Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
Na kuanzisha BuriiigiiiiUmesahau ujenzi wa uwanja wa ndege wa kimataifa wa Chato
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na kuanzisha BuriiigiiiiUmesahau ujenzi wa uwanja wa ndege wa kimataifa wa Chato
Hakuna awamu iliyokuwa ya ufisadi kama ya 5.Tupewe mahesabu ya hela zote zilizowahi kukopwa na matumizi yake tangu tupate Uhuru. Itatusaidia sana kuliko kufanya nitpicking ya kipindi kimoja tu.
Usisahau na kupigwa kwa 1.5trillionNo
Naongezea ukarabati wa mashule na sekondary ukarabati wa reli ya zamani Dar-Isaka, ukarabati wa reli Dar Arusha mahospitali ya mikoa na rufaa, mahakama za rufaa kiala mkoa vitendea kazi kuanzia police mapaka halmashauri vya kukusanyia ushuru na migumo mingi ya tehama na mabadiliko yake
Ya mshaharakwa hela ya bibi yake?
🤣 🤣Ya mshahara
Wacha kutisha watu nyinyi wapigaji wakubwa na sasa tunaanza kuyaona kupitia kwa makada wenzenu wa ccm.Magufuli kama alikopa ni miradi alifanya tena ya maana,watz tunataka viongozi Wapiga deal ati ndio ujanja.
Now wanajidai wasafi huku hakuna kitu.
Wakiendelea na kumtusi Magu wajue wanaandaa mazingira ya kuwapa upinzani ushindi.
Imekuingia wewe na majizi wenzakomwizi dada yako
Ya kununua wapinzani msala lazima utamlalia Polepole na mwenzake BashiruUmesahau ya kununua wapinzani.
Halafu mbona mlisema miradi yote ni fedha za ndani?
Huyu tushamzoea maana ni zuzu tuUnaanzisha uzi na ID yako nyingine halafu unajijibu
Nakumbuka mwaka 2015, watu walikuwa wanazomewa na kwengine kudharirishwa kwa namna nyingine kisa tu mtu kavaa shati la ccm, ilikuwa vigumu sana kupita mitaani na vazi la ccm,Magufuli kama alikopa ni miradi alifanya tena ya maana,watz tunataka viongozi Wapiga deal ati ndio ujanja.
Now wanajidai wasafi huku hakuna kitu.
Wakiendelea na kumtusi Magu wajue wanaandaa mazingira ya kuwapa upinzani ushindi.
Nape ni mwizi kama wengine wa awamu ya nne.HELA YA MKOPO ALIYOKULA JPM HII HAPA.
Tuliona utendaji wa kuacha alama katika awamu ya tano, tuliona uwajibikaji uliotukuka na kwa hakika Mabadiliko ya kimaendeleo yaligusa kila mmoja wetu, kama uoni basi utashika utagundua Kweli kuna mabadiliko, kama hushiki basi utakanyaga na utagundua mabadiliko makubwa ya kimaendeleo, ukitoka Kibaha kuja Mbezi hadi Kimara utaona kazi kubwa iliyofanyika ya ujenzi wa Barabara ya Morogoro, utajua kweli Serikali ya Rais Magufuli ilifanya kazi, kwako Nape pokea salaaam.
Awamu ya tano ilivyoingia Madarakani tuliona utendaji huu,
-Ujenzi wa Hostel za Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (udsm).
-Ujenzi wa Hostel za Askari Magereza.
-Ununuzi wa Ndege 11 (Nyingine 5 ziko mbioni kuja).
-Ujenzi wa Flyover Tazara na Ubungo,
-Upanuzi wa Airport Mwanza,Bukoba,Mbeya,Songea,Dodoma na Musoma.
-Upanuzi barabara ya Moroco DSM, Mwanza na Arusha.
-Upanuzi wa Kisasa Airport Dar ,terminal 3.
-Kusimamia misingi ya kimaadili ya Utumishi wa Umma, Kukomesha Rushwa
Kurejesha nidhamu Makazini.
-Ujenzi wa reli kwa ajili ya treni ya Umeme (Standard Gauge)
-Ujenzi wa barabara ya Mtwara-Tandahimba.
-Ujenzi wa kota za Magomeni.
-Ununuzi na Ujenzi wa Rada Mpya 5 tano za kuongozea ndege katika anga lote la Tanzania.
-Elimu bure na Mafunzo ya kujitegemea katika Veta na Jkt kwa wahitimu wa Elimu ya Sekondari.
-Kukomesha Watumishi Wenye Feki hivyo kuokoa Mabilioni ya Fedha.
-Barabara ya kuunganisha Wilaya za Kibondo kigoma Kaliua huko Tabora.
-Miradi Mikubwa ya Maji,Ujenzi wa Matenki makubwa Dar es Salaam na mradi mkubwa wa Maji toka Ziwa Victoria kuja Tabora hadi Dodoma.
-Uwezeshaji Ujenzi Bomba la Mafuta kutoka Hoima nchini Uganda hadi Jijini Tanga,Tanzania.
-Usimamizi wa Mazao Mfano Korosho,Pamba,Katani,Alizeti,kahawa,Chai,Maharage,Kilimo cha Mpunga na kutafuta masoko nje ya Nchi kwa ajili ya kupata fedha za kigeni kuinua uchumi wetu.
-Kuboresha Sekta ya Utalii kwa kununua ndege kurahisisha usafiri wa Watalii toka Mabara yote kuja Tanzania.
-Usimamizi wa Mapato ya Mali asili zetu,mfano Madini ya Dhahabu, Tanzanite na Almasi.
-Ukusanyaji Mapato baada ya kuziba nianya ya ufisadi na wizi wa mapato na mali ya Umma.
-Kujenga Utaifa na Uzalendo.
-Ujenzi wa Bwawa la Umeme katika Mto Rufiji "Stigglers Gorge".
Kwa hakika katika awamu ya 5,Serikali ya CCM iliyoongozwa na Rais Magufuli imeifanya CCM kuwa Mpya katika utendaji wa kasi na wa uhakika pasipo porojo wala propaganda, Mwenye macho anaona utendaji katika sekta mbali mbali kuijenga Tanzania Mpya ambayo itakwenda kuwa Baba la Uchumi barani Africa.
@KWAKO NAPE UMEONA MKOPO ALIOKULA JPM!?#[emoji3]
Magufuli alitakiwa atawale kwa miaka angalau 20mwizi mkubwa
Toa ujinga wako kijanaHELA YA MKOPO ALIYOKULA JPM HII HAPA.
Tuliona utendaji wa kuacha alama katika awamu ya tano, tuliona uwajibikaji uliotukuka na kwa hakika Mabadiliko ya kimaendeleo yaligusa kila mmoja wetu, kama uoni basi utashika utagundua Kweli kuna mabadiliko, kama hushiki basi utakanyaga na utagundua mabadiliko makubwa ya kimaendeleo, ukitoka Kibaha kuja Mbezi hadi Kimara utaona kazi kubwa iliyofanyika ya ujenzi wa Barabara ya Morogoro, utajua kweli Serikali ya Rais Magufuli ilifanya kazi, kwako Nape pokea salaaam.
Awamu ya tano ilivyoingia Madarakani tuliona utendaji huu,
-Ujenzi wa Hostel za Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (udsm).
-Ujenzi wa Hostel za Askari Magereza.
-Ununuzi wa Ndege 11 (Nyingine 5 ziko mbioni kuja).
-Ujenzi wa Flyover Tazara na Ubungo,
-Upanuzi wa Airport Mwanza,Bukoba,Mbeya,Songea,Dodoma na Musoma.
-Upanuzi barabara ya Moroco DSM, Mwanza na Arusha.
-Upanuzi wa Kisasa Airport Dar ,terminal 3.
-Kusimamia misingi ya kimaadili ya Utumishi wa Umma, Kukomesha Rushwa
Kurejesha nidhamu Makazini.
-Ujenzi wa reli kwa ajili ya treni ya Umeme (Standard Gauge)
-Ujenzi wa barabara ya Mtwara-Tandahimba.
-Ujenzi wa kota za Magomeni.
-Ununuzi na Ujenzi wa Rada Mpya 5 tano za kuongozea ndege katika anga lote la Tanzania.
-Elimu bure na Mafunzo ya kujitegemea katika Veta na Jkt kwa wahitimu wa Elimu ya Sekondari.
-Kukomesha Watumishi Wenye Feki hivyo kuokoa Mabilioni ya Fedha.
-Barabara ya kuunganisha Wilaya za Kibondo kigoma Kaliua huko Tabora.
-Miradi Mikubwa ya Maji,Ujenzi wa Matenki makubwa Dar es Salaam na mradi mkubwa wa Maji toka Ziwa Victoria kuja Tabora hadi Dodoma.
-Uwezeshaji Ujenzi Bomba la Mafuta kutoka Hoima nchini Uganda hadi Jijini Tanga,Tanzania.
-Usimamizi wa Mazao Mfano Korosho,Pamba,Katani,Alizeti,kahawa,Chai,Maharage,Kilimo cha Mpunga na kutafuta masoko nje ya Nchi kwa ajili ya kupata fedha za kigeni kuinua uchumi wetu.
-Kuboresha Sekta ya Utalii kwa kununua ndege kurahisisha usafiri wa Watalii toka Mabara yote kuja Tanzania.
-Usimamizi wa Mapato ya Mali asili zetu,mfano Madini ya Dhahabu, Tanzanite na Almasi.
-Ukusanyaji Mapato baada ya kuziba nianya ya ufisadi na wizi wa mapato na mali ya Umma.
-Kujenga Utaifa na Uzalendo.
-Ujenzi wa Bwawa la Umeme katika Mto Rufiji "Stigglers Gorge".
Kwa hakika katika awamu ya 5,Serikali ya CCM iliyoongozwa na Rais Magufuli imeifanya CCM kuwa Mpya katika utendaji wa kasi na wa uhakika pasipo porojo wala propaganda, Mwenye macho anaona utendaji katika sekta mbali mbali kuijenga Tanzania Mpya ambayo itakwenda kuwa Baba la Uchumi barani Africa.
@KWAKO NAPE UMEONA MKOPO ALIOKULA JPM!?#😀
ali-
Unamtetea jambazi Magufuli!HELA YA MKOPO ALIYOKULA JPM HII HAPA.
Tuliona utendaji wa kuacha alama katika awamu ya tano, tuliona uwajibikaji uliotukuka na kwa hakika Mabadiliko ya kimaendeleo yaligusa kila mmoja wetu, kama uoni basi utashika utagundua Kweli kuna mabadiliko, kama hushiki basi utakanyaga na utagundua mabadiliko makubwa ya kimaendeleo, ukitoka Kibaha kuja Mbezi hadi Kimara utaona kazi kubwa iliyofanyika ya ujenzi wa Barabara ya Morogoro, utajua kweli Serikali ya Rais Magufuli ilifanya kazi, kwako Nape pokea salaaam.
Awamu ya tano ilivyoingia Madarakani tuliona utendaji huu,
-Ujenzi wa Hostel za Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (udsm).
-Ujenzi wa Hostel za Askari Magereza.
-Ununuzi wa Ndege 11 (Nyingine 5 ziko mbioni kuja).
-Ujenzi wa Flyover Tazara na Ubungo,
-Upanuzi wa Airport Mwanza,Bukoba,Mbeya,Songea,Dodoma na Musoma.
-Upanuzi barabara ya Moroco DSM, Mwanza na Arusha.
-Upanuzi wa Kisasa Airport Dar ,terminal 3.
-Kusimamia misingi ya kimaadili ya Utumishi wa Umma, Kukomesha Rushwa
Kurejesha nidhamu Makazini.
-Ujenzi wa reli kwa ajili ya treni ya Umeme (Standard Gauge)
-Ujenzi wa barabara ya Mtwara-Tandahimba.
-Ujenzi wa kota za Magomeni.
-Ununuzi na Ujenzi wa Rada Mpya 5 tano za kuongozea ndege katika anga lote la Tanzania.
-Elimu bure na Mafunzo ya kujitegemea katika Veta na Jkt kwa wahitimu wa Elimu ya Sekondari.
-Kukomesha Watumishi Wenye Feki hivyo kuokoa Mabilioni ya Fedha.
-Barabara ya kuunganisha Wilaya za Kibondo kigoma Kaliua huko Tabora.
-Miradi Mikubwa ya Maji,Ujenzi wa Matenki makubwa Dar es Salaam na mradi mkubwa wa Maji toka Ziwa Victoria kuja Tabora hadi Dodoma.
-Uwezeshaji Ujenzi Bomba la Mafuta kutoka Hoima nchini Uganda hadi Jijini Tanga,Tanzania.
-Usimamizi wa Mazao Mfano Korosho,Pamba,Katani,Alizeti,kahawa,Chai,Maharage,Kilimo cha Mpunga na kutafuta masoko nje ya Nchi kwa ajili ya kupata fedha za kigeni kuinua uchumi wetu.
-Kuboresha Sekta ya Utalii kwa kununua ndege kurahisisha usafiri wa Watalii toka Mabara yote kuja Tanzania.
-Usimamizi wa Mapato ya Mali asili zetu,mfano Madini ya Dhahabu, Tanzanite na Almasi.
-Ukusanyaji Mapato baada ya kuziba nianya ya ufisadi na wizi wa mapato na mali ya Umma.
-Kujenga Utaifa na Uzalendo.
-Ujenzi wa Bwawa la Umeme katika Mto Rufiji "Stigglers Gorge".
Kwa hakika katika awamu ya 5,Serikali ya CCM iliyoongozwa na Rais Magufuli imeifanya CCM kuwa Mpya katika utendaji wa kasi na wa uhakika pasipo porojo wala propaganda, Mwenye macho anaona utendaji katika sekta mbali mbali kuijenga Tanzania Mpya ambayo itakwenda kuwa Baba la Uchumi barani Africa.
@KWAKO NAPE UMEONA MKOPO ALIOKULA JPM!?#😀
Lakini si alituambia nchi hii ni tajiri, kwanini alikopa?Magufuli kama alikopa ni miradi alifanya tena ya maana,watz tunataka viongozi Wapiga deal ati ndio ujanja.
Now wanajidai wasafi huku hakuna kitu.
Wakiendelea na kumtusi Magu wajue wanaandaa mazingira ya kuwapa upinzani ushindi.