Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
Kwahiyo tukusaidieje labda?Mbona hajaoji hela za corona alizochukua mama?
Pia skuiz kiki ya chanjo mbona imekata upepo ghafla? Magu alikua mwamba asee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwahiyo tukusaidieje labda?Mbona hajaoji hela za corona alizochukua mama?
Pia skuiz kiki ya chanjo mbona imekata upepo ghafla? Magu alikua mwamba asee
Utakatwa tuKwa hela hii ya mkopo aliyokula Magufuli nipo tayari kukatwa kwenye mshahara wangu ili kuirudisha. Nipewe tu utaratibu wa kufuata.
Mataga huyo yupo kaziniAcha porojo na upotoshaji, hiyo siyo maana ya fedha za ndani.
Naona mnarusha ngumi hewani nyie matagaBinafsi nasikia ukakasi .kama hao wezi wanadhani JPM ni rank Yao watumie huo utoporo kwenye campaign ndo wayanua mbivu na mbich dadeki
Kwako wewe matusi umeona ni issue sana?We binti una mdomo sana, subiri uote matiti uone nitakavyo kusalangua mbwa wee!
Nipe utaratibu.Utakatwa tu
Kwakuwa umeomba kukatwa basi utakatwa tuNipe utaratibu.
Nipe utaratibu ili nianze kukatwa.Kwakuwa umeomba kukatwa basi utakatwa tu
Utakatwa tuNipe utaratibu ili nianze kukatwa.
No
Naongezea ukarabati wa mashule na sekondary ukarabati wa reli ya zamani Dar-Isaka, ukarabati wa reli Dar Arusha mahospitali ya mikoa na rufaa, mahakama za rufaa kiala mkoa vitendea kazi kuanzia police mapaka halmashauri vya kukusanyia ushuru na migumo mingi ya tehama na mabadiliko yake
Kwenye nyumba yao ya kupangaKawafikishia lami hadi hapo Ufipa!
Kila mtu akiwemo na mimi?Jiwe huyo huyo anayechukiwa na kila mtu
Umesahau ya kununua wapinzani.
Halafu mbona mlisema miradi yote ni fedha za ndani?
Acha kuopotosha maana ya fedha za ndani. Hamuoni aibu na elimu zenu?Kwani tukikopa si tunalipa kwa kutumia makusanyo ya ndani..!??
Alafu mkaishia kuwahadaa watanzania mabeberu sio watu wazuri, baadaye mnakaa nao mezani tunaonba mtukopeshe. Hv mlituonaje ?HELA YA MKOPO ALIYOKULA JPM HII HAPA.
Tuliona utendaji wa kuacha alama katika awamu ya tano, tuliona uwajibikaji uliotukuka na kwa hakika Mabadiliko ya kimaendeleo yaligusa kila mmoja wetu, kama uoni basi utashika utagundua Kweli kuna mabadiliko, kama hushiki basi utakanyaga na utagundua mabadiliko makubwa ya kimaendeleo, ukitoka Kibaha kuja Mbezi hadi Kimara utaona kazi kubwa iliyofanyika ya ujenzi wa Barabara ya Morogoro, utajua kweli Serikali ya Rais Magufuli ilifanya kazi, kwako Nape pokea salaaam.
Awamu ya tano ilivyoingia Madarakani tuliona utendaji huu,
-Ujenzi wa Hostel za Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (udsm).
-Ujenzi wa Hostel za Askari Magereza.
-Ununuzi wa Ndege 11 (Nyingine 5 ziko mbioni kuja).
-Ujenzi wa Flyover Tazara na Ubungo,
-Upanuzi wa Airport Mwanza,Bukoba,Mbeya,Songea,Dodoma na Musoma.
-Upanuzi barabara ya Moroco DSM, Mwanza na Arusha.
-Upanuzi wa Kisasa Airport Dar ,terminal 3.
-Kusimamia misingi ya kimaadili ya Utumishi wa Umma, Kukomesha Rushwa
Kurejesha nidhamu Makazini.
-Ujenzi wa reli kwa ajili ya treni ya Umeme (Standard Gauge)
-Ujenzi wa barabara ya Mtwara-Tandahimba.
-Ujenzi wa kota za Magomeni.
-Ununuzi na Ujenzi wa Rada Mpya 5 tano za kuongozea ndege katika anga lote la Tanzania.
-Elimu bure na Mafunzo ya kujitegemea katika Veta na Jkt kwa wahitimu wa Elimu ya Sekondari.
-Kukomesha Watumishi Wenye Feki hivyo kuokoa Mabilioni ya Fedha.
-Barabara ya kuunganisha Wilaya za Kibondo kigoma Kaliua huko Tabora.
-Miradi Mikubwa ya Maji,Ujenzi wa Matenki makubwa Dar es Salaam na mradi mkubwa wa Maji toka Ziwa Victoria kuja Tabora hadi Dodoma.
-Uwezeshaji Ujenzi Bomba la Mafuta kutoka Hoima nchini Uganda hadi Jijini Tanga,Tanzania.
-Usimamizi wa Mazao Mfano Korosho,Pamba,Katani,Alizeti,kahawa,Chai,Maharage,Kilimo cha Mpunga na kutafuta masoko nje ya Nchi kwa ajili ya kupata fedha za kigeni kuinua uchumi wetu.
-Kuboresha Sekta ya Utalii kwa kununua ndege kurahisisha usafiri wa Watalii toka Mabara yote kuja Tanzania.
-Usimamizi wa Mapato ya Mali asili zetu,mfano Madini ya Dhahabu, Tanzanite na Almasi.
-Ukusanyaji Mapato baada ya kuziba nianya ya ufisadi na wizi wa mapato na mali ya Umma.
-Kujenga Utaifa na Uzalendo.
-Ujenzi wa Bwawa la Umeme katika Mto Rufiji "Stigglers Gorge".
Kwa hakika katika awamu ya 5,Serikali ya CCM iliyoongozwa na Rais Magufuli imeifanya CCM kuwa Mpya katika utendaji wa kasi na wa uhakika pasipo porojo wala propaganda, Mwenye macho anaona utendaji katika sekta mbali mbali kuijenga Tanzania Mpya ambayo itakwenda kuwa Baba la Uchumi barani Africa.
@KWAKO NAPE UMEONA MKOPO ALIOKULA JPM!?#😀
Hawa ni wachumia tumbo tu; bajeti zote za serikali zipo na zilikuwa zinaonyesha wazi ni pesa kiasi gani kitakopwa na ni kiasi gani zitatokana na kodi, na miradi ya maendeleo itakayotekelezwa ni ipi na gharama zake ni zipi. Kuna miradi mingine ya maendeleo haikuwa ya lazima kama vile ujezi wa uwanja wa Chato, lakini hawa jamaa walipitisha bajeti ya wizara ya mawasiliano na uchukuzi kikiwemo kifungu cha ujenzi wa uwanja wa Chato bila kuhoji, halafu baadaye leo ndiyo eti wanalalamika. Tena bajeti ya uwanja wa Chato ilikuwa imeletwa bila kuwa na specifics za kutosha ila wao wakapiga makofi tu na kuipitisha bila kuhoji chochote.Mm kinachonoshangaza wakati hizo pesa anazodai zlikopwa na matumizi yake hayafahamiki wao kama wawakilisho wa wananchi walikuwa wanafanyaje au zilitumika hovyo wakiwa wap hawa huwa hawatabiliki kabisa
Nimeshaaona kitu hata nape anjiona mjanja kwa sasa lakini kama sio nguvu ya magufuli kuna wabunge nakuhakikshia wansingefika hapo waliopo .leo ndo wako mstari wa mbele kumdhalilisha hayati magufuli .tuone kama 2025 watapanua tena mdomoMagufuli kama alikopa ni miradi alifanya tena ya maana,watz tunataka viongozi Wapiga deal ati ndio ujanja.
Now wanajidai wasafi huku hakuna kitu.
Wakiendelea na kumtusi Magu wajue wanaandaa mazingira ya kuwapa upinzani ushindi.
Wewe haumo,sababu ya usukuma wako.Kila mtu akiwemo na mimi?