Kwa wazazi na walezi: Mada maalum ya watoto

Za siku nyingi anko, naomba kuuliza dawa nzuri ya kikohozi kwa mtoto anae kalibia kufunga mwaka mana anakohoa mpaka anatapika. Dawa nilizotumia MUCOLYN, ZEN COFFEE, PRINATRIM, hata kama kuna mtu anajua dawa za kienyeji anijuze.
 
Za siku nyingi anko, naomba kuuliza dawa nzuri ya kikohozi kwa mtoto anae kalibia kufunga mwaka mana anakohoa mpaka anatapika. Dawa nilizotumia MUCOLYN, ZEN COFFEE, PRINATRIM, hata kama kuna mtu anajua dawa za kienyeji anijuze.
Umejaribu kumtibu minyoo kwanza?
 
Za siku nyingi anko, naomba kuuliza dawa nzuri ya kikohozi kwa mtoto anae kalibia kufunga mwaka mana anakohoa mpaka anatapika. Dawa nilizotumia MUCOLYN, ZEN COFFEE, PRINATRIM, hata kama kuna mtu anajua dawa za kienyeji anijuze.
Umemcheki minyoo? Ngoja kuna moja ya kienyeji nikuchekie
 
Za siku nyingi anko, naomba kuuliza dawa nzuri ya kikohozi kwa mtoto anae kalibia kufunga mwaka mana anakohoa mpaka anatapika. Dawa nilizotumia MUCOLYN, ZEN COFFEE, PRINATRIM, hata kama kuna mtu anajua dawa za kienyeji anijuze.
Nzuri Mungu ni mwema Umemcheki minyoo? Ngoja kuna moja ya kienyeji nikuchekie
 
Mtoto wa miezi 2 anapaswa kupewa maji ya kunywa?
 
Mtoto wangu wa mwezi mmoja nanusu amepata mafua, yanamsumbua wakati wa usiku, halali kabisa kila muda anastuka anashika pua analia, unaona kabisa yanamtesa.. Tumeenda hospital wamempa dawa ya Amoxilyn Syrup.. Hamna njia nyingine ya kumsaidia ? Please help yoyote aliewahi kupitia hii situation..
 
Kitunguu saumu na maji ya vuguvugu yenye chumvi muogeshee
 

Kama uko sehem ambapo NAKIETE wapo, nenda wanadawa ya mafua nzuri kweli unampakia anapolala
Wanauza kimoja 2,000
Pia hakikisha usafi muda wote sehem anapolala kusiwe na hali ya vumbi vumbi
 
Za siku nyingi anko, naomba kuuliza dawa nzuri ya kikohozi kwa mtoto anae kalibia kufunga mwaka mana anakohoa mpaka anatapika. Dawa nilizotumia MUCOLYN, ZEN COFFEE, PRINATRIM, hata kama kuna mtu anajua dawa za kienyeji anijuze.

Kamuangalie pia kimeo (wakati mwingine husababisha mtt kukohoa sana na kutokula)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…