Kwa watumishi wa Mungu Joel na Munalove

Kwa watumishi wa Mungu Joel na Munalove

We naye unaongea nini?yaani mtumishi wa mungu naye awe na mahusiano ya ngono na mke wa mtu?/msichana tu bado unaona hakuna shida??baba mtoto ametoa pesa za nauli ya ndege ili mtoto apelekwe nairobi hospital muna na joeli wametumia usafiri wa barabara masaa 14 na mtoto akiwa mgonjwa bado huoni shida?!!peter anasema huyo joel mala nyingi alikuwa ana andaa matamasha kwa kutumia pesa za muna,na kibaya zaidi huyo muna alikuwa anakwenda kwa mzazi mwenzake kuomba pesa kama mkopo ili baada ya tamasha arudishe,na halikuwa harudishi!!unaposema kuwa huenda kila alichofanya muna amepewa ushauri na joeli !!basi itakuwa ndio amemuingiza chaka kwa ushauri huo daaa!!na inasemekana hata account ya instagram ya muna huyo joeri ndio alikuwa anaitumia kuandika mambo ya ajabu wakati wa msiba,na ndiyo yalizidi kuchafua hali ya hewa .huyo joer ni MARIO

Unauhakika mbona unasikiliza stori upande mmoja siku hizi mnakuwaje watu ngoja muna yaishe na yeye atoe ya moyoni hapo ndio tutajua
 
Kila kitu duniani kuna orijino na feki....hivyo basi wapo waimbaji wa Injili orijino na feki,waongozwao na Roho wa Mungu ndio wanaofahamu orijino na feki, maana Mungu huwajulisha yote.
 
Iwekwe kodi kwenye mitandao ya kijamii vijana hawana kazi za kufanya kushinda inst, whatsap na twiter wakikosa jero la bando ndiyo wanaanza kuilaumu serikali
Mkuu kama unatafuta umaarufu just go to hell, mind your own business kuna mtu unamnunulia bando hapa?
 
Waimbaji gospel ni kama bongo fleva hawana tofauti yoyote
 
Hivi huyu mtoto amefanya nini sana hadi anashika Headline kwenye ulimwengu wa udaku?
 
Hahhahahaaaaa. Ambavyo unamtetea jamani
Hela shida kuzipata na mtu anakutesa umpe hela mtoto akifariki ati si wako! Huyo anayekufunua hadi unampa mtoto Kwanini asikupe hela ya kumtunza na kumtibia! Mnauziiiiiii na cosovo kamkomesha
 
Hela shida kuzipata na mtu anakutesa umpe hela mtoto akifariki ati si wako! Huyo anayekufunua hadi unampa mtoto Kwanini asikupe hela ya kumtunza na kumtibia! Mnauziiiiiii na cosovo kamkomesha
Sasa kwani ukizika maiti ndo inakua nini? Maugomvi mengine hayana maana yanahitaji mmoja ajishushe kuepusha kuchoreshana
 
Back
Top Bottom