Mburia
JF-Expert Member
- Jul 15, 2022
- 2,369
- 3,488
hahaaaaaa mzee wa tochi huyu, majuzi nilikuwa Kigoma nikakuta baadhi ya barabara wameweka CCTV camera badala ya hiyo mitochi yao....Mkuu tochi utaendelea kupiga tu. Pesa utakayokusanya saa 12 mpaka saa 11 jioni itakutosha wala usiwe na wasiwasi