Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 60,050
- 104,466
- Thread starter
-
- #61
Kama umemuona huyo 2Proud Club Billicanas ambayo ilizinduliwa na Bozi Boziana wewe nawe una ukubwa gani?Sugu AKA 2proud original bongofleva mzee wa mistali, first time loooong fukkkkcccnn time nilimwona Bilicanas miaka ile nikiwa bongo, humu tusije tukawa tunabishana na watoto waliozaliwa 90's or 2000,s maana hamuwezi kumuelewa sugu......hivi wale jamaa waliopiga kukuru kakara wako wapi siku hizi
Huko kujitapa ndio sanaa yenyewe hiyo, sio lazima sanaa iwe kuelemisha tu hata burudani, uchesi, kujitapa n.kNi kweli japo siyo kabisa...
Bwana Sugu hata nyimbo zake nyingi bado ni za kujitapa (kutamba) sana hivyo mwambieni aache utoto!
Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
Je amemtukana yeyote ?Sugu aachane na mambo ya kitoto, kukubalika kwa Sugu Mbeya au popote pale hakuna uhusiano wowote kwamba kwa miaka 10 ya ubunge wake kuna jambo la ajabu au la maana sana amefanya jimboni Mbeya mjini la hasha, Bali ni kazi yake ya Sanaaa ndio imeendelea kumuweka mioyoni mwa watu hasa vijana, hata Diamond akigombea Ubunge anashinda saa 2 asubuhi tu Kwa base ya mashabiki aliyonayo.
Sasa ushauri wangu ni huu, Sugu una miaka 50, lakini bado unaishi maisha ya wanaobalehe kuandika post za tambo kila siku kwenye social networks ili kuonesha ulimwengu kwamba wewe ni tajiri na umeshafanikiwa.
Sasa Sugu hujui Watanzania wengi ni maskini, unawalingishia utajili halafu 2025 unataka maskini waendelee kukutajilisha Kukupeleka bungeni, aisee ndio utajuwa hujui.
Acha hizi tabia za kitoto Mara moja, jikite kwenye kutoa misaada kwa Watoto yatima na wenye uhitaji, hizo ndio tambo za states Man na siyo kutambia Miwani ya laki saba.
Badirika Sasa, hizi tambo za kitoto za Kibongo fleva waachie kina Ommy Dimpoz.
Nimemaliza.
Erythrocyte
Hivi Matola shida yako ni nini ?Nyinyi ndio wale mnaomjaza ujinga, post code kupata mtaa ni pesa yako tu.
Rais wala siyo kazi yake kutowa majina ya mitaa, yeye mwenyewe Rais anapewa jina la mtaa au barabara.
Ulimbukeni wake nini? Wakipost kina Drake ndege zao wamenunua huko mnaona fahari na kusifia juu na kuwasema wasanii wetu hawana kitu, wabongo tunapenda sana kufatilia mambo ya watu, yaani unaumia kabisa Sugu kupost miwani yake na risiti yake aliyolipia kwa hela yake wewe unaona ulimbukeni?Sugu kawa mpuuzi sana! Amekuwa limbukeni wakati kawa maarufu toka kitambo…
Sugu mwenyewe nipo hapa. Ngoja nipaki gari pembeni nijibu huu upuuzi wako dogo.Sugu aachane na mambo ya kitoto, kukubalika kwa Sugu Mbeya au popote pale hakuna uhusiano wowote kwamba kwa miaka 10 ya ubunge wake kuna jambo la ajabu au la maana sana amefanya jimboni Mbeya mjini la hasha, Bali ni kazi yake ya Sanaaa ndio imeendelea kumuweka mioyoni mwa watu hasa vijana, hata Diamond akigombea Ubunge anashinda saa 2 asubuhi tu Kwa base ya mashabiki aliyonayo.
Sasa ushauri wangu ni huu, Sugu una miaka 50, lakini bado unaishi maisha ya wanaobalehe kuandika post za tambo kila siku kwenye social networks ili kuonesha ulimwengu kwamba wewe ni tajiri na umeshafanikiwa.
Sasa Sugu hujui Watanzania wengi ni maskini, unawalingishia utajili halafu 2025 unataka maskini waendelee kukutajilisha Kukupeleka bungeni, aisee ndio utajuwa hujui.
Acha hizi tabia za kitoto Mara moja, jikite kwenye kutoa misaada kwa Watoto yatima na wenye uhitaji, hizo ndio tambo za states Man na siyo kutambia Miwani ya laki saba.
Badirika Sasa, hizi tambo za kitoto za Kibongo fleva waachie kina Ommy Dimpoz.
Nimemaliza.
Erythrocyte
Mbona hatuna tatizo na hawa mapedesheee?Ulimbukeni wake nini? Wakipost kina Drake ndege zao wamenunua huko mnaona fahari na kusifia juu na kuwasema wasanii wetu hawana kitu, wabongo tunapenda sana kufatilia mambo ya watu, yaani unaumia kabisa Sugu kupost miwani yake na risiti yake aliyolipia kwa hela yake wewe unaona ulimbukeni?
Tuna safari ndefu sana kaka, tafuta hela la sivyo hapa town kila mtu utamuona limbukeni
[emoji849][emoji849][emoji849][emoji849][emoji849]Afu ukiangalia,namlia tyming tucheze game pamoja
Inashangaza sana Aisee! Hizo tambo za watoto wajinga wanaopiga picha na maburungutu ya fedha awaachie akina RayVanny.Sugu kawa mpuuzi sana! Amekuwa limbukeni wakati kawa maarufu toka kitambo…
Ukishaamuwa kuwa state man, basi lazima kuna Uhuru wako ukubali kuupoteza kutunza reputation yako.Wasanii kujimwambafy ndiyo zao
Si unaonaga na mondi akiwa benki kwa teller anatoa maburungutu [emoji1]
Akitaka kudeposit
Ova
Wala hata sio pesa,ukiwa unafahamika tu,mtaa unapewa jina lako,sema wengine hatupend show off tumekataa hiz mamboNyinyi ndio wale mnaomjaza ujinga, post code kupata mtaa ni pesa yako tu.
Rais wala siyo kazi yake kutowa majina ya mitaa, yeye mwenyewe Rais anapewa jina la mtaa au barabara.
Ila ile movement ilikuwa kibokoSugu aliwasaliti wenzake vinega kwenye ile movement yao ya antivirus. Akachukua mil 30
Sugu ni mtu wa hovyo sana
Ha ha haa,jaman[emoji849][emoji849][emoji849][emoji849][emoji849]