Kwa watumishi wa Mungu Joel na Munalove

Kwa watumishi wa Mungu Joel na Munalove

hahahahaha buraza utapata tabu sana(in Kamanda Muroto Voice) kama unaamini hao watumishi wanamtumikia Mungu.......hao wanatumikia miili yao hahahaha
Yani Joel kaangukia kwa Muna hahahaha aiseee dunia ina mengi.......Joel Buraza chunga afya yake na hilo fagio la wegeni
 
Wanajamvi katika sakata la kifo cha mtoto Patrick na mkanganyiko juu ya msiba uwe wapi na nani baba halisi wa mtoto kuna huyu mtumishi wa Mungu anaitwa Joel Lwaga. Joel Lwaga mimi namfahamu kama mtumishi wa Mungu aliyeushikilia wokovu na mwimbaji wa nyimbo za injili. Wimbo wake maarufu wa "Sitabaki kama nilivyo" ambao pia ruby aliufanyia cover hauishi kunibariki masikioni mwangu.

Katika hili swala la Muna Joel ametajwa kama bwana wa Muna wa sasa, ukiachilia mbali haijathibitishwa hizi tuhuma kwa Mtumishi wa Mungu siyo nzuri kwani zinalitukanisha jina la Bwana wa Majeshi tunayemuamini.

Pili, Joel alikuwa karibu na Muna mpaka Nairobi alikokuwa anamuuguza mtoto, hata tukichukulia kwamba ni urafiki tu wa watumishi kusaidiana (maana inasemekana Muna naye "eti" ameokoka), kwanini Joel Lwaga hakukaa na Muna kumshauri vyema kuhusu huu mkanganyiko wa baba wa mtoto na sakata zima la msiba?
Kuna maana gani kwa watumishi wa Mungu kuwa pamoja na kushirikiana huku hamshauriani katika maswala nyeti kama haya mpaka yanaleta taharuki kwenye jamii?

Tatu, Joel jana airport amepita kwa kujificha sana huku amejifunika usoni na poll over ni nini hiki? Anahofu ya nini? Ana hatia gani? Biblia inasema waovu ndiyo wenye hofu, hukimbia hata wasipokimbizwa.
Muna na Joel mliyoyafanya yamefanya watu wahoji ukristo wenu na utumishi wenu kwa Mungu. Mtumishi wa Mungu ukifikia hapo ni rahisi hata kulifanya jina la Mungu litukanwe na Roho Mtakatifu akufuriwe(God forbid).
Joel na Muna mjitafakari uhusiano wenu na Mungu na jinsi mnavyolitukanisha jina la Bwana wa Majeshi mnayemtumikia.View attachment 804179View attachment 804180
nacho fahamu mimi kila kitu ni mtumishi wa Mungu! Hata wabaya kwa wakati wa mabaya, nao pia ni watumishi wa Mungu!
 
Mtumishi wa Mungu anatakiwa kujihusisha vipi katika mahusiano ya kimapenzi? Au shida ni kuwa tu na muna?
Mimi mbona sielewi mara ameolewa kwa ndoa, mara mtoto wa commando kipensi, mara mpenzi wake wa sasa ni joel mwimba gospel sasa which is which hapa

Kwa wanaosema Joel hana hatia hapa wanabugi, kama madai ya kwamba yupo kwenye mahusiano na huyu mama jamaa amejichanganya sana.
Mwimbaji wa gospel unatakiwa uwe very strict kwenye masuala ya mahusiano, huwezi kuanzisha mahusiano na mama kama huyo maswali yatakuwa mengi mno juu yako, mama mwenye historia ya mabwana lukuki halafu mtu mzima wewe kijana tena muimba gospel unafuata nini

Hata kama joel alitongozwa na hili limama angekataa tu, kwani kitu gani bwana, gospel sio kazi ya kutafutia umaarufu wala wanawake ni utumishi wa Mungu.

Joel Lwanga Ukatubu
 
Brother uko serious kweli kwamba amri ya usizini inefutwa kwenye amri 10 za Mungu?

Kweli hizi ni nyakati za mwisho, hata uki***** utatetea ni haki yako ku*****.
Mtumishi wa Mungu awe na Mpenzi?!! Mtumishi wa Mungu ni kipenzi cha wanakondoo wooote. Ila maisha ya mtumishi hutawaliwa na uwazi zaidi ili kujiepusha na kadhia zinazoifarakanisha jamii.
Kwani mtumishi wa Mungu hatakiwi kuwa na mahusiano ya kimapenzi? Ikiwa aliingia kwa kujifunika au kutokujifunika hayo ni maamuzi yake binafsi hayahusiani na utumishi wake! Kumsaidia Mona alipokuwa Kenya huo ni ubinaadamu tu ambao huenda umechagizwa na ukaribu wao. Kuhusu kumshauri au kutomshauri wewe na mimi hakuna tujualo huenda alimshauri ila Mona hakutaka kuupokea ushauri huo, huenda hakumshauri na huenda kila kilichofanywa na Mona kimefuata ushauri wa huyo mtumishi. Usiwe mtu wa kulaumu laumu tu kila wakati!!!!
 
Mchungaji Joel kawa faru Joni, anatembeza rungu kwa kwenda mbere...

kwa hali hii...najiuliza,vile vidada
'vigumu' vya kilokole watakuwa 'wanapata tabu sana..' kwenye anga zake
 
Mimi mbona sielewi mara ameolewa kwa ndoa, mara mtoto wa commando kipensi, mara mpenzi wake wa sasa ni joel mwimba gospel sasa which is which hapa

Kwa wanaosema Joel hana hatia hapa wanabugi, kama madai ya kwamba yupo kwenye mahusiano na huyu mama jamaa amejichanganya sana.
Mwimbaji wa gospel unatakiwa uwe very strict kwenye masuala ya mahusiano, huwezi kuanzisha mahusiano na mama kama huyo maswali yatakuwa mengi mno juu yako, mama mwenye historia ya mabwana lukuki halafu mtu mzima wewe kijana tena muimba gospel unafuata nini

Hata kama joel alitongozwa na hili limama angekataa tu, kwani kitu gani bwana, gospel sio kazi ya kutafutia umaarufu wala wanawake ni utumishi wa Mungu.

Joel Lwanga Ukatubu
Kumbukumbu zangu zinaniambia baada ya kujutenga na Wema na baada ya mwanawe kuumwa mguu, Muna alifanikiwa sana kujitenga na drama za mjini na pia alisema ameokoka je ikiwa ni kweli aliweka nadhiri ya kubadirika bado hakustahili kupendwa na Joel?

Utumishi ina maana kutokuwa na hisia za mapenzi kwa mwakondoo wako hata pale ambapo kanuni za kimaadili zinaruhusu?

Sasa kama hatakiwi kuwa na Muna kisa tu historia ya Muna kimaadili haipendezi, wokovu au kuokoa kuna maana gani? Yaani japo Muna aliokoka bado alitakiwa kuendelea kuhukumiwa kwa historia yake? (Hapa sijagusia hili linaloendelea sasa maana linaleta maswali kuhusu wokovu wake maana huenda alikuwa kwenye drama ila Joel angejuaje kuhusu yajayo)
 
Nasonga kwa stimu na ndoto kede,Dini Biashara tutafanyaje? Kama "Nabii" Mwingira kazaa na Mke wa mtu ndio iwe muimba kwaya tu ambae hana hata elimu ya biblia?
Ulidhibitisha wapi kama mwingira kazaa na mke WA mtu au ndo story za magazeti? Mbona wat mnapenda kushadadia vitu vya kusikia?
 
Kuna watu wanawashwawashwa juu ya huu msiba
 
Mimi mbona sielewi mara ameolewa kwa ndoa, mara mtoto wa commando kipensi, mara mpenzi wake wa sasa ni joel mwimba gospel sasa which is which hapa

Kwa wanaosema Joel hana hatia hapa wanabugi, kama madai ya kwamba yupo kwenye mahusiano na huyu mama jamaa amejichanganya sana.
Mwimbaji wa gospel unatakiwa uwe very strict kwenye masuala ya mahusiano, huwezi kuanzisha mahusiano na mama kama huyo maswali yatakuwa mengi mno juu yako, mama mwenye historia ya mabwana lukuki halafu mtu mzima wewe kijana tena muimba gospel unafuata nini

Hata kama joel alitongozwa na hili limama angekataa tu, kwani kitu gani bwana, gospel sio kazi ya kutafutia umaarufu wala wanawake ni utumishi wa Mungu.

Joel Lwanga Ukatubu
Siyo tu mtu mzima bali mke wa mtu, wanaomtetea Joel wajitazame vyema. Mtumishi wa Mungu kutembea na mke wa mtu Muna love ni uzinzi.com
 
Back
Top Bottom