Pre GE2025 Kwaheri Ndalichako, karibu Jimboni

Pre GE2025 Kwaheri Ndalichako, karibu Jimboni

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Hu
Kwa huyu Ndalichako nimeumia sanaa, si hata wamgesema atapangiwa kazi nyingine, eti ametenguliwa lol.

Huyu waziri anafaa sana ktk wizara ya Elimu, bas ni vile serikali haijui kumtumia mtu, nimeumia, nampenda sana Ndalichako.

Yaan wanamtoa ndalichako, afu jenista, kairuki, na ummy wanabakii khaaah
Hutaki wangoni wenzako waendelee kula maisha
 
Ndio atie akili alikuwa na mdomo mrefu huyo nae ‘eti usione vinaelea, vimeundwa’ na huo ubunge wenyewe wakupewa ushawishi ndani ya CCM huko kwao autoe wapi.
 
Kwa huyu Ndalichako nimeumia sanaa, si hata wamgesema atapangiwa kazi nyingine, eti ametenguliwa lol.

Huyu waziri anafaa sana ktk wizara ya Elimu, bas ni vile serikali haijui kumtumia mtu, nimeumia, nampenda sana Ndalichako.

Yaan wanamtoa ndalichako, afu jenista, kairuki, na ummy wanabakii khaaah

Mkuu una akili sana alafu unajua jinsi ya kugundua kipawa cha mtu. Waziri Ndalichako aliheshimisha sana wizara ya elimu na akafanya mabadiliko kiasi cha shule za serikali kurudi kwenye ubora wake.
 
Huyu mama kipindi cha mwenda zake alitokea kuwa chukia watu wa kaskazini hadi kuwa nyima nafasi pale wizara ya elimu.
Alidhani atakuwa Waziri milele.
Sasa ubunge wali iba kura tukutane 2025.
Labda aka gombea Burundi

Kama siyo mwizi huwezi kuendana na watu wa kaskazini
 
TAHASUSI - Hili neno halina msingi wa kiarabu kweli? Maana naona bakita Kila neno jipwa wanakwenda uarabuni kuchukua neno kama MUBASHARA. Tukija kuamka usingizini kiswahili chote kimwshakuwa kiarabu. TAHASUSI
 
Ulipata Uwaziri baada ya kupendekezwa na Wana JF, lakini bila shaka kiwango chako hakikuridhisha. Ulipewa na Ubunge wa bure ule wa Jiwe 2020 lakini sasa mbeleko imetoboka .

Tunakutakia Kila la heri huko uendako
Huyu Prof Ndakichako kama kwenye uchambuzi wa mpira basi tunasema Performance bellow average, alikuwa hana jipya wizarani pale, she deserves an exit door.
 
Waislam hawampendi Ndalichako na hiki ndicho kilochomponza. Lakini cha ajabu ni kuwa saiz wameshapeana vyeo, baraza wanaliongoza wao lkn shule za Zanzibar na Seminary zao bado watu wanapiga mizinga tu.
 
Back
Top Bottom