Kwa Yanga hii ubingwa wa mwaka huu wanauchukua

•Wananzengo mashabaki wote wa mpira nakiri mbele zenu mwaka huu ubingwa unaenda jangwani kwa wenzetu walioukosa kwamiaka minne... usajili wao ni wamaamuzi magumu sana, kweli Yanga wamesajili kwakudhamiria tofauti na Simba... Simba ni timu nzuri ila Yanga wamesajili wachezaji wazuri msimu huu.

•Uzuri wa ligi yabongo Bingwa anaonekana mapema, ukweli Yanga kupoteza ningumu jamani and time will tell!
•Endelea hivohivo mtani mwaka huu chukua tyu sisi tutajipanga mwakani!

•Mechi yajana hakuna wakumlalamikia, strikers wa Simba walishikwa kila eneo hawakywa na jinsi ila PABLO hana plan B kabisaa!

•Watani wenzangu Yanga NISAMEHENI NIMEKOSA MIMI NIMEKOSA SANA kwa kuwasema January Simba itaongoza ligi!

NB: machozi yananitoka sababu ukweli unauma bye! bye! 🦁 ubingwa
😭😭😭😭
 
tumekusamehe,wewe unajitambua hao wengine wanaoendelea kubisha ni vichaa..
 
🤣🤣🤣🤣🤣Akili zako ndogo sana,KAGAMEE ni kikundi cha watu au mtu?Wewe ndo wale wa BRN nini??
 
Mkuu ni utani wetu tu, Simba imewauma sana je kiufundi shida Iko wapi
 
Eeh eeh eeh kolo kindakindaki limekasirika,wananchi tuliache hili kolo lisije ua mtu
 
Punguza matusi kaka, kwann unaendekeza matusi kiasi hiki?? Kwanini hujengi hoja madhubuti bila matusi?? Huyo jamaa kaleta utani wa mpira nawe ulipaswa kujibu kwa utani tu.
Sijawahi kuwa na Utani na Wapumbavu kama Wewe na Wao sawa? Kwahiyo kwa hivi sasa unazuga / mnazuga kuwa ni Utani baada ya Simba SC ( Timu yangu Shabikia ) Kufungwa na Mbeya City jana?

Kwahiyo na hata tokea Juzi, Jana na Leo unavyoniita Mwehu na Pumbavu huku ukiwahimiza Moderators wa JamiiForums wawe wanafanya Uchunguzi wa Utimamu wa Akili kwa Members hapa ( hasa ukinilenga ) Mimi GENTAMYCINE pia ulikuwa Unatania?

Sijawahi Kuogopa lolote au Kutishwa na chochote kile halafu Vita ni sehemu ya Maisha yangu na ukitaka nikuheshimu hapa JamiiForums nawe Jiheshimu na Niheshimu pia ila Ukitaka Majibizano au Maneno ya Shombo ( ya Kisela na Kimjini mjini ) hapa ndiyo Makao Makuu yake.

Mnavyonichukia na Kunishobokea Kutwa hapa JamiiForums utadhani labda nimewakaza au nimewakaza Waliowazaa hivyo mna Uchungu na Hasira nami kwakuwa ama nimewaacha ( nimewatema ) au sikuwapa Pesa.

Idiots wakubwa nyie. Sitowavumilia hapa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…