Tatizo wabongo siasa imewaathiri sana na ndiyo maana hata suala hili mnalijadili kwa misukumo ya kisiasa, huu upuuzi wenu wa siasa mnauwezaga wenyewe maana kila jambo lina wataalamu wake na ndiyo maana tuna viongozi wenye kuleta siasa hadi penye kuhitajika utaalamu. Unafikiri mtu kama wewe ukipewa uongozi unaachaje kutanguliza siasa kwenye kuhitajika utaalamu.
Okay basi inaonesha tuko salama sana mkuu kwa maoni yako!!!Mkuu corona imeanza muda mrefu hadi sasa tulitakiwa tuone watu wakipukutika zaidi ya marekani au italy, ila hali iko tofauti maana kama ni uzembe nasi tuliufanya na bado tunaendelea na shughuli zetu tunakusanyana kama kawaida.
Kuna mahala ubongo wake umegoteshwa mkuu haioni athari wala hataiona mpaka pale mwanafamilia wake atapoguswa ijapo hatuombi hilo maana sote tu wahanga ndio maana tunataka tahadhari na njia sahihi zilizo madhubuti na makini zitumike.Mkuu umeshindwa kujikita kwenye mada. Pitia mabandiko yako yote kwenye uzi huu ni wazi kuwa umejitahidi sana kulazimisha kuwa hapakuwa na uzembe ugonjwa huu kuingia nchini. Hii ikiwa pamoja na kuwa kwa hakika huna vigezo wala sababu yoyote yenye mashiko yenye kuonyesha kuwa uzembe haukuwapo.
Mkuu hatudanganyiki. Enough is enough. Aliyetufikisha hapa tunamjua na anayetuchulia kutaka kututanguliza akhera pia tunamjua.
Nini chimbuko la uzi huu - ni kumtaka sasa hata kama yeye ni dereva wa lori, kwa vile amekubali kutubeba na kwa kuwa nasi tumekubali kubebwa naye (mutual agreement) asimame sasa tuongee kwanza. Kwa maana siyo siri tena haturidhishwi na wala hatufurahishwi na mwenenendo wake kwenye hili.
Tatizo liko wapi hapo kwako kama hauna maslahi binafsi? Wapi umeona siasa katika bandiko langu kwenye uzi huu? Kwa nini umeshupaa hivyo kuwa hakuna uzembe bila kutoa ushahidi wowote kwenye hilo? Mkuu tushawishi kwa hoja basi kuwa uzembe haukuwapo. Ila usitulazimushe.
Eti nikipewa uongozi sitaacha kutanguliza siasa. Utakuwa ulikuwa unaota wewe si bure ikizingatiwa kuwa bandiko lako hili umeliandika usiku wa manane haswa. Aliyekwambia kuwa hata ninahitaji huo uongozi ni nani?
Ati kuwa jambo la wataalamu wameingia wanasiasa na kuwa kila jambo lina wataalamu:
".... misukumo ya kisiasa, huu upuuzi wenu wa siasa mnauwezaga wenyewe maana kila jambo lina wataalamu wake na ndiyo maana tuna viongozi wenye kuleta siasa hadi penye kuhitajika utaalamu."
Haieleweki kama unajitambua. Hawa tunaowalalamikia wanalipeleka jambo hili kitaalamu? Haya maombezi ndiyo utaalamu wenyewe? Hii mikusanyiko bungeni, kwenye ibada, masokoni, kwenye safari za umma ndiyo utaalamu wenyewe?
Mkuu alisema mwenyewe, "mtanzania wa leo siyo wa jana". Mwisho wa kumnukuu.
Kwa mabandiko yako ni wazi kuwa uzembe uliotuletea ugonjwa huu hapa nchini unakuhusu. Haiyumkiniki itakuwa ndiyo sababu ya kushupaa kwako huku. Vipi mkuu dhamira inakusuta?
View attachment 1424246
Wapi nilipotetea au kusema Tanzania haijafanya uzembe? Mimi nimeeleza kuwa hili ni janga na nchi nyingi duniani zimeathirika na corona na watu wanakufa huko ila wewe hutaki kusikia hilo bado umekazania lawama za kwamba kumefanyika uzembe na kwamba wangefuata ushauri wako corona isingeingia Tanzania. Ndio maana nikasema mie siziwezi hayo mambo yenu ya siasa mie sikuwa namtetea Magufuli wala serikali maana naona kuna pande mbili tu kwamba kuna wanaotetea tu Maguufuli na serikali yake na kuna wanaoiponda serikali yake. Tumalize tu mkuu kwa kusema kwamba nchi zote zilizo athirika na corona ni kwa sababu zimefanya uzembe hakuna isiyofanya uzembe.Mkuu umeshindwa kujikita kwenye mada. Pitia mabandiko yako yote kwenye uzi huu ni wazi kuwa umejitahidi sana kulazimisha kuwa hapakuwa na uzembe ugonjwa huu kuingia nchini. Hii ikiwa pamoja na kuwa kwa hakika huna vigezo wala sababu yoyote yenye mashiko yenye kuonyesha kuwa uzembe haukuwapo.
Mkuu hatudanganyiki. Enough is enough. Aliyetufikisha hapa tunamjua na anayetuchulia kutaka kututanguliza akhera pia tunamjua.
Nini chimbuko la uzi huu - ni kumtaka sasa hata kama yeye ni dereva wa lori, kwa vile amekubali kutubeba na kwa kuwa nasi tumekubali kubebwa naye (mutual agreement) asimame sasa tuongee kwanza. Kwa maana siyo siri tena haturidhishwi na wala hatufurahishwi na mwenenendo wake kwenye hili.
Tatizo liko wapi hapo kwako kama hauna maslahi binafsi? Wapi umeona siasa katika bandiko langu kwenye uzi huu? Kwa nini umeshupaa hivyo kuwa hakuna uzembe bila kutoa ushahidi wowote kwenye hilo? Mkuu tushawishi kwa hoja basi kuwa uzembe haukuwapo. Ila usitulazimushe.
Eti nikipewa uongozi sitaacha kutanguliza siasa. Utakuwa ulikuwa unaota wewe si bure ikizingatiwa kuwa bandiko lako hili umeliandika usiku wa manane haswa. Aliyekwambia kuwa hata ninahitaji huo uongozi ni nani?
Ati kuwa jambo la wataalamu wameingia wanasiasa na kuwa kila jambo lina wataalamu:
".... misukumo ya kisiasa, huu upuuzi wenu wa siasa mnauwezaga wenyewe maana kila jambo lina wataalamu wake na ndiyo maana tuna viongozi wenye kuleta siasa hadi penye kuhitajika utaalamu."
Haieleweki kama unajitambua. Hawa tunaowalalamikia wanalipeleka jambo hili kitaalamu? Haya maombezi ndiyo utaalamu wenyewe? Hii mikusanyiko bungeni, kwenye ibada, masokoni, kwenye safari za umma ndiyo utaalamu wenyewe?
Mkuu alisema mwenyewe, "mtanzania wa leo siyo wa jana". Mwisho wa kumnukuu.
Kwa mabandiko yako ni wazi kuwa uzembe uliotuletea ugonjwa huu hapa nchini unakuhusu. Haiyumkiniki itakuwa ndiyo sababu ya kushupaa kwako huku. Vipi mkuu dhamira inakusuta?
View attachment 1424246
Ni uelewa wako na si maoni yangu.Okay basi inaonesha tuko salama sana mkuu kwa maoni yako!!!
Kweli wewe zwazwa. Hivi unajua kwa mujibu wa WHO kuwa binadamu zaidi ya 150,000 hufa Kila siku kwasababu mbalimbali?
Na hiyo corona duniani imeambukiza watu wangapi na wamefariki wangapi? Tangu corona ianze haijafikisha kuua hata watu 180,000 kati ya zaidi ya watu 2,400,000 walioambukizwa. Na ni zaidi ya miezi sita.
Huo uhatari wake upo wp? Na waliopona wameponaje km ugonjwa hauna dawa? Tatizo mmepandikizwa hofu!
Madhara ya lockdown nimakubwa kuliko hata ugonjwa wenyewe. Watu watakufa njaa, wengine kwakukosa huduma muhimu na zaidi ongezeko la uharifu.
Sweden na nchi nyingi wamefanikiwa bila lockdown. Marekani tunashuhudia watu wanaandamana hawataki huo upumbavu wa lockdown. Tena ktk kipindi ambacho maambukizi kwao yapo juu. Wanamaabukizi zaidi ya watu 680,000.
Fuata maelekezo ya wataalam. Kama kufa utakufa tu so jiandae, km sio corona hata uzee utakuua!
Hivi kufunga mipaka ya nchi kuzuia uhonjwa usiingie Ni siasa? Mkuu utakuwa Na tatizo kichwani.Tunawalaumu wanasiasa kwa kutochukua maamuzi thabiti.Wapi nilipotetea au kusema Tanzania haijafanya uzembe? Mimi nimeeleza kuwa hili ni janga na nchi nyingi duniani zimeathirika na corona na watu wanakufa huko ila wewe hutaki kusikia hilo bado umekazania lawama za kwamba kumefanyika uzembe na kwamba wangefuata ushauri wako corona isingeingia Tanzania. Ndio maana nikasema mie siziwezi hayo mambo yenu ya siasa mie sikuwa namtetea Magufuli wala serikali maana naona kuna pande mbili tu kwamba kuna wanaotetea tu Maguufuli na serikali yake na kuna wanaoiponda serikali yake. Tumalize tu mkuu kwa kusema kwamba nchi zote zilizo athirika na corona ni kwa sababu zimefanya uzembe hakuna isiyofanya uzembe.
Inawezekana Mkuu...Ni uelewa wako na si maoni yangu.
Aidha kuna mahali kuna tatizo lisilojulikana nimekunukuu ili kusubiri mrejesho wa maoni yako halisi...Mkuu corona imeanza muda mrefu hadi sasa tulitakiwa tuone watu wakipukutika zaidi ya marekani au italy, ila hali iko tofauti maana kama ni uzembe nasi tuliufanya na bado tunaendelea na shughuli zetu tunakusanyana kama kawaida.
Wapi nilipotetea au kusema Tanzania haijafanya uzembe? Mimi nimeeleza kuwa hili ni janga na nchi nyingi duniani zimeathirika na corona na watu wanakufa huko ila wewe hutaki kusikia hilo bado umekazania lawama za kwamba kumefanyika uzembe na kwamba wangefuata ushauri wako corona isingeingia Tanzania. Ndio maana nikasema mie siziwezi hayo mambo yenu ya siasa mie sikuwa namtetea Magufuli wala serikali maana naona kuna pande mbili tu kwamba kuna wanaotetea tu Maguufuli na serikali yake na kuna wanaoiponda serikali yake. Tumalize tu mkuu kwa kusema kwamba nchi zote zilizo athirika na corona ni kwa sababu zimefanya uzembe hakuna isiyofanya uzembe.
Raisi anawakimbia wananchi wake wakati wa majanga huyu hatufai watanzania
Mkuu nadhani kuna mahala anakanganywa au anajikanganya maana inafika mahala anajikana mwenyewe!!! Au ana kusudio aidha kunogesha mjadala ama kuuvuruga full stop.Mkuu hakuna mahali nilipoandika wala kusema ugonjwa uliingia kwa sababu ya kutofuata ushauri wangu.
Mkuu kuwa ugonjwa uliingia ulaya na marekani kwa uzembe hilo halina ubishi na wala halituhusu.
Linalotuhusu sisi ni uzembe wa hapa kwetu na ndiyo maana ninakundikia haya:
View attachment 1424355
Inaonesha unao huo uzoefu mkuu...
Unataka kusemaje?Inawezekana Mkuu...
Aidha kuna mahali kuna tatizo lisilojulikana nimekunukuu ili kusubiri mrejesho wa maoni yako halisi...
Unataka kusemaje?
Sawa kabisa na mie nikamaliza kwa kusema hakuna nchi yenye huo ugonjwa ambayo haikufanya uzembe kila nchi imefanya uzembe na ndiyo maana corona imeingia katika hizo nchi,kama unavyosema kuwa Tanzania ingefuata ushauri basi corona isingeingia kwa maana nyengine corona imekuwa janga duniani kwa sasa sababu dunia ilifanya uzembe.Mkuu hakuna mahali nilipoandika wala kusema ugonjwa uliingia kwa sababu ya kutofuata ushauri wangu.
Mkuu kuwa ugonjwa uliingia ulaya na marekani kwa uzembe hilo halina ubishi na wala halituhusu.
Linalotuhusu sisi ni uzembe wa hapa kwetu na ndiyo maana nikakundikia haya. Hebu kunywa maji mengi kwanza kisha soma tena hapo chini:
View attachment 1424355
Asante kama mmenielewa."Tumeshakuelewa..." unaweza kuendelea Mkuu.
Km unataka lockdown kaa Ndani Wewe na familia
Hivi vitumishi vyenye uhakika wa mwisho wa mwezi kero kweli
Kumbuka kuna watu lazima watoke Ndio wale
Sent using Jamii Forums mobile app
Nitakuwa nauvuruga mjadala maana nimegundua kumbe mjadala umekaa kisiasa siasa zetu za Tanzania kwamba lazima uwe muungaji mkono au mpingaji wa serikali.Mkuu nadhani kuna mahala anakanganywa au anajikanganya maana inafika mahala anajikana mwenyewe!!! Au ana kusudio aidha kunogesha mjadala ama kuuvuruga full stop.
Jifungie ndani usiwe kama li ng'ombe kusubiri ufungiwe.Mkuu suala si kuwa wamekufa wangapi. Suala ni uhusiano wa wanaoambukizwa kulinganisha na wanaopona kwa siku au kwa kipindi fulani.
Hapo itakupa hali ya ugonjwa bila kujali wanaokufa ni wengi au kidogo.
USA, Spain, Germany, Italy, China na kote waliko udhibiti maambukizi ni kidogo kuliko wanaopona.
Uganda, Rwanda na Kenya ni hivyo pia.
Mkuu namba ya wanaokufa haina maana yoyote (irrelevant).
Ila kumbuka mgonjwa hadi kufa au kupona ataambukiza wengine kama 90 kwa hali yetu iliyopo hivi sasa.
Ndani ya wiki 2 - 3 mgonjwa atapona au atakufa kutegemeana na huduma za afya zilivyo alipo au katika nchi.
Pia 5% - 10% ya walioambukizwa watakufa kwa ugonjwa huu.
Kasi ya maambukizi itafanya namba ya wafu kuwa kubwa mno katika kipindi kifupi kama maambukizi hayadhibitiwi.