Uzalendo wa Kitanzania
JF-Expert Member
- Mar 8, 2020
- 3,585
- 8,106
Wadau hamjamboni nyote?
Mama yetu Mtakatifu Bikira Maria ndiye Mama wa Bwana wetu Yesu Kristo/Nabii Issa
Ndiye mbarikiwa pekee anayekubalika na Wakiristo.na Waislamu
Ndiye Mbarikiwa pekee aliyekula chakula kilichotoka mbinguni kwa kutolewa na Mungu wetu Mkuu
Ndiye Mbarikiwa pekee aliyezaa mtoto bila kuingiliwa na Mwanaume
Mchana mwema wenye baraka tele
Nimeweka nukuu hapo chini:
Wakati wowote Zakariya alipomtembelea katika patakatifu, alikuwa akipata riziki pamoja naye. Akasema, Ewe Mariamu, haya yanatoka wapi kwako? Akasema: Inatoka kwa Mwenyezi Mungu. Mwenyezi Mungu humruzuku amtakaye bila hesabu
Whenever Zakariyya visited her in the sanctuary, he would find provisions with her. He said," O Mary, from where does this come for you?" She said," It comes from Allah. Allah provides whomever He wishes without any reckoning”.
Mama yetu Mtakatifu Bikira Maria ndiye Mama wa Bwana wetu Yesu Kristo/Nabii Issa
Ndiye mbarikiwa pekee anayekubalika na Wakiristo.na Waislamu
Ndiye Mbarikiwa pekee aliyekula chakula kilichotoka mbinguni kwa kutolewa na Mungu wetu Mkuu
Ndiye Mbarikiwa pekee aliyezaa mtoto bila kuingiliwa na Mwanaume
Mchana mwema wenye baraka tele
Nimeweka nukuu hapo chini:
Wakati wowote Zakariya alipomtembelea katika patakatifu, alikuwa akipata riziki pamoja naye. Akasema, Ewe Mariamu, haya yanatoka wapi kwako? Akasema: Inatoka kwa Mwenyezi Mungu. Mwenyezi Mungu humruzuku amtakaye bila hesabu
Whenever Zakariyya visited her in the sanctuary, he would find provisions with her. He said," O Mary, from where does this come for you?" She said," It comes from Allah. Allah provides whomever He wishes without any reckoning”.