Nisaidie hili , Mtumishi mmoja wa idara ya Elimu , "alitoroka" kituo cha Kazi kwa kupata barua FEKI ya Uhamisho toka Kituo /Shule mmoja mjini Mwanza na kwenda Kufundisha Shule fulani moani Morogoro , Ulipokuja uhakiki wa watumishi ilibidi arudi Mwanza ambako alipewa charge sheet na TSD kwa kuwa amesimamisha na atapokea Nusu Mshahara , akapewa siku14 kuwa amejitetea kwa nini asifukuzwe kazi ,
Likajazuka la uhakiki wa watumishi , akapelekwa TAKUKURU ambako aliamriwa kurejesha pesa alizopokea akiwa nje ya kituo chake cha Kazi ambako anahesabiwa "MTORO" , akiwa anafanya hivyo , ile nusu Mshahara pamoja na Account yake ya Bank ZIKAFUNGWA hivyo pesa ya nusu mshahara ikio bank Marejesho ya pesa alizotakiwa kurejesha alisha maliza kurejesha Mpaka leo hajapata majibu ya TSD na Pia mkurugenzi wa Mji haja mpatia barua kutamka kuwa amefukuzwa kazi hivyo yupo ana "hang" bila kujua hatima yake , akienda kwa HR aanambiwa hilo ni agizo toka ngazi za juu
IPI FATE YA MWALIMU HUYU KIUTUMISHI
Asante