Dream Queen
JF-Expert Member
- Nov 4, 2015
- 8,263
- 18,201
Na kama ni wale identical twins ni shida zaidi hasa kwenye kuumwa lazima akianza mmoja akipona tu mwenzake anapokea
Hapo una kazi aisee. ..ila komaa nao tu hivyo hivyo ni baraka piaYes, wangu ni Identical, mmoja akilia mwingine nae analia, ukimkataza mmoja kitu mwngn anaanza kukifanya, kula wale wote kwa pmj, kubebwa, wabebwe wote kwa pmj, loooh!
unanitisha ndugu yangu cpend kabsa opresheniDuuh nilikuwa hata sijui mwee, so ukishazaa kwa operation ndo utaendelea kuzaa kwa operation tu?
Kama upasuaji wa kwanza ulienda vizuri hakuna shida...mwisho wa mimba za operation ni nne japo kuna baadhi hupiga mpaka tano
Kwa uzoefu Wangu ni kwamba kama ukishaanza na operation basi itakuwa hivyo hivyo kwa mimba zitakazofuatia BTW binafsi napenda kukushauri usubiri kidogo
Mmh acha tu, ila ikihitajika basi huna budi. Mungu ni mwaminifu mbona operation zinakuwa tu successfulunanitisha ndugu yangu cpend kabsa opresheni
Mimba inapotungwa mpaka kuzaliwa ni miezi tisa tumboni, haitimii mwaka, kwahiyo mtoto anapozaliwa itabidi mwaka wa kwanza apitie vipindi na majira ya mwaka mzima kwa mara ya kwanza hapa lazima kuna kuwa na mabadiliko kila wakati na hii ndio initial stage ya makuzi ni kipindi muhimu mno cha wazazi wote wawili kuwa wamoja na mtoto kupata maziwa ya mama to the fullest. ...kwa njia hii mtoto ataokoka na matatizo mengi ....vema wazazi wakaachana na mambo ya S26 lactogen lishe nk
Kwa ushauri wa daktari wa watoto mzoefu anaweza kupewa hasa watoto wa kiume kuna wanaojua kukamua hasa. ..lakini hata kama atapewa hicho chakula bado ni muhimu kupata maziwa ya mamaMkuu kama mtoto hashibi maziwa ya mama na yupo under 6 months of birth, bado asipewe hiyo kitu??
Unawapa nini sasa wakiwa chini ya miaka 2 mfano LizzyHivi uji ni lazima kwa watoto? Mi sijawahi kuwapa watoto wangu kabisa.
Safi sana nimeipenda hiiNadhani ni kama ulivyosema hapo juu, NI CHAKULA RAHISI kwa gharama na maandalizi pia. Ukiacha wale ambao hujitahidi na unga wa lishe+butter+maziwa, ukiwa na unga wa mahindi tu na chumvi tayari mtoto anaacha kulia njaa.
Mi huwa nawapikia chakula kabisa kama wali, viazi, ndizi, ugali na mboga kama nnazokula mie (samaki, nyama, za majani n.k). Wa kwanza nilimsagia sana mchanganyiko wa chakula ila last born kala bila kusagiwa, sema tu mwanzo nilikuwa navifanya vilaini. Alafu ilikuwa rahisi maana last-born alianza kula kwa kuonja tu kidogo kidogo maana bado alikuwa ananyonya muda wote mpaka alivyofikisha miezi 10 ndo akaanza kula kwa kushiba chakula.
Hili jambo nimekuwa najaribu kusema lakini wazazi wetu yani wakwe na mama zetu huchangia sana kuumiza watoto ktk eneo hili kwa kisingizio mtoto anahitaji joto mtoto huwa hasikii joto wanashindwa kuelewa dar ni tofauti pengine na mkoani ulipozaliwa wewe au bibi huyo alipokuzia watoto wake wengine unaenda clinic daktari anakushangaa jinsi ulivyomjaza mtoto nguo nyingi kabaki macho tu.wazazi tuwe makini hawa ni wakubwa zetu ila panapobidi kuwaelewesha tufanye hivyo vinginevyo ni sisi ndio tunakuja kupata shida na watoto wetu badae.
Wengine huwa wanaomba kufanyiwa operation wanaogopa uchungu, wengine wanaogopa machine itaharibika eti tehOperation sio uamuzi binafsi ni majaliwa ya Mwenyezi Mungu
Mmh hivi kuna ukweli hapo? kwa mara ya kwanza nimesikia juzi kwa lara 1 kwenye ile mada yake ya wema. Na mara ya pili ndo hii naisikia kwako.Wengine huwa wanaomba kufanyiwa operation wanaogopa uchungu, wengine wanaogopa machine itaharibika eti teh
Ni kweli, aliyekuwa g/f wangu wa mwanzo alisimamia sana point hiyo(atajifungua kwa njia ya upasuaji) kwasababu tu anaogopa eti maumbile yake yataharibika ikiwa atajifungua kwa njia ya kawaida, kila mtu alishika zake baada ya msimamo wake kuwa mkaliMmh hivi kuna ukweli hapo? kwa mara ya kwanza nimesikia juzi kwa lara 1 kwenye ile mada yake ya wema. Na mara ya pili ndo hii naisikia kwako.
Hebu Eve nipe uzoefu wako baada ya kujifungua, nipe kwa private kama hapa soo