Kwako Nape, umeona hela ya mkopo aliyokula Hayati Dkt. Magufuli?

Ukarabati na ujenzi meli mpya katika Ziwa Victoria
 
Mwande na Mndewa hata Mbowe hakuna popote alipotenda uhalifu wowote nchini lakini wanamwita gaidi. Hayati Magu pia achunguzwe, huwezijua! Ya Dunia mengi.
 
Alafu mkaishia kuwahadaa watanzania mabeberu sio watu wazuri, baadaye mnakaa nao mezani tunaonba mtukopeshe. Hv mlituonaje ?
 
Mm kinachonoshangaza wakati hizo pesa anazodai zlikopwa na matumizi yake hayafahamiki wao kama wawakilisho wa wananchi walikuwa wanafanyaje au zilitumika hovyo wakiwa wap hawa huwa hawatabiliki kabisa
Hawa ni wachumia tumbo tu; bajeti zote za serikali zipo na zilikuwa zinaonyesha wazi ni pesa kiasi gani kitakopwa na ni kiasi gani zitatokana na kodi, na miradi ya maendeleo itakayotekelezwa ni ipi na gharama zake ni zipi. Kuna miradi mingine ya maendeleo haikuwa ya lazima kama vile ujezi wa uwanja wa Chato, lakini hawa jamaa walipitisha bajeti ya wizara ya mawasiliano na uchukuzi kikiwemo kifungu cha ujenzi wa uwanja wa Chato bila kuhoji, halafu baadaye leo ndiyo eti wanalalamika. Tena bajeti ya uwanja wa Chato ilikuwa imeletwa bila kuwa na specifics za kutosha ila wao wakapiga makofi tu na kuipitisha bila kuhoji chochote.

Lakini leo hii ndipo wanajifanya wanajua kufuatilia hela za serikali kama siyo kutafuta sifa za kipuuzi tu
 
Magufuli kama alikopa ni miradi alifanya tena ya maana,watz tunataka viongozi Wapiga deal ati ndio ujanja.
Now wanajidai wasafi huku hakuna kitu.
Wakiendelea na kumtusi Magu wajue wanaandaa mazingira ya kuwapa upinzani ushindi.
Nimeshaaona kitu hata nape anjiona mjanja kwa sasa lakini kama sio nguvu ya magufuli kuna wabunge nakuhakikshia wansingefika hapo waliopo .leo ndo wako mstari wa mbele kumdhalilisha hayati magufuli .tuone kama 2025 watapanua tena mdomo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…