Kwaherini

Nakupendaga Shosti..don't go! Nani kakuudhi tumshughulikie?
.
.
Please come back with another ID. Wewe ni jembe bwana huwezi kudisappear hivi hivi.
 
wasalim huko uendako
 
Katika watu ambao nawakubali ndani ya JF ni pamoja na wewe Sky.

Jamani unaondoka????? haya basi kwa heri.
 
UKOJEE????????????????
UZURI WA JF UNAWEZA KUCHACHANGIA MADA HATA KAMA UKO KATIKATI YA MGEGEDANI😵😵😵😵😵
 
Uende kwa amani, tulikupenda sana lakini huyo mwingine kakupenda zaidi. Ulikuja na sasa umeondoka, pengo lako halizibiki kamwe. utatuacha wapweke, tutakukumbuka daima, ulikuwa mtu wa watu, hukuwa na maringo wala majivuno, hukuwa na majibu ya hovyo japokuwa kuna wakati ulikuwa na hasira ila ulijua namna ya kuzidhibiti. Tutakupenda daima.



 
Nina uhakika sky atarudi baada ya kununua simu nyingine, hata Miss naniliu aliwahi kutuaga lakini kwa sasa tupo nae humu.

Msichukulie serious, natania tuuuuu.
 
Unaenda wapi tena ndugu, mchango wako bado tunauhitaji sana humu.
 
Hahhahahaha kuomdoka humu huwezi..sema unabadili ID
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…