Kwa yeyote mwenye shida ya sheria za kazi

Kwa yeyote mwenye shida ya sheria za kazi

Mwana kwetu HAPA ,,inabd uweke maelezo ya kutosha ,kosa gan alipatikan nalo? Ndipo amelekezo yaje
Kwa kosa la jina Mkuu mwajiri haruhusiwi kufanya chochote dhidi ya mwajiriwa mpaka pale kesi yake ya jina inakapofika tamati kama alifanya hivyo ili hali kesi haijafika tamati basi mwajiri alikosea iwe tu hakuwai kumshtaki mwajiriwa kosa la jina ndipo atakuwa hajakosea
 
Napenda kujua nini mtumishi afanye anapoachishwa kazi pasiposanabu za msingi na kutofuatwa taratibu hakupewa nauli wala stahiki zake zozote na mwajiri amekata rufaa HC?
Anapaswa afungue mgogoro wa kazi katika tume ya usuluhishi na maamuzi kudai kile anachoamini kwamba ni haki yake inayotokana na kutokufuata utaribu wa kuachishwa kazi
 
Je sheria inasemaje mwajili kumtuhumu mwajiriwa kwa kesi ua jinai na kumfukuza kazi pasipokumfikisha mahakamani?
Kwa kosa la jina Mkuu mwajiri haruhusiwi kufanya chochote dhidi ya mwajiriwa mpaka pale kesi yake ya jina inakapofika tamati kama alifanya hivyo ili hali kesi haijafika tamati basi mwajiri alikosea iwe tu hakuwai kumshtaki mwajiriwa kosa la jinai ndipo atakuwa hajakosea
 
naimani hamna swali ambalo sijajibu kama lipo naomba aliyeuliza alitume tena nami nitamjibu pasi na shaka yeyote

kwa sasa niwatakie weekend njema
 
Chumvichumvi, ni muda gani unakubalika kisheria shauli lililo CMA kufikia kutolewa hukumu? Na kama shauri hilo limepita muda huo nini kinatakiwa kifanyike?
 
Mtu alieachishwa kazi kwa utoro serikalini anaajirika tena? kama ni ndiyo ni hatua zipi za kufuata??
 
Habari mkuu, je kuna malipo yoyote anayoweza kupewa
a) mtu aliyeacha kazi kutokana na matatizo ya kiafya
b)mtu aliyeacha kazi kwasababu za kimasirahi
 
Chumvichumvi, ni muda gani unakubalika kisheria shauli lililo CMA kufikia kutolewa hukumu? Na kama shauri hilo limepita muda huo nini kinatakiwa kifanyike?
Ni ndani ya siku 30 mda ukipita japo sio sheria huwa mlalamikaji anaweza akaandika barua kuhoji juu ya ucheleweshwaji
 
Habari mkuu, je kuna malipo yoyote anayoweza kupewa
a) mtu aliyeacha kazi kutokana na matatizo ya kiafya
b)mtu aliyeacha kazi kwasababu za kimasirahi
A. Ndio kwenye sheria kuna kitu kinaitwa sick termination sasa inategemea umeumwa kwa mda gani

B. Hapana sababu wewe ndio umeacha

Zingatia vipengele vya mkataba wako wa ajira
 
chumvichumvi kwa mfanyakazi anayefanya kazi na kampuni binafsi na hajapewa mkataba wa maandishi, na halipiwi huduma yoyote na kampuni zaidi ya mshahara anaopokea tena mkononi, siku huyu mwajiri akiamua kumwachisha kazi ni malipo gani anatakiwa kulipwa? ana mwaka 1 na zaidi kazini
 
Je sheria inasemaje mwajili kumtuhumu mwajiriwa kwa kesi ua jinai na kumfukuza kazi pasipokumfikisha mahakamani?
Kama alifuata taratibu za kukufukuza hyo kaz atakuwa hana u lazima wa kukupeleka mahakaman labda wewe mfanyakaz kama unaona maamuz au utaratibu uliotumika co sahhi waweza mfungulia kesi ya unfair termination,, lakn kama mfanyakaz kapatikan na kosa kuna uratatibu wa kushughulikia ndo maan kuna vikao vya kinidhamu navyo vinataratibu YAKE,ukikiuka taratibu moja tu BASI kikao au mchakato mzima unakuwa batili
 
Napenda kujua nini mtumishi afanye anapoachishwa kazi pasiposanabu za msingi na kutofuatwa taratibu hakupewa nauli wala stahiki zake zozote na mwajiri amekata rufaa HC?
Atakate rufaa HC?? wakat kesi zote za ajira zinaanzia tume ya usuluhishi na uamuz?? Sema hvi kama umeachishwa kaz pasipo kufuata taratibu ,kama mfanyakaz anastahil haki zip?

1.utaenda Ku fungua mgogo kwenye Tume ya usuluhishi na uamuz(CMA)
Dhid ya mwajiri wako kulalamika kwamba umeachishwa kaz isivyohalali (UNFAIR TERMINATION)

2.haki utakazo weza kupata kama itathibitishwa hvyo
(a) unaweza ukaomba kurudishwa kazn kama bado unataka uendelee na kaz

(b) kulipwa fidia SI chin ya miez kwa mshahara wako wa mwezi

(c) likizo kama haukuchukua kweny huo mwaka

(d) taarifa kama haukupewa taarif

(e) transport allowance ww na familia yako
 
Kwa kosa la jina Mkuu mwajiri haruhusiwi kufanya chochote dhidi ya mwajiriwa mpaka pale kesi yake ya jina inakapofika tamati kama alifanya hivyo ili hali kesi haijafika tamati basi mwajiri alikosea iwe tu hakuwai kumshtaki mwajiriwa kosa la jina ndipo atakuwa hajakosea
Kuongezea kifungu cha 37(5) cha sheria ya ajira na uhusiano kazn NA6/2004
 
Chumvichumvi, ni muda gani unakubalika kisheria shauli lililo CMA kufikia kutolewa hukumu? Na kama shauri hilo limepita muda huo nini kinatakiwa kifanyike?
Kiutaratibu na kisheria ni siku 30 lakn Ku naweza kukawa na makubaliano ya pande zote mbili kuongeza muda ,,kama kutakuwa na sababu za msng
 
A. Ndio kwenye sheria kuna kitu kinaitwa sick termination sasa inategemea umeumwa kwa mda gani

B. Hapana sababu wewe ndio umeacha

Zingatia vipengele vya mkataba wako wa ajira
Additional

Lazima ithibitishwe na daktr kwamba wewe huwez endelea na kaz unayofanya otherwise uispo kuwa na medical certificate ukaacha tu kiholela UTAKUWA umepoteza haki zako za msng..
 
chumvichumvi kwa mfanyakazi anayefanya kazi na kampuni binafsi na hajapewa mkataba wa maandishi, na halipiwi huduma yoyote na kampuni zaidi ya mshahara anaopokea tena mkononi, siku huyu mwajiri akiamua kumwachisha kazi ni malipo gani anatakiwa kulipwa? ana mwaka 1 na zaidi kazini
Shida inakuwa kwenye uthibitishaji wa hiyo ajira baada ya hapo kutokana na uthibitishaji ndipo nafuu pia hupatikana kwa mfano wewe unasema unazaidi y mwaka swali ni je kipindi cha majaribio kilikuwa ni cha mda gani na je ajira yako ilidhibitishwa

Sent from my SM-N910C using JamiiForums mobile app
 
Shida inakuwa kwenye uthibitishaji wa hiyo ajira baada ya hapo kutokana na uthibitishaji ndipo nafuu pia hupatikana kwa mfano wewe unasema unazaidi y mwaka swali ni je kipindi cha majaribio kilikuwa ni cha mda gani na je ajira yako ilidhibitishwa

Sent from my SM-N910C using JamiiForums mobile app
probation ni miez mi3 ambayo ilishapita na kuhusu uthibitisho wa kutoka kwa mwajiri hakuna ila kuna documents za kampuni ambazo zina jina langu na sain zangu na mm ninazo,pia kuna kaz za online ambazo zimekuwa registered kwa jina langu na email yngu kwa ajil ya kampuni, so km mwajiri akinikana naeza tumia hzo au?

Post sent using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom