Kipangaspecial
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 20,778
- 28,722
Hutaki wangoni wenzako waendelee kula maishaKwa huyu Ndalichako nimeumia sanaa, si hata wamgesema atapangiwa kazi nyingine, eti ametenguliwa lol.
Huyu waziri anafaa sana ktk wizara ya Elimu, bas ni vile serikali haijui kumtumia mtu, nimeumia, nampenda sana Ndalichako.
Yaan wanamtoa ndalichako, afu jenista, kairuki, na ummy wanabakii khaaah
Ni wapi mleta mada kaitaja CCM,hili taifa Lina watu wapumbavu sana.CHADEMA mpo Bize kufuatilia na kutangaza habari za CCM kuliko hata habari za chama Chenu na uchaguzi wenu unaoendelea ambao hata sijuwi mmefikia wapi
yesSilikumbiki ila alikuwa waziri wa mambo ya nje kabla ya huyu msanii Makamba. Something like Mulamula maybe.
Mpaka mwenyekiti wenu awalipe wale waandishi wa mwanahalisi na wewe uliwemo maana matapeli hawana nafasi TanganyikaEndelea kuyatupa maneno
Kwa huyu Ndalichako nimeumia sanaa, si hata wamgesema atapangiwa kazi nyingine, eti ametenguliwa lol.
Huyu waziri anafaa sana ktk wizara ya Elimu, bas ni vile serikali haijui kumtumia mtu, nimeumia, nampenda sana Ndalichako.
Yaan wanamtoa ndalichako, afu jenista, kairuki, na ummy wanabakii khaaah
Huyu mama kipindi cha mwenda zake alitokea kuwa chukia watu wa kaskazini hadi kuwa nyima nafasi pale wizara ya elimu.
Alidhani atakuwa Waziri milele.
Sasa ubunge wali iba kura tukutane 2025.
Labda aka gombea Burundi
ππππMama Wa Ngeri Ilyonyooka Sana, I Will Put You Inside
Kang'olewaWamemfanyaje Erythrocyte , naomba taarifa kamili darubini yetu.
Huyu Prof Ndakichako kama kwenye uchambuzi wa mpira basi tunasema Performance bellow average, alikuwa hana jipya wizarani pale, she deserves an exit door.Ulipata Uwaziri baada ya kupendekezwa na Wana JF, lakini bila shaka kiwango chako hakikuridhisha. Ulipewa na Ubunge wa bure ule wa Jiwe 2020 lakini sasa mbeleko imetoboka .
Tunakutakia Kila la heri huko uendako
Na usikute hao wazee hawana lolote kazi kufuga majini tu na kuwaombea wenzao laana za duniaHuyu wazee wa misikitini wamemsagia kunguni.