Kwa watu walio karibu na Joseph Mbilinyi Sugu, wamfikishie ushauri huu wa bure

Kwa uelewa wangu mdogo that is a "cry for help" kuna mambo ndani yake yanafurukuta anajifariji kwa jinsi hiyo au ndani yake liko ombwe anajaribu kulijaza.
 
Ubunge wa nchi hii hususan ktk awamu ya yule mporipori iliamuliwa na jumba jeupe na c vinginevyo
 
Asante mkuu kwa kuliona hilo, huku ndio kumpenda mtu na kumtakia mema.

Mbaya zaidi maskini hao hao unaowatambia wamekuona imefanya muziki miaka nenda rudi hujatobowa, ila ubunge miaka 10 tu umetobowa kwa kodi za hawa hawa madkini, inahitajika kuwa mnyenyekevu sana kula na vipofu.
 
Uzi wa ajabu sana huu, kama wewe unamuona Sugu mbaya kwa kuwaringishia wengine utajiri wake mitandaoni, mimi namuona ana wa-inspire vijana tupambane ili tufikie pale alipofika yeye.
[emoji106][emoji106][emoji106][emoji106]
 
Hii isikudanganye, waja wana IDs nyingi, mpya na za kitambo.
Muandiko wa mtu unatosha kumtambulisha mtu mwenyewe.

Kwenye huu uzi Watoto wengi wamenishambulia Mimi ni Uvccm wakati wengine hata uchaguzi wa 2010 walikuwa wananyonya wala si wapiga kura sisi tulikuwepo humu kuhakikisha majizi ya Ccm tunayaondowa madarakani na ajenda hiyo haijawahi kubadirika licha ya kina Mzee Mwanakijiji kutusaliti uchaguzi wa 2015.

Tatizo la vijana wengi wa Chadema ni wakosowaji wazuri lakini hawapo tayari kuona viongozi wa Chadema wanakosolewa pale wanapokwenda ndivyo sivyo basi utaitwa Uvccm wakati una umri wa Baba yake, Uvccm mwisho ni miaka 35, kuniita Uvccm ni matusi hata ningekuwa Mimi ni Ccm.
 
Age ni number tu na takataka tu! Cheki usivyojua kuandika eti ukosowaji ndiyo nini?
 
Nikienda Mbeya huwa napenda kukaa pale hotelin kwake Desderia nabalizi ki ji upepo cha ule mfereji.
 
Nikienda Mbeya huwa napenda kukaa pale hotelin kwake Desderia nabalizi ki ji upepo cha ule mfereji.
Nilitamani sana siku moja nipite hotel Desderia nimuungishe Mwana lakini bahati mbaya timing za safari zangu zote huwa nalazimika kulala Iringa mjini, Mbeya huwa napita tu juu kwa juu kuelekea Sumbawanga.
 
Nilitamani sana siku moja nipite hotel Desderia nimuungishe Mwana lakini bahati mbaya timing za safari zangu zote huwa nalazimika kulala Iringa mjini, Mbeya huwa napita tu juu kwa juu kuelekea Sumbawanga.
Jitahidi siku ufike pale pana mazingira mazuri na tulivu sana. Amejitahidi kupaweka vizuri.
 
PUNGUZA MAJUNGU
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…