mwili wa detective Han lakini kule mwanzoni unakumbuka alizama majini akaenda hadi kwenye gari inayoonekana ilipata ajali akawa kama analishangaa eti huyu ni mimi plus kuitwa Joon na yule dada huoni hata detective han ye mwenyewe tu uwepo wake ulikuwa na utata?
 
mimi nimeanza kuangalia temperature of love. ipo vizuri sana na nimevutiwa zaidi na muigizaji mkuu wa kike seo hyun jin yupo vizuri sana ukilinganisha na waigizaji wengine wa kike wa korea ambao wanapewa promo sana na vyombo vya habari.
pia nimevutiwa sana na kim jae wook hyungnim ambaye kwenye kingdom of the wind alicheza uhusika wa chubalso, natamani apewe nafasi ya muigizaji mkuu kwenye drama yoyote ile.temperature of love ipo vizuri sana na mara hii SBS tv drama awards ni balaa
Temperature-of-Love1.jpg

Kumbee! Acha basi nikaiendeleze maana niliishia ep 2 sababu niliona story inafanana na drama ya Ho-Gu's Love.
 
hizi drama zenye kunifanya niumize kichwa sana ninapoziangalia utafikiri nafanya mtihani wa hesabati bila ya kuwa na scientific calculator nitaachana nazo kuziangalia kwa sababu ninapomaliza kuzitazama hunifanya nitamani kuzirejea tena ili nipate kuzielewazaidi .Sisi waafrika hatujazoea kuumiza vichwa sana hivyo basi while you were sleeping na black drama huenda nikazipotezea. dama ya black bado kuna mambo yananichanganya hivyo basi chingus nahitaji munisaidie.
Dramas kama hizo ndio drama zangu sunbae.

Kwenye While You Were Sleeping walianza vizuri mno (ep 1 &2) ila mbeleni ikawa ni mwendo wa kuota ndoto na kuzizuia/kuzi-prevent hivyo hadi sasa nimeishia ep 10 na sitarajii kuiendeleza!!

Black nayo imeanza doro/slow/kivivu ila imeanza kuipenda pale Detective Moo-Gang alipokuwa possesed!
Tena akianza kuongea ile lafudhi ya Ki-Joseon na kuleta ubishi na ubabe ndio ohooo nazidi kukodolea screen.. Hahahahaaaa!!
Black hata kama mbeleni itakuwaje siiachi.
 
Hahahahahahahaha

Mi nawe Khantwe kaa Kitanda Na Godoro Atugombani Siye ...

Ila Itabidi Tuzungumze Mie Unadhani Ata Namnyemelea Basi! Wala! mi sikuwa Nampango nae kabisaaa ila Hii Black Yaleta Shida Tuuh yakutaka Kututenganisha....
Ukiendelea kuleta ubishi namchukua huyo kwenye avatar maana namtamanigi siku nyingi
 
Yap amejiingiza kwenye mwili wa detective Han lakini kule mwanzoni unakumbuka alizama majini akaenda hadi kwenye gari inayoonekana ilipata ajali akawa kama analishangaa eti huyu ni mimi plus kuitwa Joon na yule dada huoni hata detective han ye mwenyewe tu uwepo wake ulikuwa na utata?
  1. upo sahihi na ndio maana kwenye theory yangu nimesema inawezekana yule aliyejitupa kwenye maji ni gream reaper no 444 aliye kwenye kiwiliwili cha han moo gang ambapo kwa sasa gream reaper yule hatumii code number 444 ila anajiita black, na alipozamia kwenye maji alikutana na mtu anayefanana naye akiwa ndani ya gari,hivyo basi tukio lile kwa jinsi inavyoonekana linaelezea tukio la kufa kwa gream reaper 444 wakati huo alipokuwa ni binadamu wa kawaida . na ni kweli alikuwa anajiuliza maswali kwa nini maiti hii imefanana na mimi sasa aliyekuwa akijiuliza maswali yale ni black na si detective han moo gang.
  2. kama yule aliyekuwa kwenye maji ni joon oppa ina maana alikufa na kufufuka na ndipo baadae akabadilisha jina na kuitwa han moo gang?
  3. lakini ngoja niiangalie tena kwa umakini kwa sababu drama kama hizi zinakufanya kila wakati uwe makini
black0100056a.jpg
 
  1. upo sahihi na ndio maana kwenye theory yangu nimesema inawezekana yule aliyejitupa kwenye maji ni gream reaper no 444 aliye kwenye kiwiliwili cha han moo gang ambapo kwa sasa gream reaper yule hatumii code number 444 ila anajiita black, na alipozamia kwenye maji alikutana na mtu anayefanana naye akiwa ndani ya gari,hivyo basi tukio lile kwa jinsi inavyoonekana linaelezea tukio la kufa kwa gream reaper 444 wakati huo alipokuwa ni binadamu wa kawaida . na ni kweli alikuwa anajiuliza maswali kwa nini maiti hii imefanana na mimi sasa aliyekuwa akijiuliza maswali yale ni black na si detective han moo gang.
  2. kama yule aliyekuwa kwenye maji ni joon oppa ina maana alikufa na kufufuka na ndipo baadae akabadilisha jina na kuitwa han moo gang?
  3. lakini ngoja niiangalie tena kwa umakini kwa sababu drama kama hizi zinakufanya kila wakati uwe makini
[emoji23] [emoji23] basi nilikuwa nahisije...detective Han ni gream reaper aliyekuwa anatafutwa na Black aliingia kwenye mwili wa Joon oppa ndio maana hakumbuki mambo mengine yaliyotokea utotoni. Au ni Joon oppa mwenyewe alipokufa akawa gream reaper
 
Dramas kama hizo ndio drama zangu sunbae.

Kwenye While You Were Sleeping walianza vizuri mno (ep 1 &2) ila mbeleni ikawa ni mwendo wa kuota ndoto na kuzizuia/kuzi-prevent hivyo hadi sasa nimeishia ep 10 na sitarajii kuiendeleza!!

Black nayo imeanza doro/slow/kivivu ila imeanza kuipenda pale Detective Moo-Gang alipokuwa possesed!
Tena akianza kuongea ile lafudhi ya Ki-Joseon na kuleta ubishi na ubabe ndio ohooo nazidi kukodolea screen.. Hahahahaaaa!!
Black hata kama mbeleni itakuwaje siiachi.
hahahahaaaaa kiwiliwili ni cha detective han moo gang ila vitendo vinafanywa na gream reaper 444 ambaye anajiita black.han moo gang tayari ameshafariki. au wewe unaonaje?
 
Back
Top Bottom