Kwako Nape, umeona hela ya mkopo aliyokula Hayati Dkt. Magufuli?

kasamehe madeni ya magari waliokuwa wanadaiwa na tra kafuta road lincence ya gari kapunguza bei kodi ya majengo na kuwa elfu 10 na gorofa elfu 50 hapo zamani tulilipa laki na zaidi kwenye luku kaleta bei elfu 27 kupata luku kaondo service charge unaponunua luku mbona mambo mengi kafanya kama ni uchunguzi tuanze na awamu ya 2 mzee ruksa tuchunguze na awamu 3 mkapa na awamu ya 4 tuchunguze tena tulete cig kutoks nje ya nchi
 
Hatutaki orodha tinataka hesabu🏃.
leteni kwanza hesabu ya zilipoenda hela za kujenga ofisi pale ufipa alizotoa sabodo

hahaaa mnacheza na gaidi mbowe kala zooooooooooooteeeeeeeee
 
Kweli uongo una mwisho na wengine wakasema njia ya muongo ni fupi......tulikuwa tunaaaminishwa kuwa ni hela zetu wenyewe,ndo maana tunasema hizi alizokopa alizitumia kwa matumizi yapi !!!!!au nikwamba wamezifisadi


Hesabu ziwekwe hadharani
 
Magufuli kama alikopa ni miradi alifanya tena ya maana,watz tunataka viongozi Wapiga deal ati ndio ujanja.
Now wanajidai wasafi huku hakuna kitu.
Wakiendelea na kumtusi Magu wajue wanaandaa mazingira ya kuwapa upinzani ushindi.
Kumtukana JPM ni njia ya kupata kibali Cha teuzi kwa Hangaya.
Aliyofanya Magufuli hata vijijini wanayaona umeme,Zahaati kila Kona
Akija kibwengo kwa cheo Cha Mbunge,haiingii akilini.
Ila anajaribu kulipa kisasi baada ya kudukuliwa sauti yake ya kumuhujumu JPM.

Wewe kaa vizuri tu na mzee wa Msoga,mama atakuteua tu,endelea kujikomba huko.
Huoni wenzio akina Mwigulu, January wameshaula?

Achana na JPM Sana Sana utapata laana tu,kumchokonoa marehemu aliyerisk uhai kwa ajili ya watu wake.

Wewe ni mchumia tumbo tunakujua toka zamani.
 
RAIS MAGUFULI ANABAKI KUWA RAIS BORA.

ALIKUWA MWANAUME WA SHOKA.

ALIKUWA KIONGOZI KWENYE SAUTI YA KIMAMLAKA.

ALIKUWA NI RAIS ALIYEKUWA AKITAMKA JAMBO TANZANIA INATIKISIKA.

WATU WALOKUWA WANAJIFANYA WAJUAJI KANA KINA NAPE,MEMBE,JANUARY AND THE LIKES WALIKIMBIA NA KUJIFICHA VICHAKANI KAMA NYOKA.

KAONDOKA WANAIBUKA KAMA NYOKA PANGONI NA KUROPOKA ROPOKA TU.

MUMUACHE RAIS WETU TULIEMPENDA SANA APUMZIKE LA SIVYO TUTAWASHUGHULIKA .
 
Umekula bange mbichi au kavu?
 
Magufuli atabaki kuwa litmust test ya wanasiasa wote nchini - kuwajua ni wanasiasa gani wa maana na ni wanasiasa gani mbuzi. Nape ni mbuzi tu kama mbuzi wengine. Huku mtaani kama unataka kuonekana kituko mseme vibaya Magufuli.
 
Magufuli atabaki kuwa litmust test ya wanasiasa wote nchini - kuwajua ni wanasiasa gani wa maana na ni wanasiasa gani mbuzi. Nape ni mbuzi tu kama mbuzi wengine. Huku mtaani kama unataka kuonekana kituko mseme vibaya Magufuli.
Nape hana shukrani.

Alibebwa ubunge na Magufuli!
 
Mlimpenda na nani ?!. Kumpenda kusinyamazishe walikuwa na dukuduku naye juu ya uadilifu wake.
 
Hakuna kitu hapo miradi mingi sana ilikuwa ya awamu ya mh Kikwete.

Wacha kuwadanganya watanzania.
 
Mbona hujazungumzia 1.5trillion?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…