Kwako Nape, umeona hela ya mkopo aliyokula Hayati Dkt. Magufuli?

Kwako Nape, umeona hela ya mkopo aliyokula Hayati Dkt. Magufuli?

HELA YA MKOPO ALIYOKULA JPM HII HAPA.

Tuliona utendaji wa kuacha alama katika awamu ya tano, tuliona uwajibikaji uliotukuka na kwa hakika Mabadiliko ya kimaendeleo yaligusa kila mmoja wetu, kama uoni basi utashika utagundua Kweli kuna mabadiliko, kama hushiki basi utakanyaga na utagundua mabadiliko makubwa ya kimaendeleo, ukitoka Kibaha kuja Mbezi hadi Kimara utaona kazi kubwa iliyofanyika ya ujenzi wa Barabara ya Morogoro, utajua kweli Serikali ya Rais Magufuli ilifanya kazi, kwako Nape pokea salaaam.

Awamu ya tano ilivyoingia Madarakani tuliona utendaji huu,

-Ujenzi wa Hostel za Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (udsm).

-Ujenzi wa Hostel za Askari Magereza.

-Ununuzi wa Ndege 11 (Nyingine 5 ziko mbioni kuja).

-Ujenzi wa Flyover Tazara na Ubungo,

-Upanuzi wa Airport Mwanza,Bukoba,Mbeya,Songea,Dodoma na Musoma.

-Upanuzi barabara ya Moroco DSM, Mwanza na Arusha.

-Upanuzi wa Kisasa Airport Dar ,terminal 3.

-Kusimamia misingi ya kimaadili ya Utumishi wa Umma, Kukomesha Rushwa
Kurejesha nidhamu Makazini.

-Ujenzi wa reli kwa ajili ya treni ya Umeme (Standard Gauge)

-Ujenzi wa barabara ya Mtwara-Tandahimba.

-Ujenzi wa kota za Magomeni.

-Ununuzi na Ujenzi wa Rada Mpya 5 tano za kuongozea ndege katika anga lote la Tanzania.

-Elimu bure na Mafunzo ya kujitegemea katika Veta na Jkt kwa wahitimu wa Elimu ya Sekondari.

-Kukomesha Watumishi Wenye Feki hivyo kuokoa Mabilioni ya Fedha.

-Barabara ya kuunganisha Wilaya za Kibondo kigoma Kaliua huko Tabora.

-Miradi Mikubwa ya Maji,Ujenzi wa Matenki makubwa Dar es Salaam na mradi mkubwa wa Maji toka Ziwa Victoria kuja Tabora hadi Dodoma.

-Uwezeshaji Ujenzi Bomba la Mafuta kutoka Hoima nchini Uganda hadi Jijini Tanga,Tanzania.

-Usimamizi wa Mazao Mfano Korosho,Pamba,Katani,Alizeti,kahawa,Chai,Maharage,Kilimo cha Mpunga na kutafuta masoko nje ya Nchi kwa ajili ya kupata fedha za kigeni kuinua uchumi wetu.

-Kuboresha Sekta ya Utalii kwa kununua ndege kurahisisha usafiri wa Watalii toka Mabara yote kuja Tanzania.

-Usimamizi wa Mapato ya Mali asili zetu,mfano Madini ya Dhahabu, Tanzanite na Almasi.

-Ukusanyaji Mapato baada ya kuziba nianya ya ufisadi na wizi wa mapato na mali ya Umma.

-Kujenga Utaifa na Uzalendo.

-Ujenzi wa Bwawa la Umeme katika Mto Rufiji "Stigglers Gorge".

Kwa hakika katika awamu ya 5,Serikali ya CCM iliyoongozwa na Rais Magufuli imeifanya CCM kuwa Mpya katika utendaji wa kasi na wa uhakika pasipo porojo wala propaganda, Mwenye macho anaona utendaji katika sekta mbali mbali kuijenga Tanzania Mpya ambayo itakwenda kuwa Baba la Uchumi barani Africa.

@KWAKO NAPE UMEONA MKOPO ALIOKULA JPM!?#😀
Kulikuwa na ugumu gani kuwaeleza watz kwamba tunakopa pesa na mgawanyo wake ukoje?Badala yake tukajiita matajiri hatutaki pesa za mabeberu kumbe tunanuka madeni,leo marehemu anaumbuka kwa uongo halafu mnamtetea ili iweje
 
Nimeshaaona kitu hata nape anjiona mjanja kwa sasa lakini kama sio nguvu ya magufuli kuna wabunge nakuhakikshia wansingefika hapo waliopo .leo ndo wako mstari wa mbele kumdhalilisha hayati magufuli .tuone kama 2025 watapanua tena mdomo
Huyu magu hakua na laziada kwa binadamu wengine zaidi ya cheo na mavazi labda,nape hakurudi bungeni kwa kwa ubabe wa magu,hayo kawafariji kina gwajima hao ndio wanufaika wa ubabe wa marehemu,
 
Kulikuwa na ugumu gani kuwaeleza watz kwamba tunakopa pesa na mgawanyo wake ukoje?Badala yake tukajiita matajiri hatutaki pesa za mabeberu kumbe tunanuka madeni,leo marehemu anaumbuka kwa uongo halafu mnamtetea ili iweje
Tunataka proof kuwa alikopa!! Sio maneno, watoe na nyaraka hizo za mikopo!!
Isiwe wanaongea kumchafua kisa wanabif nae, kila mwananchi anaelewa wazi kuwa wakina nape wanabiff na Magu, waonyesha document za hiyo mikopo na nan alienda huko kukopa!!
 
Miradi hujaiona?tena ya pesa nyingi.
Acheni kumchafua hayati pasipo sababu.
Usitake kila mtu afanane na wewe, wewe uliyeamua kusifia sifia tu hakuna wa kukuzuia na yule aliyeamua kuhoji mwache ahoji kwasababu ana akili za kuhoji, nawewe unazo za kusifia
 
HELA YA MKOPO ALIYOKULA JPM HII HAPA.

Tuliona utendaji wa kuacha alama katika awamu ya tano, tuliona uwajibikaji uliotukuka na kwa hakika Mabadiliko ya kimaendeleo yaligusa kila mmoja wetu, kama uoni basi utashika utagundua Kweli kuna mabadiliko, kama hushiki basi utakanyaga na utagundua mabadiliko makubwa ya kimaendeleo, ukitoka Kibaha kuja Mbezi hadi Kimara utaona kazi kubwa iliyofanyika ya ujenzi wa Barabara ya Morogoro, utajua kweli Serikali ya Rais Magufuli ilifanya kazi, kwako Nape pokea salaaam.

Awamu ya tano ilivyoingia Madarakani tuliona utendaji huu,

-Ujenzi wa Hostel za Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (udsm).

-Ujenzi wa Hostel za Askari Magereza.

-Ununuzi wa Ndege 11 (Nyingine 5 ziko mbioni kuja).

-Ujenzi wa Flyover Tazara na Ubungo,

-Upanuzi wa Airport Mwanza,Bukoba,Mbeya,Songea,Dodoma na Musoma.

-Upanuzi barabara ya Moroco DSM, Mwanza na Arusha.

-Upanuzi wa Kisasa Airport Dar ,terminal 3.

-Kusimamia misingi ya kimaadili ya Utumishi wa Umma, Kukomesha Rushwa
Kurejesha nidhamu Makazini.

-Ujenzi wa reli kwa ajili ya treni ya Umeme (Standard Gauge)

-Ujenzi wa barabara ya Mtwara-Tandahimba.

-Ujenzi wa kota za Magomeni.

-Ununuzi na Ujenzi wa Rada Mpya 5 tano za kuongozea ndege katika anga lote la Tanzania.

-Elimu bure na Mafunzo ya kujitegemea katika Veta na Jkt kwa wahitimu wa Elimu ya Sekondari.

-Kukomesha Watumishi Wenye Feki hivyo kuokoa Mabilioni ya Fedha.

-Barabara ya kuunganisha Wilaya za Kibondo kigoma Kaliua huko Tabora.

-Miradi Mikubwa ya Maji,Ujenzi wa Matenki makubwa Dar es Salaam na mradi mkubwa wa Maji toka Ziwa Victoria kuja Tabora hadi Dodoma.

-Uwezeshaji Ujenzi Bomba la Mafuta kutoka Hoima nchini Uganda hadi Jijini Tanga,Tanzania.

-Usimamizi wa Mazao Mfano Korosho,Pamba,Katani,Alizeti,kahawa,Chai,Maharage,Kilimo cha Mpunga na kutafuta masoko nje ya Nchi kwa ajili ya kupata fedha za kigeni kuinua uchumi wetu.

-Kuboresha Sekta ya Utalii kwa kununua ndege kurahisisha usafiri wa Watalii toka Mabara yote kuja Tanzania.

-Usimamizi wa Mapato ya Mali asili zetu,mfano Madini ya Dhahabu, Tanzanite na Almasi.

-Ukusanyaji Mapato baada ya kuziba nianya ya ufisadi na wizi wa mapato na mali ya Umma.

-Kujenga Utaifa na Uzalendo.

-Ujenzi wa Bwawa la Umeme katika Mto Rufiji "Stigglers Gorge".

Kwa hakika katika awamu ya 5,Serikali ya CCM iliyoongozwa na Rais Magufuli imeifanya CCM kuwa Mpya katika utendaji wa kasi na wa uhakika pasipo porojo wala propaganda, Mwenye macho anaona utendaji katika sekta mbali mbali kuijenga Tanzania Mpya ambayo itakwenda kuwa Baba la Uchumi barani Africa.

@KWAKO NAPE UMEONA MKOPO ALIOKULA JPM!?#[emoji3]
Kilichotokea ni hivi. Zile triolioni ngapi sijui zilitumika kujenga umene vijijini, hospitali, airports, vyuo vikuu, lami nk sehemu moja tu ya Tanzania. Moshi kuna universities 5, referral hospirals 3, airports 5 pua na mdomo (ongeza Embakasi na Jomo Kenyatta kilometa150). Nenda kwa Waziri Mkuu Majaliwa, au kwa Magufuli, kwa Nape, kwa Heche - watu wengi tu, eneo kubwa sana, hawana airport, hawanac referral hospital, hwana umeme vijijini. Hujataja Tabora na Kigoma na Ruguma na Kagera. Ndiyo maana wenziyo hawalalamaki maji au hospitali, tayari wanavyo. Sasa wanataka Katiba Mpya iwape serkali ya majimbo wajitawale Kikabila.
 
Hesabu hazina maneno,
Wekeni account kila mtu aone uzalendo wake
 
Yule Magu Alikua Jiwe Bana. Ni Sawa na mdingi fulani mkali, hataki mchezo na Familia Yake. Mtoto ukizingua unakula mbata za maana. Kama binadamu Kuna mahali alizingua, but unaona kabisa yule dingilai alikua na Nia nzuri na nchi.

Akina Nape na mburura wenzake wanaturudisha kwenye akili za wahasibu wezi. Wahasibu wezi Bana ukimpa Mil 5, anaweza kufanya kazi ya Mil 1.2 ila akakuandikia hesabu ya 5M na deni juu na ukakosa pa kuhoji!

Magu is in sand now, tupambane na Hawa nzi wa kijani walobaki wanaotaka kujificha kwa mgongo wa Magu!!!!
Nia nzuri na nchi ambayo siyo yake!!???
Kweli mmelishwa unga wa ndele.
 
Tupewe mahesabu ya hela zote zilizowahi kukopwa na matumizi yake tangu tupate Uhuru. Itatusaidia sana kuliko kufanya nitpicking ya kipindi kimoja tu.
Tunataka Value of money ionekane.

Mleta post ni akili ndogo sana

Hakuna blaah blaah hapa.
 
Back
Top Bottom